🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (96 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/96
56:1 🔁 0/5
إِذَا وَقَعَتِ ٱلۡوَاقِعَةُ  ۝١
Izaa waqa`atil waaqi`ah
Litakapo tukia hilo Tukio
🎤 Rekodi yako:
56:2 🔁 0/5
لَيۡسَ لِوَقۡعَتِهَا كَاذِبَةٌ  ۝٢
Laisa liwaq`atihaa kaazibah
Hapana cha kukanusha kutukia kwake.
🎤 Rekodi yako:
56:3 🔁 0/5
خَافِضَةٌ رَّافِعَةٌ  ۝٣
Khafidatur raafi`ah
Literemshalo linyanyualo,
🎤 Rekodi yako:
56:4 🔁 0/5
إِذَا رُجَّتِ ٱلۡأَرۡضُ رَجًّا  ۝٤
Izaa rujjatil ardu rajjaa
Itakapo tikiswa ardhi kwa mtikiso,
🎤 Rekodi yako:
56:5 🔁 0/5
وَبُسَّتِ ٱلۡجِبَالُ بَسًّا  ۝٥
Wa bussatil jibaalu bassaa
Na milima itapo sagwasagwa,
🎤 Rekodi yako:
56:6 🔁 0/5
فَكَانَتۡ هَبَآءً مُّنۢبَثًّا  ۝٦
Fakaanat habaaa`am mumbassaa
Iwe mavumbi yanayo peperushwa,
🎤 Rekodi yako:
56:7 🔁 0/5
وَكُنتُمۡ أَزۡوَٰجًا ثَلَٰثَةً  ۝٧
Wa kuntum azwaajan salaasah
Na nyinyi mtakuwa namna tatu:-
🎤 Rekodi yako:
56:8 🔁 0/5
فَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ  ۝٨
Fa as haabul maimanati maaa as haabul maimanah
Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
🎤 Rekodi yako:
56:9 🔁 0/5
وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ  ۝٩
Wa as haabul mash`amati maaa as haabul mash`amah
Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
🎤 Rekodi yako:
56:10 🔁 0/5
وَٱلسَّٰبِقُونَ ٱلسَّٰبِقُونَ  ۝١٠
Wassaabiqoonas saabiqoon
Na wa mbele watakuwa mbele.
🎤 Rekodi yako:
56:11 🔁 0/5
أُوْلَٰٓئِكَ ٱلۡمُقَرَّبُونَ  ۝١١
Ulaaa`ikal muqarraboon
Hao ndio watakao karibishwa
🎤 Rekodi yako:
56:12 🔁 0/5
فِي جَنَّٰتِ ٱلنَّعِيمِ  ۝١٢
Fee Jannaatin Na`eem
Katika Bustani zenye neema.
🎤 Rekodi yako:
56:13 🔁 0/5
ثُلَّةٌ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ  ۝١٣
Sullatum minal awwaleen
Fungu kubwa katika wa mwanzo,
🎤 Rekodi yako:
56:14 🔁 0/5
وَقَلِيلٌ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ  ۝١٤
Wa qaleelum minal aa khireen
Na wachache katika wa mwisho.
🎤 Rekodi yako:
56:15 🔁 0/5
عَلَىٰ سُرُرٍ مَّوۡضُونَةٍ  ۝١٥
Alaa sururim mawdoonah
Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
🎤 Rekodi yako:
56:16 🔁 0/5
مُّتَّكِـِٔينَ عَلَيۡهَا مُتَقَٰبِلِينَ  ۝١٦
Muttaki`eena `alaihaa mutaqabileen
Wakiviegemea wakielekeana.
🎤 Rekodi yako:
56:17 🔁 0/5
يَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ وِلۡدَٰنٌ مُّخَلَّدُونَ  ۝١٧
Yatoofu `alaihim wildaa num mukkhalladoon
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
🎤 Rekodi yako:
56:18 🔁 0/5
بِأَكۡوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأۡسٍ مِّن مَّعِينٍ  ۝١٨
Bi akwaabinw wa abaareeq, wa kaasim mim ma`een
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
🎤 Rekodi yako:
56:19 🔁 0/5
لَّا يُصَدَّعُونَ عَنۡهَا وَلَا يُنزِفُونَ  ۝١٩
Laa yusadda`oona `anhaa wa laa yunzifoon
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
🎤 Rekodi yako:
56:20 🔁 0/5
وَفَٰكِهَةٍ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ  ۝٢٠
Wa faakihatim mimmaa yatakhaiyaroon
Na matunda wayapendayo,
🎤 Rekodi yako:
56:21 🔁 0/5
وَلَحۡمِ طَيۡرٍ مِّمَّا يَشۡتَهُونَ  ۝٢١
Wa lahmi tairim mimmaa yashtahoon
Na nyama za ndege kama wanavyo tamani.
🎤 Rekodi yako:
56:22 🔁 0/5
وَحُورٌ عِينٌ  ۝٢٢
Wa hoorun`een
Na Mahurulaini,
🎤 Rekodi yako:
56:23 🔁 0/5
كَأَمۡثَٰلِ ٱللُّؤۡلُوِٕ ٱلۡمَكۡنُونِ  ۝٢٣
Ka amsaalil lu`lu`il maknoon
Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
🎤 Rekodi yako:
56:24 🔁 0/5
جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ  ۝٢٤
Jazaaa`am bimaa kaanoo ya`maloon
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
🎤 Rekodi yako:
56:25 🔁 0/5
لَا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوًا وَلَا تَأۡثِيمًا  ۝٢٥
Laa yasma`oona feehaa laghwanw wa laa taaseemaa
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
🎤 Rekodi yako:
56:26 🔁 0/5
إِلَّا قِيلًا سَلَٰمًا سَلَٰمًا  ۝٢٦
Illaa qeelan salaaman salaamaa
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
🎤 Rekodi yako:
56:27 🔁 0/5
وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ  ۝٢٧
Wa as haabul yameeni maaa as haabul Yameen
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
🎤 Rekodi yako:
56:28 🔁 0/5
فِي سِدۡرٍ مَّخۡضُودٍ  ۝٢٨
Fee sidrim makhdood
Katika mikunazi isiyo na miba,
🎤 Rekodi yako:
56:29 🔁 0/5
وَطَلۡحٍ مَّنضُودٍ  ۝٢٩
Wa talhim mandood
Na migomba iliyo pangiliwa,
🎤 Rekodi yako:
56:30 🔁 0/5
وَظِلٍّ مَّمۡدُودٍ  ۝٣٠
Wa zillim mamdood
Na kivuli kilicho tanda,
🎤 Rekodi yako:
56:31 🔁 0/5
وَمَآءٍ مَّسۡكُوبٍ  ۝٣١
Wa maaa`im maskoob
Na maji yanayo miminika,
🎤 Rekodi yako:
56:32 🔁 0/5
وَفَٰكِهَةٍ كَثِيرَةٍ  ۝٣٢
Wa faakihatin kaseerah
Na matunda mengi,
🎤 Rekodi yako:
56:33 🔁 0/5
لَّا مَقۡطُوعَةٍ وَلَا مَمۡنُوعَةٍ  ۝٣٣
Laa maqtoo`atinw wa laa mamnoo`ah
Hayatindikii wala hayakatazwi,
🎤 Rekodi yako:
56:34 🔁 0/5
وَفُرُشٍ مَّرۡفُوعَةٍ  ۝٣٤
Wa furushim marfoo`ah
Na matandiko yaliyo nyanyuliwa.
🎤 Rekodi yako:
56:35 🔁 0/5
إِنَّآ أَنشَأۡنَٰهُنَّ إِنشَآءً  ۝٣٥
Innaaa anshaanaahunna inshaaa`aa
Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
🎤 Rekodi yako:
56:36 🔁 0/5
فَجَعَلۡنَٰهُنَّ أَبۡكَارًا  ۝٣٦
Faja`alnaahunna abkaaraa
Na tutawafanya vijana,
🎤 Rekodi yako:
56:37 🔁 0/5
عُرُبًا أَتۡرَابًا  ۝٣٧
Uruban atraabaa
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
🎤 Rekodi yako:
56:38 🔁 0/5
لِّأَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ  ۝٣٨
Li as haabil yameen
Kwa ajili ya watu wa kuliani.
🎤 Rekodi yako:
56:39 🔁 0/5
ثُلَّةٌ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ  ۝٣٩
Sullatum minal awwa leen
Fungu kubwa katika wa mwanzo,
🎤 Rekodi yako:
56:40 🔁 0/5
وَثُلَّةٌ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ  ۝٤٠
Wa sullatum minal aakhireen
Na fungu kubwa katika wa mwisho.
🎤 Rekodi yako:
56:41 🔁 0/5
وَأَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ  ۝٤١
Wa as haabush shimaali maaa as haabush shimaal
Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
🎤 Rekodi yako:
56:42 🔁 0/5
فِي سَمُومٍ وَحَمِيمٍ  ۝٤٢
Fee samoominw wa hameem
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
🎤 Rekodi yako:
56:43 🔁 0/5
وَظِلٍّ مِّن يَحۡمُومٍ  ۝٤٣
Wa zillim miny yahmoom
Na kivuli cha moshi mweusi,
🎤 Rekodi yako:
56:44 🔁 0/5
لَّا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ  ۝٤٤
Laa baaridinw wa laa kareem
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
🎤 Rekodi yako:
56:45 🔁 0/5
إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَبۡلَ ذَٰلِكَ مُتۡرَفِينَ  ۝٤٥
Innaahum kaanoo qabla zaalika mutrafeen
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
🎤 Rekodi yako:
56:46 🔁 0/5
وَكَانُواْ يُصِرُّونَ عَلَى ٱلۡحِنثِ ٱلۡعَظِيمِ  ۝٤٦
Wa kaanoo yusirroona `alal hinsil `azeem
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
🎤 Rekodi yako:
56:47 🔁 0/5
وَكَانُواْ يَقُولُونَ أَئِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبۡعُوثُونَ  ۝٤٧
Wa kaanoo yaqooloona a`izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa izaaman`ainnaa lamab`oosoon
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
🎤 Rekodi yako:
56:48 🔁 0/5
أَوَءَابَآؤُنَا ٱلۡأَوَّلُونَ  ۝٤٨
Awa aabaaa`unal awwaloon
Au baba zetu wa zamani?
🎤 Rekodi yako:
56:49 🔁 0/5
قُلۡ إِنَّ ٱلۡأَوَّلِينَ وَٱلۡأٓخِرِينَ  ۝٤٩
Qul innal awwaleena wal aakhireen
Sema: Hakika wa zamani na wa mwisho
🎤 Rekodi yako:
56:50 🔁 0/5
لَمَجۡمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَٰتِ يَوۡمٍ مَّعۡلُومٍ  ۝٥٠
Lamajmoo`oona ilaa meeqaati yawmim ma`loon
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
🎤 Rekodi yako:
56:51 🔁 0/5
ثُمَّ إِنَّكُمۡ أَيُّهَا ٱلضَّآلُّونَ ٱلۡمُكَذِّبُونَ  ۝٥١
summa innakum ayyuhad daaalloonal mukazziboon
Kisha nyinyi, mlio potea, mnao kanusha,
🎤 Rekodi yako:
56:52 🔁 0/5
لَأٓكِلُونَ مِن شَجَرٍ مِّن زَقُّومٍ  ۝٥٢
La aakiloona min shaja rim min zaqqoom
Kwa yakini mtakula mti wa Zaqqumu.
🎤 Rekodi yako:
56:53 🔁 0/5
فَمَالِـُٔونَ مِنۡهَا ٱلۡبُطُونَ  ۝٥٣
Famaali`oona minhal butoon
Na kwa mti huo mtajaza matumbo.
🎤 Rekodi yako:
56:54 🔁 0/5
فَشَٰرِبُونَ عَلَيۡهِ مِنَ ٱلۡحَمِيمِ  ۝٥٤
Fashaariboona `alaihi minal hameem
Na juu yake mtakunywa maji yanayo chemka.
🎤 Rekodi yako:
56:55 🔁 0/5
فَشَٰرِبُونَ شُرۡبَ ٱلۡهِيمِ  ۝٥٥
Fashaariboona shurbal heem
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
🎤 Rekodi yako:
56:56 🔁 0/5
هَٰذَا نُزُلُهُمۡ يَوۡمَ ٱلدِّينِ  ۝٥٦
Haazaa nuzuluhum yawmad deen
Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
🎤 Rekodi yako:
56:57 🔁 0/5
نَحۡنُ خَلَقۡنَٰكُمۡ فَلَوۡلَا تُصَدِّقُونَ  ۝٥٧
Nahnu khalaqnaakum falaw laa tusaddiqoon
Sisi tumekuumbeni; basi hamsadiki?
🎤 Rekodi yako:
56:58 🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تُمۡنُونَ  ۝٥٨
Afara`aytum maa tumnoon
Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
🎤 Rekodi yako:
56:59 🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ تَخۡلُقُونَهُۥٓ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡخَٰلِقُونَ  ۝٥٩
A-antum takhluqoo nahooo am nahnul khaaliqoon
Je! Mnaiumba nyinyi, au ni Sisi ndio Waumbaji?
