La sourate Al-Humazah en Swahili
وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ(1) Ole wake kila safihi, msengenyaji! |
الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ(2) Aliye kusanya mali na kuyahisabu. |
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ(3) Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele! |
كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ(4) Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama. |
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحُطَمَةُ(5) Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama? |
نَارُ اللَّهِ الْمُوقَدَةُ(6) Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa. |
الَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى الْأَفْئِدَةِ(7) Ambao unapanda nyoyoni. |
إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌ(8) Hakika huo utafungiwa nao |
فِي عَمَدٍ مُّمَدَّدَةٍ(9) Kwenye nguzo zilio nyooshwa. |
Plus de sourates en Swahili :
Téléchargez la sourate avec la voix des récitants du Coran les plus célèbres :
Téléchargez le fichier mp3 de la sourate Al-Humazah : choisissez le récitateur pour écouter et télécharger la sourate Al-Humazah complète en haute qualité.
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Donnez-nous une invitation valide




