Surah Humazah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Humazah aya 4 in arabic text(The Scandalmonger).
  
   

﴿كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ
[ الهمزة: 4]

Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.

Surah Al-Humazah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


No! He will surely be thrown into the Crusher.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hasha! Atavurumishwa katika Hutama.


Na aache dhana hiyo! Wallahi! Hapana shaka yoyote kwa vitendo vyake viovu hivyo atakuja tumbukizwa katika Moto unao vuruga kila kinacho tupwa humo!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Humazah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma pepo zikayatimua mawingu, kisha akayatandaza mbinguni kama apendavyo. Na akayafanya
  2. Isipo kuwa Iblisi; alijivuna na akawa katika makafiri.
  3. Na timizeni kipimo mpimapo. Na pimeni kwa mizani zilizo sawa. Hayo ni wema kwenu na
  4. Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika?
  5. Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale
  6. Akasema: Enyi watu wangu! Kwani jamaa zangu ni watukufu zaidi kwenu kuliko Mwenyezi Mungu? Na
  7. Na tukawapa maelezo wazi ya amri. Basi hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa ajili
  8. Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Wakasujudu, isipo kuwa Iblisi, alikataa.
  9. Yeye ndiye Mwenye funguo za mbingu na ardhi. Humkunjulia riziki amtakaye, na humpimia amtakaye. Hakika
  10. Ewe Nabii! Pambana na makafiri na wanaafiki, na kuwa mgumu kwao! Na makaazi yao ni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Humazah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Humazah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Humazah Complete with high quality
Surah Humazah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Humazah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Humazah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Humazah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Humazah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Humazah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Humazah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Humazah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Humazah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Humazah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Humazah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Humazah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Humazah Al Hosary
Al Hosary
Surah Humazah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Humazah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, September 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers