Surah Fajr aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا﴾
[ الفجر: 20]
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
Surah Al-Fajr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you love wealth with immense love.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
Na mnayapenda mali mno, yanayo kupelekeeni kupapatika katika kuyakusanya na ubakhili wa kuyatumia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale ambao wameamini, na hawakuchanganya imani yao na dhulma - hao ndio watakao pata amani
- Sema: Hivyo mnatutazamia litupate lolote isipo kuwa moja katika mema mawili? Na sisi tunakutazamieni kuwa
- Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
- Haya ndiyo mliyo ahidiwa kwa Siku ya Hisabu.
- Na kwa hakika wao walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, ya kuwa Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume.
- Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.
- Wakishambulia wakati wa asubuhi,
- Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
- Siku itapo wafunika adhabu hiyo kutoka juu yao na chini ya miguu yao, na atasema:
- Mtapitapi, apitaye akifitini,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fajr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



