Surah Humazah aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ﴾
[ الهمزة: 2]
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
Surah Al-Humazah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who collects wealth and [continuously] counts it.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
Ambaye amekusanya chungu ya mali na akawa kazi yake kuyahisabu tu, kwa kuona ladha huko kuhisabu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tukampa wahyi: Unda jahazi mbele ya macho yetu na uwongozi wetu! Basi itapo fika amri
- Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
- Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi
- Hakika nyinyi na hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu ni kuni za Jahannamu; huko
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
- Na wale ambao wanapo kumbushwa Ishara za Mola wao Mlezi hawajifanyi viziwi nazo, na vipofu.
- (Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,
- Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo. Na
- Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Humazah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Humazah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Humazah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



