Surah Fajr aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ﴾
[ الفجر: 9]
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
Surah Al-Fajr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [with] Thamud, who carved out the rocks in the valley?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
Kwani hukujua jinsi Mola wako Mlezi alivyo teremsha adhabu yake kwa Thamudi, kaumu ya Saleh, walio chonga majabali kujengea nyumba zao huko bondeni?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
- Na bila ya shaka yeye amekwisha lipoteza kundi kubwa miongoni mwenu. Je, hamkuwa mkifikiri?
- Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
- Na wakadhani kuwa hapatakuwa majaribio; basi wakawa vipofu na viziwi. Kisha Mwenyezi Mungu akawapokelea toba
- Na katika Ishara zake ni usiku na mchana, na jua na mwezi. Basi msilisujudie jua
- Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
- Ewe uliye jigubika!
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
- Na wajaribuni mayatima mpaka wafike umri wa kuoa. Mkiwaona ni wekevu, basi wapeni mali yao.
- Ama mwenye kutoa na akamchamngu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fajr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers