Surah Fajr aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ﴾
[ الفجر: 6]
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
Surah Al-Fajr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Have you not considered how your Lord dealt with 'Aad -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina Adi?
Kwani hujui jinsi Mola wako Mlezi alivyo wateremshia adhabu yake kaumu ya Hud, ?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ili Yeye awalipe ujira wao kwa ukamilifu, na awazidishie kutokana na fadhila zake. Hakika Yeye
- Au ni nani huyo ambaye atakupeni riziki kama Yeye akizuia riziki yake? Bali wao wanakakamia
- Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
- Na hakika hutapata kiu humo wala hutapata joto.
- Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
- Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
- Haliwi jua kuufikia mwezi, wala usiku kuupita mchana. Na vyote vinaogelea katika njia zao.
- Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.
- Na watakapo tupwa humo mahali dhiki, hali wamefungwa, wataomba wafe.
- Hakika Sisi tutakuteremshia kauli nzito.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fajr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



