Surah Humazah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ﴾
[ الهمزة: 4]
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
Surah Al-Humazah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No! He will surely be thrown into the Crusher.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hasha! Atavurumishwa katika Hutama.
Na aache dhana hiyo! Wallahi! Hapana shaka yoyote kwa vitendo vyake viovu hivyo atakuja tumbukizwa katika Moto unao vuruga kila kinacho tupwa humo!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika Mitume walio kabla yako walifanyiwa kejeli, lakini walio wafanyia kejeli wakaja kuzungukwa na
- Wala usidhani Mwenyezi Mungu ameghafilika na wanayo yafanya madhaalimu. Hakika Yeye anawaakhirisha tu mpaka siku
- Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa.
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- Na wapigie mfano wa wakaazi wa mji walipo wafikia walio tumwa.
- Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
- Siku ya Kiyama atawatangulia watu wake na atawaingiza Motoni. Na muingio muovu ulioje huo!
- Mwenyezi Mungu akasema: Basi umekwisha kuwa miongoni mwa walio pewa muhula,
- Ambao wakaifanya Qur'ani vipande vipande.
- Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Humazah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Humazah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Humazah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers