Surah Fajr aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ﴾
[ الفجر: 14]
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
Surah Al-Fajr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, your Lord is in observation.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
Hakika Mola wako Mlezi anaviangalia vitendo vya watu, na anawahisabia, na atakuja kuwalipa kwavyo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Na wajumbe wetu walipo mjia Ibrahim na bishara, walisema: Hakika sisi hapana shaka tutawahiliki watu
- Na nyota zitapo tawanyika,
- Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote
- Sema: Mwenyezi Mungu hukuokoeni kutoka hayo, na kutoka kila mashaka, na kisha nyinyi mnamshirikisha!
- Na ni nani mwenye kudhulumu zaidi kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo, naye anaitwa
- Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.
- Na haiwezekani kwa Nabii yeyote kufanya khiyana. Na atakaye fanya khiyana, atayaleta Siku ya Kiyama
- Na wachochee uwawezao katika wao kwa sauti yako, na wakusanyie jeshi lako la wapandao farasi
- Na ndugu yangu Harun ni fasihi zaidi ulimi wake kuliko mimi. Basi mtume ende nami
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fajr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers