Surah Fajr aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَتَأْكُلُونَ التُّرَاثَ أَكْلًا لَّمًّا﴾
[ الفجر: 19]
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
Surah Al-Fajr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you consume inheritance, devouring [it] altogether,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
Na mnakula mali ya urithi kwa pupa, hamchagui linalo faa na lisilo faa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na
- Basi wakamwokota watu wa Firauni, aje kuwa adui kwao na huzuni. Hakika Firauni na Hamana
- Si vibaya kwenu kuingia nyumba zisio kaliwa ambazo ndani yake yamo manufaa yenu. Na Mwenyezi
- Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa.
- Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
- Na lau kuwa kila nafsi iliyo dhulumu inamiliki kila kiliomo duniani, bila ya shaka ingeli
- Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.
- Hayawi! Hayawi hayo mnayo ahidiwa.
- Na pale ulipo toka asubuhi, ukaacha ahali zako uwapange Waumini kwenye vituo kwa ajili ya
- Wamelaanika! Popote watakapo onekana watakamatwa na watauliwa kabisa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fajr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



