Surah Humazah aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ﴾
[ الهمزة: 3]
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
Surah Al-Humazah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He thinks that his wealth will make him immortal.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
Anadhani huyo kuwa mali yake yatamweka milele duniani, na yatamkinga na hayo anayo yachukia?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ipo njia ya kuwalaumu wale wanao kuomba ruhusa wasende vitani na hali wao ni matajiri.
- Na katika hao mnayo manufaa kadhaa wa kadhaa, na mnapata kwao haja ziliomo vifuani mwenu;
- Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
- Na ziko kwake funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu. Na Yeye anajua kilioko
- BIla ya shaka atawaingiza pahala watakapo paridhia. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mpole.
- Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
- Au wanasema: Ameizua? Sema: Basi leteni Sura kumi zilizo zuliwa mfano wa hii, na waiteni
- Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.
- Tutamtia kovu juu ya pua yake.
- Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Humazah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Humazah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Humazah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers