🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (78 Aya)
0/78
55:1
🔁 0/5
ٱلرَّحۡمَٰنُ ١
Ar Rahmaan
Arrah'man, Mwingi wa Rehema
🎤 Rekodi yako:
55:2
🔁 0/5
عَلَّمَ ٱلۡقُرۡءَانَ ٢
Allamal Quran
Amefundisha Qur'ani.
🎤 Rekodi yako:
55:3
🔁 0/5
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ ٣
Khalaqal insaan
Amemuumba mwanaadamu,
🎤 Rekodi yako:
55:4
🔁 0/5
عَلَّمَهُ ٱلۡبَيَانَ ٤
Allamalhul bayaan
Akamfundisha kubaini.
🎤 Rekodi yako:
55:5
🔁 0/5
ٱلشَّمۡسُ وَٱلۡقَمَرُ بِحُسۡبَانٍ ٥
Ashshamsu walqamaru bihusbaan
Jua na mwezi huenda kwa hisabu.
🎤 Rekodi yako:
55:6
🔁 0/5
وَٱلنَّجۡمُ وَٱلشَّجَرُ يَسۡجُدَانِ ٦
Wannajmu washshajaru yasjudan
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
🎤 Rekodi yako:
55:7
🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ ٱلۡمِيزَانَ ٧
Wassamaaa`a rafa`ahaa wa wada`al Meezan
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,
🎤 Rekodi yako:
55:8
🔁 0/5
أَلَّا تَطۡغَوۡاْ فِي ٱلۡمِيزَانِ ٨
Allaa tatghaw fil meezaan
Ili msidhulumu katika mizani.
🎤 Rekodi yako:
55:9
🔁 0/5
وَأَقِيمُواْ ٱلۡوَزۡنَ بِٱلۡقِسۡطِ وَلَا تُخۡسِرُواْ ٱلۡمِيزَانَ ٩
Wa aqeemul wazna bilqisti wa laa tukhsirul meezaan
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
🎤 Rekodi yako:
55:10
🔁 0/5
وَٱلۡأَرۡضَ وَضَعَهَا لِلۡأَنَامِ ١٠
Wal arda wada`ahaa lilanaame
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
🎤 Rekodi yako:
55:11
🔁 0/5
فِيهَا فَٰكِهَةٌ وَٱلنَّخۡلُ ذَاتُ ٱلۡأَكۡمَامِ ١١
Feehaa faakihatunw wan nakhlu zaatul akmaam
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
🎤 Rekodi yako:
55:12
🔁 0/5
وَٱلۡحَبُّ ذُو ٱلۡعَصۡفِ وَٱلرَّيۡحَانُ ١٢
Walhabbu zul `asfi war Raihaanu
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
🎤 Rekodi yako:
55:13
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ١٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
🎤 Rekodi yako:
55:14
🔁 0/5
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن صَلۡصَٰلٍ كَٱلۡفَخَّارِ ١٤
Khalaqal insaana min salsaalin kalfakhkhaari
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..
🎤 Rekodi yako:
55:15
🔁 0/5
وَخَلَقَ ٱلۡجَآنَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ ١٥
Wa khalaqal jaaan mim maarijim min naar
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.
🎤 Rekodi yako:
55:16
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ١٦
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
🎤 Rekodi yako:
55:17
🔁 0/5
رَبُّ ٱلۡمَشۡرِقَيۡنِ وَرَبُّ ٱلۡمَغۡرِبَيۡنِ ١٧
Rabbul mashriqayni wa Rabbul maghribayni
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:18
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ١٨
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:19
🔁 0/5
مَرَجَ ٱلۡبَحۡرَيۡنِ يَلۡتَقِيَانِ ١٩
Marajal bahrayni yalta qiyaani
Anaziendesha bahari mbili zikutane;
🎤 Rekodi yako:
55:20
🔁 0/5
بَيۡنَهُمَا بَرۡزَخٌ لَّا يَبۡغِيَانِ ٢٠
Bainahumaa barzakhul laa yabghiyaan
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
🎤 Rekodi yako:
55:21
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٢١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:22
🔁 0/5
يَخۡرُجُ مِنۡهُمَا ٱللُّؤۡلُؤُ وَٱلۡمَرۡجَانُ ٢٢
Yakhruju minhumal lu `lu u wal marjaanu
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
🎤 Rekodi yako:
55:23
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٢٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:24
🔁 0/5
وَلَهُ ٱلۡجَوَارِ ٱلۡمُنشَـَٔاتُ فِي ٱلۡبَحۡرِ كَٱلۡأَعۡلَٰمِ ٢٤
Wa lahul jawaaril mun sha`aatu fil bahri kal a`laam
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
🎤 Rekodi yako:
55:25
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٢٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:26
🔁 0/5
كُلُّ مَنۡ عَلَيۡهَا فَانٍ ٢٦
Kullu man `alaihaa faan
Kila kilioko juu yake kitatoweka.
🎤 Rekodi yako:
55:27
🔁 0/5
وَيَبۡقَىٰ وَجۡهُ رَبِّكَ ذُو ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ ٢٧
Wa yabqaa wajhu rabbika zul jalaali wal ikraam
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
🎤 Rekodi yako:
55:28
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٢٨
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:29
🔁 0/5
يَسۡـَٔلُهُۥ مَن فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۚ كُلَّ يَوۡمٍ هُوَ فِي شَأۡنٍ ٢٩
Yas`aluhoo man fissamaawaati walard; kulla ywmin huwa fee shaan
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
🎤 Rekodi yako:
55:30
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٣٠
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:31
🔁 0/5
سَنَفۡرُغُ لَكُمۡ أَيُّهَ ٱلثَّقَلَانِ ٣١
Sanafrughu lakum ayyuhas saqalaan
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
🎤 Rekodi yako:
55:32
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٣٢
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:33
🔁 0/5
يَٰمَعۡشَرَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ إِنِ ٱسۡتَطَعۡتُمۡ أَن تَنفُذُواْ مِنۡ أَقۡطَارِ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ فَٱنفُذُواْۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلۡطَٰنٍ ٣٣
Yaa ma`sharal jinni wal insi inis tata`tum an tanfuzoo min aqtaaris samaawaati wal ardi fanfuzoo; laa tanfuzoona illaa bisultaan
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.
🎤 Rekodi yako:
55:34
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٣٤
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:35
🔁 0/5
يُرۡسَلُ عَلَيۡكُمَا شُوَاظٌ مِّن نَّارٍ وَنُحَاسٌ فَلَا تَنتَصِرَانِ ٣٥
Yursalu `alaikumaa shuwaazum min naarifiw-wa nuhaasun falaa tantasiraan
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
🎤 Rekodi yako:
55:36
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٣٦
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:37
🔁 0/5
فَإِذَا ٱنشَقَّتِ ٱلسَّمَآءُ فَكَانَتۡ وَرۡدَةً كَٱلدِّهَانِ ٣٧
Fa-izan shaqqatis samaaa`u fakaanat wardatan kaddihaan
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
🎤 Rekodi yako:
55:38
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٣٨
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:39
🔁 0/5
فَيَوۡمَئِذٍ لَّا يُسۡـَٔلُ عَن ذَنۢبِهِۦٓ إِنسٌ وَلَا جَآنٌّ ٣٩
Fa-yawma`izil laa yus`alu `an zambiheee insunw wa laa jaann
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
🎤 Rekodi yako:
55:40
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٤٠
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:41
🔁 0/5
يُعۡرَفُ ٱلۡمُجۡرِمُونَ بِسِيمَٰهُمۡ فَيُؤۡخَذُ بِٱلنَّوَٰصِي وَٱلۡأَقۡدَامِ ٤١
Yu`raful mujrimoona biseemaahum fa`yu`khazu binna waasi wal aqdaam
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
🎤 Rekodi yako:
55:42
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٤٢
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:43
🔁 0/5
هَٰذِهِۦ جَهَنَّمُ ٱلَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا ٱلۡمُجۡرِمُونَ ٤٣
Haazihee jahannamul latee yukazzibu bihal mujrimoon
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
🎤 Rekodi yako:
55:44
🔁 0/5
يَطُوفُونَ بَيۡنَهَا وَبَيۡنَ حَمِيمٍ ءَانٍ ٤٤
Yatoofoona bainahaa wa baina hameemim aan
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
🎤 Rekodi yako:
55:45
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٤٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:46
🔁 0/5
وَلِمَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ جَنَّتَانِ ٤٦
Wa liman khaafa maqaama rabbihee jannataan
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:47
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٤٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:48
🔁 0/5
ذَوَاتَآ أَفۡنَانٍ ٤٨
Zawaataaa afnaan
Bustani zenye matawi yaliyo tanda.
