Surah Fajr aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَيَالٍ عَشْرٍ﴾
[ الفجر: 2]
Na kwa masiku kumi,
Surah Al-Fajr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [by] ten nights
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwa masiku kumi!
Na kwa masiku kumi yaliyo tukuzwa na Mwenyezi Mungu. (Na hayo ni masiku kumi ya mwanzo wa Mwezi wa Alhaj, Mfungo Tatu).
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Huyu ndiye Mwenye kuyajua yasiyo onekana na yanayo onekana. Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
- Hao ndio tulio wapa Vitabu na hukumu na Unabii. Ikiwa hawa watayakataa hayo, basi tumekwisha
- Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.
- Hata watakapo fika, atasema (Mwenyezi Mungu): Je! Nyinyi si mlizikanusha Ishara zangu pasipo kuzijua vyema?
- Alif Lam Ra. Hizo ni Aya za Kitabu chenye Hikima.
- Mpaka muda maalumu?
- Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
- Siku hiyo itahadithia khabari zake.
- Kaf Ha Ya A'yn S'ad
- Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fajr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



