🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (78 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/78
55:1 🔁 0/5
ٱلرَّحۡمَٰنُ  ۝١
Ar Rahmaan
Arrah'man, Mwingi wa Rehema
🎤 Rekodi yako:
55:2 🔁 0/5
عَلَّمَ ٱلۡقُرۡءَانَ  ۝٢
Allamal Quran
Amefundisha Qur'ani.
🎤 Rekodi yako:
55:3 🔁 0/5
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ  ۝٣
Khalaqal insaan
Amemuumba mwanaadamu,
🎤 Rekodi yako:
55:4 🔁 0/5
عَلَّمَهُ ٱلۡبَيَانَ  ۝٤
Allamalhul bayaan
Akamfundisha kubaini.
🎤 Rekodi yako:
55:5 🔁 0/5
ٱلشَّمۡسُ وَٱلۡقَمَرُ بِحُسۡبَانٍ  ۝٥
Ashshamsu walqamaru bihusbaan
Jua na mwezi huenda kwa hisabu.
🎤 Rekodi yako:
55:6 🔁 0/5
وَٱلنَّجۡمُ وَٱلشَّجَرُ يَسۡجُدَانِ  ۝٦
Wannajmu washshajaru yasjudan
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
🎤 Rekodi yako:
55:7 🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ ٱلۡمِيزَانَ  ۝٧
Wassamaaa`a rafa`ahaa wa wada`al Meezan
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,
🎤 Rekodi yako:
55:8 🔁 0/5
أَلَّا تَطۡغَوۡاْ فِي ٱلۡمِيزَانِ  ۝٨
Allaa tatghaw fil meezaan
Ili msidhulumu katika mizani.
🎤 Rekodi yako:
55:9 🔁 0/5
وَأَقِيمُواْ ٱلۡوَزۡنَ بِٱلۡقِسۡطِ وَلَا تُخۡسِرُواْ ٱلۡمِيزَانَ  ۝٩
Wa aqeemul wazna bilqisti wa laa tukhsirul meezaan
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
🎤 Rekodi yako:
55:10 🔁 0/5
وَٱلۡأَرۡضَ وَضَعَهَا لِلۡأَنَامِ  ۝١٠
Wal arda wada`ahaa lilanaame
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
🎤 Rekodi yako:
55:11 🔁 0/5
فِيهَا فَٰكِهَةٌ وَٱلنَّخۡلُ ذَاتُ ٱلۡأَكۡمَامِ  ۝١١
Feehaa faakihatunw wan nakhlu zaatul akmaam
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
🎤 Rekodi yako:
55:12 🔁 0/5
وَٱلۡحَبُّ ذُو ٱلۡعَصۡفِ وَٱلرَّيۡحَانُ  ۝١٢
Walhabbu zul `asfi war Raihaanu
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
🎤 Rekodi yako:
55:13 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝١٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
🎤 Rekodi yako:
55:14 🔁 0/5
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن صَلۡصَٰلٍ كَٱلۡفَخَّارِ  ۝١٤
Khalaqal insaana min salsaalin kalfakhkhaari
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..
🎤 Rekodi yako:
55:15 🔁 0/5
وَخَلَقَ ٱلۡجَآنَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ  ۝١٥
Wa khalaqal jaaan mim maarijim min naar
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.
🎤 Rekodi yako:
55:16 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝١٦
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
🎤 Rekodi yako:
55:17 🔁 0/5
رَبُّ ٱلۡمَشۡرِقَيۡنِ وَرَبُّ ٱلۡمَغۡرِبَيۡنِ  ۝١٧
Rabbul mashriqayni wa Rabbul maghribayni
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:18 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝١٨
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:19 🔁 0/5
مَرَجَ ٱلۡبَحۡرَيۡنِ يَلۡتَقِيَانِ  ۝١٩
Marajal bahrayni yalta qiyaani
Anaziendesha bahari mbili zikutane;
🎤 Rekodi yako:
55:20 🔁 0/5
بَيۡنَهُمَا بَرۡزَخٌ لَّا يَبۡغِيَانِ  ۝٢٠
Bainahumaa barzakhul laa yabghiyaan
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
🎤 Rekodi yako:
55:21 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٢١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:22 🔁 0/5
يَخۡرُجُ مِنۡهُمَا ٱللُّؤۡلُؤُ وَٱلۡمَرۡجَانُ  ۝٢٢
Yakhruju minhumal lu `lu u wal marjaanu
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
🎤 Rekodi yako:
55:23 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٢٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:24 🔁 0/5
وَلَهُ ٱلۡجَوَارِ ٱلۡمُنشَـَٔاتُ فِي ٱلۡبَحۡرِ كَٱلۡأَعۡلَٰمِ  ۝٢٤
Wa lahul jawaaril mun sha`aatu fil bahri kal a`laam
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
🎤 Rekodi yako:
55:25 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٢٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:26 🔁 0/5
كُلُّ مَنۡ عَلَيۡهَا فَانٍ  ۝٢٦
Kullu man `alaihaa faan
Kila kilioko juu yake kitatoweka.
