Surah Humazah aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ﴾
[ الهمزة: 3]
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
Surah Al-Humazah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He thinks that his wealth will make him immortal.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
Anadhani huyo kuwa mali yake yatamweka milele duniani, na yatamkinga na hayo anayo yachukia?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?
- Je! Yule aliye pambiwa a'mali zake mbaya na akaziona ni njema - basi hakika Mwenyezi
- Wakasema: Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika
- Wala zisikushitue mali zao na watoto wao. Mwenyezi Mungu anataka kuwaadhibu kwa hayo katika dunia;
- Hao kweli ndio Waumini. Wao wana vyeo, na maghfira, na riziki bora, kwa Mola wao
- Basi tumeifanya nyepesi hii Qur'ani kwa ulimi wako, ili wapate kukumbuka.
- Na lau makafiri wangeli pigana nanyi basi bila ya shaka wangeli geuza migongo, kisha wasingeli
- Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
- Je, mnastaajabu kukujieni mawaidha yanayotoka kwa Mola Mlezi wenu kwa njia ya mtu aliye ni
- Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Humazah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Humazah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Humazah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



