Surah Humazah aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Humazah aya 2 in arabic text(The Scandalmonger).
  
   

﴿الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ﴾
[ الهمزة: 2]

Aliye kusanya mali na kuyahisabu.

Surah Al-Humazah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Who collects wealth and [continuously] counts it.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Aliye kusanya mali na kuyahisabu.


Ambaye amekusanya chungu ya mali na akawa kazi yake kuyahisabu tu, kwa kuona ladha huko kuhisabu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Humazah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na unaiona milima unaidhunia imetulia; nayo inakwenda kama mwendo wa mawingu. Huo ndio ufundi wa
  2. Na akiambiwa: Mwogope Mwenyezi Mungu, hupandwa na mori wa kutenda madhambi. Basi huyo inamtosha Jahannam.
  3. Na kwamba jeshi letu ndilo litakalo shinda.
  4. Na ikiwa Mwenyezi Mungu akikugusisha madhara, basi hapana wa kukuondolea hayo ila Yeye. Na ikiwa
  5. Kwani hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba
  6. Na tulimpa Luqman hikima, tukamwambia: Mshukuru Mwenyezi Mungu. Na mwenye kushukuru basi hakika anashukuru kwa
  7. Basi Firauni akawatuma mijini wapiga mbiu za mgambo.
  8. Enyi mlio amini! Ikiadhiniwa Sala siku ya Ijumaa, nendeni upesi kwenye dhikri ya Mwenyezi Mungu,
  9. Ama walio amini na wakatenda mema, Mola wao Mlezi atawatia katika rehema yake. Huko ndiko
  10. Siku ambayo hautawafaa madhaalimu udhuru wao, nao watapata laana, na watapata makaazi mabaya kabisa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Humazah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Humazah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Humazah Complete with high quality
Surah Humazah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Humazah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Humazah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Humazah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Humazah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Humazah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Humazah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Humazah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Humazah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Humazah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Humazah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Humazah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Humazah Al Hosary
Al Hosary
Surah Humazah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Humazah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, February 1, 2026

Please remember us in your sincere prayers