Surah Tur aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ عِندَهُمْ خَزَائِنُ رَبِّكَ أَمْ هُمُ الْمُصَيْطِرُونَ﴾
[ الطور: 37]
Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or have they the depositories [containing the provision] of your Lord? Or are they the controllers [of them]?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?
Kwani wao wanazo khazina za Mola wako Mlezi wanazo zisarifu watakavyo? Au wana nguvu za kutenda watakavyo, na kupanga mambo kama wapendavyo?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na katika tulio waumba wako watu wanao ongoza kwa Haki, na kwayo wanafanya uadilifu.
- Kwa kutakabari kwao katika nchi, na kufanya vitimbi vya uovu. Na vitimbi viovu havimsibu ila
- Hizi ni khabari za ghaibu tunazo kufunulia; nawe hukuwa nao walipo kuwa wakitupa kalamu zao
- Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu.
- Wanangoja jengine ila wawafikie Malaika, au awafikie Mola wako Mlezi, au zifike baadhi ya Ishara
- Kisha akatazama,
- Na milima itakapo peperushwa,
- Na waache kwa muda.
- (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.
- Au mkasema: Hakika baba zetu ndio walio shirikisha kabla yetu, na sisi ni dhuriya zao
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers