Перевод суры Аль-Фаджр на суахили язык

  1. Сура mp3
  2. Другие суры
  3. суахили
Священный Коран | Перевод Корана | Язык суахили | Сура Аль-Фаджр | الفجر - получите точный и надежный суахили текст сейчас - Количество аятов: 30 - Номер суры в мушафе: 89 - Значение названия суры на русском языке: The Break of Day.

وَالْفَجْرِ(1)

 Naapa kwa alfajiri,

وَلَيَالٍ عَشْرٍ(2)

 Na kwa masiku kumi,

وَالشَّفْعِ وَالْوَتْرِ(3)

 Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,

وَاللَّيْلِ إِذَا يَسْرِ(4)

 Na kwa usiku unapo pita,

هَلْ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجْرٍ(5)

 Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?

أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ(6)

 Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ(7)

 Wa Iram, wenye majumba marefu?

الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ(8)

 Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?

وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ(9)

 Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?

وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ(10)

 Na Firauni mwenye vigingi?

الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ(11)

 Ambao walifanya jeuri katika nchi?

فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ(12)

 Wakakithirisha humo ufisadi?

فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ(13)

 Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.

إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ(14)

 Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.

فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ(15)

 Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!

وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ(16)

 Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!

كَلَّا ۖ بَل لَّا تُكْرِمُونَ الْيَتِيمَ(17)

 Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,

وَلَا تَحَاضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ(18)

 Wala hamhimizani kulisha masikini;

وَتَأْكُلُونَ التُّرَاثَ أَكْلًا لَّمًّا(19)

 Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,

وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا(20)

 Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.

كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا(21)

 Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,

وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا(22)

 Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,

وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ(23)

 Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?

يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي(24)

 Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!

فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُ أَحَدٌ(25)

 Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.

وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُ أَحَدٌ(26)

 Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.

يَا أَيَّتُهَا النَّفْسُ الْمُطْمَئِنَّةُ(27)

 Ewe nafsi iliyo tua!

ارْجِعِي إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةً مَّرْضِيَّةً(28)

 Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.

فَادْخُلِي فِي عِبَادِي(29)

 Basi ingia miongoni mwa waja wangu,

وَادْخُلِي جَنَّتِي(30)

 Na ingia katika Pepo yangu.


Больше сур в суахили:


Аль-Бакара Аль-'Имран Ан-Ниса'
Аль-Маида Юсуф Ибрахим
Аль-Хиджр Аль-Кахф Марьям
Аль-Хадж Аль-Касас Аль-'Анкабут
Ас-Саджда Я-Син Ад-Духан
Аль-Фатх Аль-Худжурат Каф
Ан-Наджм Ар-Рахман Аль-Ваки'а
Аль-Хашр Аль-Мульк Аль-Хакка
Аль-Иншикак Аль-А'ла Аль-Гашия

Скачать суру Al-Fajr с голосом самых известных рекитаторов Корана:

Сура Al-Fajr mp3: выберите рекитатора, чтобы прослушать и скачать главу Al-Fajr полностью в высоком качестве
surah Al-Fajr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
surah Al-Fajr Bandar Balila
Bandar Balila
surah Al-Fajr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
surah Al-Fajr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
surah Al-Fajr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
surah Al-Fajr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
surah Al-Fajr Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
surah Al-Fajr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
surah Al-Fajr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
surah Al-Fajr Fares Abbad
Fares Abbad
surah Al-Fajr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
surah Al-Fajr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
surah Al-Fajr Al Hosary
Al Hosary
surah Al-Fajr Al-afasi
Mishari Al-afasi
surah Al-Fajr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, May 9, 2024

Помолитесь за нас хорошей молитвой