Surah Humazah aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Humazah aya 1 in arabic text(The Scandalmonger).
  
   

﴿وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ﴾
[ الهمزة: 1]

Ole wake kila safihi, msengenyaji!

Surah Al-Humazah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Woe to every scorner and mocker


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ole wake kila safihi, msengenyaji!


Atapata adhabu kali na maangamio huyo ambaye mtindo wake ni kuwafedhehi watu kwa kauli au kwa ishara, au kuwasengenya kuwavunjia hishima zao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Humazah


Ayats from Quran in Swahili

  1. (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.
  2. Tuliahidiwa haya sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni visa vya uwongo vya
  3. Na hatukuwaonyesha Ishara yoyote ila hiyo ilikuwa kubwa zaidi kuliko nyenginewe. Na tukawakamata kwa adhabu
  4. Na wakijitoma kati ya kundi,
  5. Na kumbukeni yasomwayo majumbani mwenu katika Aya za Mwenyezi Mungu na hikima. Kwa hakika Mwenyezi
  6. Na Mwenyezi Mungu amekufanyieni vivuli katika vitu alivyo viumba, na amekufanyieni maskani milimani, na amekufanyieni
  7. Wanakuuliza juu ya kupigana vita katika mwezi mtakatifu. Sema: Kupigana vita wakati huo ni dhambi
  8. Na ilipo wafikia Haki wakasema: Huu ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa.
  9. Na Waumini wanasema: Kwa nini haiteremshwi Sura? Na inapo teremshwa Sura madhubuti na ikatajwa ndani
  10. Ambao hawatoi Zaka na wanaikataa Akhera.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Humazah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Humazah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Humazah Complete with high quality
Surah Humazah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Humazah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Humazah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Humazah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Humazah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Humazah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Humazah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Humazah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Humazah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Humazah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Humazah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Humazah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Humazah Al Hosary
Al Hosary
Surah Humazah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Humazah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, August 24, 2026

Please remember us in your sincere prayers