🎤 Rekodi yako:
55:49
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٤٩
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:50
🔁 0/5
فِيهِمَا عَيۡنَانِ تَجۡرِيَانِ ٥٠
Feehimaa `aynaani tajriyaan
Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.
🎤 Rekodi yako:
55:51
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٥١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:52
🔁 0/5
فِيهِمَا مِن كُلِّ فَٰكِهَةٍ زَوۡجَانِ ٥٢
Feehimaa min kulli faakihatin zawjaan
Humo katika kila matunda zimo namna mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:53
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٥٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:54
🔁 0/5
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ فُرُشِۭ بَطَآئِنُهَا مِنۡ إِسۡتَبۡرَقٍۚ وَجَنَى ٱلۡجَنَّتَيۡنِ دَانٍ ٥٤
Muttaki`eena `alaa furushim bataaa`inuhaa min istabraq; wajanal jannataini daan
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.
🎤 Rekodi yako:
55:55
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٥٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:56
🔁 0/5
فِيهِنَّ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٌ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنٌّ ٥٦
Feehinna qaasiratut tarfi lam yatmishunna insun qablahum wa laa jaaann
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
🎤 Rekodi yako:
55:57
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٥٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:58
🔁 0/5
كَأَنَّهُنَّ ٱلۡيَاقُوتُ وَٱلۡمَرۡجَانُ ٥٨
ka annahunnal yaaqootu wal marjaan
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
🎤 Rekodi yako:
55:59
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٥٩
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
🎤 Rekodi yako:
55:60
🔁 0/5
هَلۡ جَزَآءُ ٱلۡإِحۡسَٰنِ إِلَّا ٱلۡإِحۡسَٰنُ ٦٠
Hal jazaaa`ul ihsaani illal ihsaan
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
🎤 Rekodi yako:
55:61
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٦١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:62
🔁 0/5
وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ ٦٢
Wa min doonihimaa jannataan
Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:63
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٦٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:64
🔁 0/5
مُدۡهَآمَّتَانِ ٦٤
Mudhaaammataan
Za kijani kibivu.
🎤 Rekodi yako:
55:65
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٦٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:66
🔁 0/5
فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ ٦٦
Feehimaa `aynaani nad daakhataan
Na chemchem mbili zinazo furika.
🎤 Rekodi yako:
55:67
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٦٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:68
🔁 0/5
فِيهِمَا فَٰكِهَةٌ وَنَخۡلٌ وَرُمَّانٌ ٦٨
Feehimaa faakihatunw wa nakhlunw wa rummaan
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
🎤 Rekodi yako:
55:69
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٦٩
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:70
🔁 0/5
فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٌ ٧٠
Feehinna khairaatun hisaan
Humo wamo wanawake wema wazuri.
🎤 Rekodi yako:
55:71
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٧١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:72
🔁 0/5
حُورٌ مَّقۡصُورَٰتٌ فِي ٱلۡخِيَامِ ٧٢
Hoorum maqsooraatun fil khiyaam
Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.
🎤 Rekodi yako:
55:73
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٧٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:74
🔁 0/5
لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٌ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنٌّ ٧٤
Lam yatmis hunna insun qablahum wa laa jaaann
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.
🎤 Rekodi yako:
55:75
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٧٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:76
🔁 0/5
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ رَفۡرَفٍ خُضۡرٍ وَعَبۡقَرِيٍّ حِسَانٍ ٧٦
Muttaki`eena `alaa rafratin khudrinw wa `abqariyyin hisaan
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.
🎤 Rekodi yako:
55:77
🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ٧٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:78
🔁 0/5
تَبَٰرَكَ ٱسۡمُ رَبِّكَ ذِي ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ ٧٨
Tabaarakasmu Rabbika Zil-Jalaali wal-Ikraam
Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







