Sura Ar-Rahman
PDF —
78 Aya Madina PDF
Built right in your browser — download starts automatically

Sura Ar-Rahman pdf — Pakua (Kiswahili)

Sura Ar-Rahman pdf Kiswahili — Pakua Sura Ar-Rahman Tafsiri. Ar-Rahman (Madina) 78 Aya.



Sura Ar-Rahman
78 Aya · Madina · Kiswahili
bismillah
ﭷﭸ
Arrah'man, Mwingi wa Rehema
ﭹﭺﭻ
Amefundisha Qur'ani.
ﭼﭽﭾ
Amemuumba mwanaadamu,
ﭿﮀﮁ
Akamfundisha kubaini.
ﮂﮃﮄﮅ
Jua na mwezi huenda kwa hisabu.
ﮆﮇﮈﮉ
Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
ﮊﮋﮌﮍﮎ
Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,
ﮏﮐﮑﮒﮓ
Ili msidhulumu katika mizani.
ﮔﮕﮖﮗﮘﮙﮚ
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
ﮛﮜﮝﮞ
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
ﮟﮠﮡﮢﮣﮤ
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
ﮥﮦﮧﮨﮩ
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
ﮪﮫﮬﮭﮮ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
ﮯﮰﮱﯓﯔﯕ
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..
ﯖﯗﯘﯙﯚﯛﯜ
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.
ﯝﯞﯟﯠﯡ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
ﯢﯣﯤﯥﯦ
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
ﯧﯨﯩﯪﯫ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭑﭒﭓﭔ
Anaziendesha bahari mbili zikutane;
ﭕﭖﭗﭘﭙ
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
ﭚﭛﭜﭝﭞ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭟﭠﭡﭢﭣ
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
ﭤﭥﭦﭧﭨ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭩﭪﭫﭬﭭﭮﭯ
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
ﭰﭱﭲﭳﭴ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭵﭶﭷﭸﭹ
Kila kilioko juu yake kitatoweka.
ﭺﭻﭼﭽﭾﭿﮀ
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
ﮁﮂﮃﮄﮅ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﮆﮇﮈﮉﮊﮋﮌﮍﮎﮏﮐﮑ
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
ﮒﮓﮔﮕﮖ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﮗﮘﮙﮚﮛ
Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
ﮜﮝﮞﮟﮠ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﮡﮢﮣﮤﮥﮦﮧﮨﮩﮪﮫﮬﮭﮮﮯﮰﮱﯓ
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.
ﯔﯕﯖﯗﯘ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﯙﯚﯛﯜﯝﯞﯟﯠﯡ
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
ﯢﯣﯤﯥﯦ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﯧﯨﯩﯪﯫﯬﯭ
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
ﯮﯯﯰﯱﯲ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﯳﯴﯵﯶﯷﯸﯹﯺﯻ
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
ﯼﯽﯾﯿﰀ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﰁﰂﰃﰄﰅﰆﰇ
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
ﭑﭒﭓﭔﭕ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭖﭗﭘﭙﭚﭛﭜ
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
ﭝﭞﭟﭠﭡﭢ
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
ﭣﭤﭥﭦﭧ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭨﭩﭪﭫﭬﭭ
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
ﭮﭯﭰﭱﭲ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭳﭴﭵ
Bustani zenye matawi yaliyo tanda.
ﭶﭷﭸﭹﭺ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭻﭼﭽﭾ
Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.
ﭿﮀﮁﮂﮃ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﮄﮅﮆﮇﮈﮉ
Humo katika kila matunda zimo namna mbili.
ﮊﮋﮌﮍﮎ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﮏﮐﮑﮒﮓﮔﮕﮖﮗﮘﮙ
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.
ﮚﮛﮜﮝﮞ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﮟﮠﮡﮢﮣﮤﮥﮦﮧﮨ
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
ﮩﮪﮫﮬﮭ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﮮﮯﮰﮱ
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
ﯓﯔﯕﯖﯗ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
ﯘﯙﯚﯛﯜﯝ
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
ﯞﯟﯠﯡﯢ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﯣﯤﯥﯦ
Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili.
ﯧﯨﯩﯪﯫ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﯬﯭ
Za kijani kibivu.
ﯮﯯﯰﯱﯲ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﯳﯴﯵﯶ
Na chemchem mbili zinazo furika.
ﯷﯸﯹﯺﯻ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﯼﯽﯾﯿﰀ
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
ﰁﰂﰃﰄﰅ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭑﭒﭓﭔ
Humo wamo wanawake wema wazuri.
ﭕﭖﭗﭘﭙ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭚﭛﭜﭝﭞ
Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.
ﭟﭠﭡﭢﭣ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭤﭥﭦﭧﭨﭩﭪ
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.
ﭫﭬﭭﭮﭯ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭰﭱﭲﭳﭴﭵﭶ
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.
ﭷﭸﭹﭺﭻ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
ﭼﭽﭾﭿﮀﮁﮂ
Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema