Surah Tur aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ﴾
[ الطور: 19]
Kuleni na kunyweni kwa raha kabisa kwa sababu ya mliyo kuwa mkiyatenda.
Surah At-Tur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[They will be told], "Eat and drink in satisfaction for what you used to do."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kuleni na kunyweni kwa raha kabisa kwa sababu ya mliyo kuwa mkiyatenda.
Wataambiwa: Kuleni chakula mpendacho, na kunyweni kwa raha, kuwa ni malipo ya vitendo mlivyo vitenda duniani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Umemwona aliye yafanya matamanio yake kuwa ndio mungu wake? Basi je, wewe utakuwa ni
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Na akakukuta umepotea akakuongoa?
- Hao ndio makafiri watenda maovu.
- Nakufikishieni Ujumbe wa Mola Mlezi wangu, na ninakunasihini; na ninayajua kwa Mwenyezi Mungu msiyo yajua
- Na laiti ungeli ona Malaika wanapo wafisha wale walio kufuru wakiwapiga nyuso zao na migongo
- Muuweni Yusuf, au mtupeni nchi mbali ili uso wa baba yenu ukuelekeeni nyinyi. Na baada
- Jambo litokalo kwetu. Hakika Sisi ndio wenye kutuma.
- Na walio pewa ilimu wanaona ya kuwa ulio teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni
- Uwongofu na bishara kwa Waumini,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