🎤 Rekodi yako:
55:27 🔁 0/5
وَيَبۡقَىٰ وَجۡهُ رَبِّكَ ذُو ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ  ۝٢٧
Wa yabqaa wajhu rabbika zul jalaali wal ikraam
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
🎤 Rekodi yako:
55:28 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٢٨
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:29 🔁 0/5
يَسۡـَٔلُهُۥ مَن فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۚ كُلَّ يَوۡمٍ هُوَ فِي شَأۡنٍ  ۝٢٩
Yas`aluhoo man fissamaawaati walard; kulla ywmin huwa fee shaan
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
🎤 Rekodi yako:
55:30 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٣٠
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:31 🔁 0/5
سَنَفۡرُغُ لَكُمۡ أَيُّهَ ٱلثَّقَلَانِ  ۝٣١
Sanafrughu lakum ayyuhas saqalaan
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
🎤 Rekodi yako:
55:32 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٣٢
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:33 🔁 0/5
يَٰمَعۡشَرَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ إِنِ ٱسۡتَطَعۡتُمۡ أَن تَنفُذُواْ مِنۡ أَقۡطَارِ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ فَٱنفُذُواْۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلۡطَٰنٍ  ۝٣٣
Yaa ma`sharal jinni wal insi inis tata`tum an tanfuzoo min aqtaaris samaawaati wal ardi fanfuzoo; laa tanfuzoona illaa bisultaan
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.
🎤 Rekodi yako:
55:34 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٣٤
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:35 🔁 0/5
يُرۡسَلُ عَلَيۡكُمَا شُوَاظٌ مِّن نَّارٍ وَنُحَاسٌ فَلَا تَنتَصِرَانِ  ۝٣٥
Yursalu `alaikumaa shuwaazum min naarifiw-wa nuhaasun falaa tantasiraan
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
🎤 Rekodi yako:
55:36 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٣٦
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:37 🔁 0/5
فَإِذَا ٱنشَقَّتِ ٱلسَّمَآءُ فَكَانَتۡ وَرۡدَةً كَٱلدِّهَانِ  ۝٣٧
Fa-izan shaqqatis samaaa`u fakaanat wardatan kaddihaan
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
🎤 Rekodi yako:
55:38 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٣٨
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:39 🔁 0/5
فَيَوۡمَئِذٍ لَّا يُسۡـَٔلُ عَن ذَنۢبِهِۦٓ إِنسٌ وَلَا جَآنٌّ  ۝٣٩
Fa-yawma`izil laa yus`alu `an zambiheee insunw wa laa jaann
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
🎤 Rekodi yako:
55:40 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٤٠
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:41 🔁 0/5
يُعۡرَفُ ٱلۡمُجۡرِمُونَ بِسِيمَٰهُمۡ فَيُؤۡخَذُ بِٱلنَّوَٰصِي وَٱلۡأَقۡدَامِ  ۝٤١
Yu`raful mujrimoona biseemaahum fa`yu`khazu binna waasi wal aqdaam
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
🎤 Rekodi yako:
55:42 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٤٢
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:43 🔁 0/5
هَٰذِهِۦ جَهَنَّمُ ٱلَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا ٱلۡمُجۡرِمُونَ  ۝٤٣
Haazihee jahannamul latee yukazzibu bihal mujrimoon
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
🎤 Rekodi yako:
55:44 🔁 0/5
يَطُوفُونَ بَيۡنَهَا وَبَيۡنَ حَمِيمٍ ءَانٍ  ۝٤٤
Yatoofoona bainahaa wa baina hameemim aan
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
🎤 Rekodi yako:
55:45 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٤٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:46 🔁 0/5
وَلِمَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ جَنَّتَانِ  ۝٤٦
Wa liman khaafa maqaama rabbihee jannataan
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:47 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٤٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:48 🔁 0/5
ذَوَاتَآ أَفۡنَانٍ  ۝٤٨
Zawaataaa afnaan
Bustani zenye matawi yaliyo tanda.
🎤 Rekodi yako:
55:49 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٤٩
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:50 🔁 0/5
فِيهِمَا عَيۡنَانِ تَجۡرِيَانِ  ۝٥٠
Feehimaa `aynaani tajriyaan
Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.
🎤 Rekodi yako:
55:51 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٥١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:52 🔁 0/5
فِيهِمَا مِن كُلِّ فَٰكِهَةٍ زَوۡجَانِ  ۝٥٢
Feehimaa min kulli faakihatin zawjaan
Humo katika kila matunda zimo namna mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:53 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٥٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:54 🔁 0/5
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ فُرُشِۭ بَطَآئِنُهَا مِنۡ إِسۡتَبۡرَقٍۚ وَجَنَى ٱلۡجَنَّتَيۡنِ دَانٍ  ۝٥٤
Muttaki`eena `alaa furushim bataaa`inuhaa min istabraq; wajanal jannataini daan
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.
🎤 Rekodi yako:
55:55 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٥٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:56 🔁 0/5
فِيهِنَّ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٌ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنٌّ  ۝٥٦
Feehinna qaasiratut tarfi lam yatmishunna insun qablahum wa laa jaaann
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
🎤 Rekodi yako:
55:57 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٥٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:58 🔁 0/5
كَأَنَّهُنَّ ٱلۡيَاقُوتُ وَٱلۡمَرۡجَانُ  ۝٥٨
ka annahunnal yaaqootu wal marjaan
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
🎤 Rekodi yako:
55:59 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٥٩
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
🎤 Rekodi yako:
55:60 🔁 0/5
هَلۡ جَزَآءُ ٱلۡإِحۡسَٰنِ إِلَّا ٱلۡإِحۡسَٰنُ  ۝٦٠
Hal jazaaa`ul ihsaani illal ihsaan
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
🎤 Rekodi yako:
55:61 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٦١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:62 🔁 0/5
وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ  ۝٦٢
Wa min doonihimaa jannataan
Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili.
🎤 Rekodi yako:
55:63 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٦٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:64 🔁 0/5
مُدۡهَآمَّتَانِ  ۝٦٤
Mudhaaammataan
Za kijani kibivu.
🎤 Rekodi yako:
55:65 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٦٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:66 🔁 0/5
فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ  ۝٦٦
Feehimaa `aynaani nad daakhataan
Na chemchem mbili zinazo furika.
🎤 Rekodi yako:
55:67 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٦٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:68 🔁 0/5
فِيهِمَا فَٰكِهَةٌ وَنَخۡلٌ وَرُمَّانٌ  ۝٦٨
Feehimaa faakihatunw wa nakhlunw wa rummaan
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
🎤 Rekodi yako:
55:69 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٦٩
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:70 🔁 0/5
فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٌ  ۝٧٠
Feehinna khairaatun hisaan
Humo wamo wanawake wema wazuri.
🎤 Rekodi yako:
55:71 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٧١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:72 🔁 0/5
حُورٌ مَّقۡصُورَٰتٌ فِي ٱلۡخِيَامِ  ۝٧٢
Hoorum maqsooraatun fil khiyaam
Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.
🎤 Rekodi yako:
55:73 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٧٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:74 🔁 0/5
لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٌ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنٌّ  ۝٧٤
Lam yatmis hunna insun qablahum wa laa jaaann
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.
🎤 Rekodi yako:
55:75 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٧٥
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:76 🔁 0/5
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ رَفۡرَفٍ خُضۡرٍ وَعَبۡقَرِيٍّ حِسَانٍ  ۝٧٦
Muttaki`eena `alaa rafratin khudrinw wa `abqariyyin hisaan
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.
🎤 Rekodi yako:
55:77 🔁 0/5
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ  ۝٧٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎤 Rekodi yako:
55:78 🔁 0/5
تَبَٰرَكَ ٱسۡمُ رَبِّكَ ذِي ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ  ۝٧٨
Tabaarakasmu Rabbika Zil-Jalaali wal-Ikraam
Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema