Surah Fajr aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي﴾
[ الفجر: 24]
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
Surah Al-Fajr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He will say, "Oh, I wish I had sent ahead [some good] for my life."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
Atasema kwa majuto: Laiti ningeli jitangulizia katika dunia vitendo vyema vya kunifaa katika maisha ya Akhera!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha wakarejea kwenye ule ule upotovu wao wakasema: Wewe unajua kwamba hawa hawesemi.
- Na wakikuona walio kufuru hawakufanyi wewe ila ni kitu cha maskhara tu, (wakisema): Je! Ndiye
- Na ya kwamba mniabudu Mimi? Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.
- Na Sisi ndio tunao huisha na tunao fisha. Na Sisi ndio Warithi.
- Zitakapo kuwa pingu shingoni mwao na minyororo, huku wanabururwa
- Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
- Wala wasikuzuie kuzifuata Aya za Mwenyezi Mungu baada ya kuteremshiwa wewe. Na lingania kwa Mola
- Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
- Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
- Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fajr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