🎤 Rekodi yako:
56:60 🔁 0/5
نَحۡنُ قَدَّرۡنَا بَيۡنَكُمُ ٱلۡمَوۡتَ وَمَا نَحۡنُ بِمَسۡبُوقِينَ  ۝٦٠
Nahnu qaddarnaa baina kumul mawta wa maa nahnu bimasbooqeen
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
🎤 Rekodi yako:
56:61 🔁 0/5
عَلَىٰٓ أَن نُّبَدِّلَ أَمۡثَٰلَكُمۡ وَنُنشِئَكُمۡ فِي مَا لَا تَعۡلَمُونَ  ۝٦١
Alaaa an nubaddila amsaalakum wa nunshi`akum fee maa laa ta`lamoon
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
🎤 Rekodi yako:
56:62 🔁 0/5
وَلَقَدۡ عَلِمۡتُمُ ٱلنَّشۡأَةَ ٱلۡأُولَىٰ فَلَوۡلَا تَذَكَّرُونَ  ۝٦٢
Wa laqad `alimtumun nash atal oolaa falaw laa tazakkaroon
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
🎤 Rekodi yako:
56:63 🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تَحۡرُثُونَ  ۝٦٣
Afara`aytum maa tahrusoon
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
🎤 Rekodi yako:
56:64 🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ تَزۡرَعُونَهُۥٓ أَمۡ نَحۡنُ ٱلزَّٰرِعُونَ  ۝٦٤
A-antum tazra`oonahooo am nahnuz zaari`ooon
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
🎤 Rekodi yako:
56:65 🔁 0/5
لَوۡ نَشَآءُ لَجَعَلۡنَٰهُ حُطَٰمًا فَظَلۡتُمۡ تَفَكَّهُونَ  ۝٦٥
Law nashaaa`u laja`al naahu hutaaman fazaltum tafakkahoon
Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
🎤 Rekodi yako:
56:66 🔁 0/5
إِنَّا لَمُغۡرَمُونَ  ۝٦٦
Innaa lamughramoon
Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
🎤 Rekodi yako:
56:67 🔁 0/5
بَلۡ نَحۡنُ مَحۡرُومُونَ  ۝٦٧
Bal nahnu mahroomoon
Bali sisi tumenyimwa.
🎤 Rekodi yako:
56:68 🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُمُ ٱلۡمَآءَ ٱلَّذِي تَشۡرَبُونَ  ۝٦٨
Afara`aytumul maaa`allazee tashraboon
Je! Mnayaona maji mnayo yanywa?
🎤 Rekodi yako:
56:69 🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ أَنزَلۡتُمُوهُ مِنَ ٱلۡمُزۡنِ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡمُنزِلُونَ  ۝٦٩
A-antum anzaltumoohu minal muzni am nahnul munziloon
Je! Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?
🎤 Rekodi yako:
56:70 🔁 0/5
لَوۡ نَشَآءُ جَعَلۡنَٰهُ أُجَاجًا فَلَوۡلَا تَشۡكُرُونَ  ۝٧٠
Law nashaaa`u ja`alnaahu ujaajan falaw laa tashkuroon
Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
🎤 Rekodi yako:
56:71 🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُمُ ٱلنَّارَ ٱلَّتِي تُورُونَ  ۝٧١
Afara`aytumun naaral latee tooroon
Je! Mnauona moto mnao uwasha?
🎤 Rekodi yako:
56:72 🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ أَنشَأۡتُمۡ شَجَرَتَهَآ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡمُنشِـُٔونَ  ۝٧٢
A-antum anshaatum shajaratahaaa am nahnul munshi`oon
Ni nyinyi mlio uumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
🎤 Rekodi yako:
56:73 🔁 0/5
نَحۡنُ جَعَلۡنَٰهَا تَذۡكِرَةً وَمَتَٰعًا لِّلۡمُقۡوِينَ  ۝٧٣
Nahnu ja`alnaahaa tazkira tanw wa mataa`al lilmuqween
Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
🎤 Rekodi yako:
56:74 🔁 0/5
فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ  ۝٧٤
Fasabbih bismi Rabbikal `azeem
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
🎤 Rekodi yako:
56:75 🔁 0/5
۞ فَلَآ أُقۡسِمُ بِمَوَٰقِعِ ٱلنُّجُومِ  ۝٧٥
Falaa uqsimu bimaawaa qi`innujoom
Basi naapa kwa maanguko ya nyota,
🎤 Rekodi yako:
56:76 🔁 0/5
وَإِنَّهُۥ لَقَسَمٌ لَّوۡ تَعۡلَمُونَ عَظِيمٌ  ۝٧٦
Wa innahoo laqasamul lawta`lamoona`azeem
Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
🎤 Rekodi yako:
56:77 🔁 0/5
إِنَّهُۥ لَقُرۡءَانٌ كَرِيمٌ  ۝٧٧
Innahoo la quraanun kareem
Hakika hii bila ya shaka ni Qur'ani Tukufu,
🎤 Rekodi yako:
56:78 🔁 0/5
فِي كِتَٰبٍ مَّكۡنُونٍ  ۝٧٨
Fee kitaabim maknoon
Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
🎤 Rekodi yako:
56:79 🔁 0/5
لَّا يَمَسُّهُۥٓ إِلَّا ٱلۡمُطَهَّرُونَ  ۝٧٩
Laa yamassuhooo illal mutahharoon
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
🎤 Rekodi yako:
56:80 🔁 0/5
تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ  ۝٨٠
Tanzeelum mir Rabbil`aalameen
Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
56:81 🔁 0/5
أَفَبِهَٰذَا ٱلۡحَدِيثِ أَنتُم مُّدۡهِنُونَ  ۝٨١
Afabihaazal hadeesi antum mudhinoon
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
🎤 Rekodi yako:
56:82 🔁 0/5
وَتَجۡعَلُونَ رِزۡقَكُمۡ أَنَّكُمۡ تُكَذِّبُونَ  ۝٨٢
Wa taj`aloona rizqakum annakum tukazziboon
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
🎤 Rekodi yako:
56:83 🔁 0/5
فَلَوۡلَآ إِذَا بَلَغَتِ ٱلۡحُلۡقُومَ  ۝٨٣
Falaw laaa izaa balaghatil hulqoom
Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
🎤 Rekodi yako:
56:84 🔁 0/5
وَأَنتُمۡ حِينَئِذٍ تَنظُرُونَ  ۝٨٤
Wa antum heena`izin tanzuroon
Na nyinyi wakati huo mnatazama!
🎤 Rekodi yako:
56:85 🔁 0/5
وَنَحۡنُ أَقۡرَبُ إِلَيۡهِ مِنكُمۡ وَلَٰكِن لَّا تُبۡصِرُونَ  ۝٨٥
Wa nahnu aqrabu ilaihi minkum wa laakil laa tubsiroon
Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi.
🎤 Rekodi yako:
56:86 🔁 0/5
فَلَوۡلَآ إِن كُنتُمۡ غَيۡرَ مَدِينِينَ  ۝٨٦
Falaw laaa in kuntum ghira madeeneen
Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu,
🎤 Rekodi yako:
56:87 🔁 0/5
تَرۡجِعُونَهَآ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ  ۝٨٧
Tarji`oonahaaa in kuntum saadiqeen
Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
🎤 Rekodi yako:
56:88 🔁 0/5
فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ  ۝٨٨
Fa ammaaa in kaana minal muqarrabeen
Basi akiwa miongoni mwa walio karibishwa,
🎤 Rekodi yako:
56:89 🔁 0/5
فَرَوۡحٌ وَرَيۡحَانٌ وَجَنَّتُ نَعِيمٍ  ۝٨٩
Farawhunw wa raihaa nunw wa jannatu na`eem
Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
🎤 Rekodi yako:
56:90 🔁 0/5
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنۡ أَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ  ۝٩٠
Wa ammaaa in kaana min as haabil yameen
Na akiwa katika watu wa upande wa kulia,
🎤 Rekodi yako:
56:91 🔁 0/5
فَسَلَٰمٌ لَّكَ مِنۡ أَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ  ۝٩١
Fasalaamul laka min as haabil yameen
Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
🎤 Rekodi yako:
56:92 🔁 0/5
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُكَذِّبِينَ ٱلضَّآلِّينَ  ۝٩٢
Wa ammaaa in kaana minal mukazzibeenad daaalleen
Na ama akiwa katika walio kadhibisha wapotovu,
🎤 Rekodi yako:
56:93 🔁 0/5
فَنُزُلٌ مِّنۡ حَمِيمٍ  ۝٩٣
Fanuzulum min hameem
Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
🎤 Rekodi yako:
56:94 🔁 0/5
وَتَصۡلِيَةُ جَحِيمٍ  ۝٩٤
Wa tasliyatu jaheem
Na kutiwa Motoni.
🎤 Rekodi yako:
56:95 🔁 0/5
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ حَقُّ ٱلۡيَقِينِ  ۝٩٥
Inna haaza lahuwa haqqul yaqeen
Hakika hii ndiyo haki yenye yakini.
🎤 Rekodi yako:
56:96 🔁 0/5
فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ  ۝٩٦
Fasabbih bismi rabbikal `azeem
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema