🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (96 Aya)
0/96
56:1
🔁 0/5
إِذَا وَقَعَتِ ٱلۡوَاقِعَةُ ١
Izaa waqa`atil waaqi`ah
Litakapo tukia hilo Tukio
🎤 Rekodi yako:
56:2
🔁 0/5
لَيۡسَ لِوَقۡعَتِهَا كَاذِبَةٌ ٢
Laisa liwaq`atihaa kaazibah
Hapana cha kukanusha kutukia kwake.
🎤 Rekodi yako:
56:3
🔁 0/5
خَافِضَةٌ رَّافِعَةٌ ٣
Khafidatur raafi`ah
Literemshalo linyanyualo,
🎤 Rekodi yako:
56:4
🔁 0/5
إِذَا رُجَّتِ ٱلۡأَرۡضُ رَجًّا ٤
Izaa rujjatil ardu rajjaa
Itakapo tikiswa ardhi kwa mtikiso,
🎤 Rekodi yako:
56:5
🔁 0/5
وَبُسَّتِ ٱلۡجِبَالُ بَسًّا ٥
Wa bussatil jibaalu bassaa
Na milima itapo sagwasagwa,
🎤 Rekodi yako:
56:6
🔁 0/5
فَكَانَتۡ هَبَآءً مُّنۢبَثًّا ٦
Fakaanat habaaa`am mumbassaa
Iwe mavumbi yanayo peperushwa,
🎤 Rekodi yako:
56:7
🔁 0/5
وَكُنتُمۡ أَزۡوَٰجًا ثَلَٰثَةً ٧
Wa kuntum azwaajan salaasah
Na nyinyi mtakuwa namna tatu:-
🎤 Rekodi yako:
56:8
🔁 0/5
فَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ ٨
Fa as haabul maimanati maaa as haabul maimanah
Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
🎤 Rekodi yako:
56:9
🔁 0/5
وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ ٩
Wa as haabul mash`amati maaa as haabul mash`amah
Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
🎤 Rekodi yako:
56:10
🔁 0/5
وَٱلسَّٰبِقُونَ ٱلسَّٰبِقُونَ ١٠
Wassaabiqoonas saabiqoon
Na wa mbele watakuwa mbele.
🎤 Rekodi yako:
56:11
🔁 0/5
أُوْلَٰٓئِكَ ٱلۡمُقَرَّبُونَ ١١
Ulaaa`ikal muqarraboon
Hao ndio watakao karibishwa
🎤 Rekodi yako:
56:12
🔁 0/5
فِي جَنَّٰتِ ٱلنَّعِيمِ ١٢
Fee Jannaatin Na`eem
Katika Bustani zenye neema.
🎤 Rekodi yako:
56:13
🔁 0/5
ثُلَّةٌ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ ١٣
Sullatum minal awwaleen
Fungu kubwa katika wa mwanzo,
🎤 Rekodi yako:
56:14
🔁 0/5
وَقَلِيلٌ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ ١٤
Wa qaleelum minal aa khireen
Na wachache katika wa mwisho.
🎤 Rekodi yako:
56:15
🔁 0/5
عَلَىٰ سُرُرٍ مَّوۡضُونَةٍ ١٥
Alaa sururim mawdoonah
Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
🎤 Rekodi yako:
56:16
🔁 0/5
مُّتَّكِـِٔينَ عَلَيۡهَا مُتَقَٰبِلِينَ ١٦
Muttaki`eena `alaihaa mutaqabileen
Wakiviegemea wakielekeana.
🎤 Rekodi yako:
56:17
🔁 0/5
يَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ وِلۡدَٰنٌ مُّخَلَّدُونَ ١٧
Yatoofu `alaihim wildaa num mukkhalladoon
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
🎤 Rekodi yako:
56:18
🔁 0/5
بِأَكۡوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأۡسٍ مِّن مَّعِينٍ ١٨
Bi akwaabinw wa abaareeq, wa kaasim mim ma`een
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
🎤 Rekodi yako:
56:19
🔁 0/5
لَّا يُصَدَّعُونَ عَنۡهَا وَلَا يُنزِفُونَ ١٩
Laa yusadda`oona `anhaa wa laa yunzifoon
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
🎤 Rekodi yako:
56:20
🔁 0/5
وَفَٰكِهَةٍ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ ٢٠
Wa faakihatim mimmaa yatakhaiyaroon
Na matunda wayapendayo,
🎤 Rekodi yako:
56:21
🔁 0/5
وَلَحۡمِ طَيۡرٍ مِّمَّا يَشۡتَهُونَ ٢١
Wa lahmi tairim mimmaa yashtahoon
Na nyama za ndege kama wanavyo tamani.
🎤 Rekodi yako:
56:22
🔁 0/5
وَحُورٌ عِينٌ ٢٢
Wa hoorun`een
Na Mahurulaini,
🎤 Rekodi yako:
56:23
🔁 0/5
كَأَمۡثَٰلِ ٱللُّؤۡلُوِٕ ٱلۡمَكۡنُونِ ٢٣
Ka amsaalil lu`lu`il maknoon
Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
🎤 Rekodi yako:
56:24
🔁 0/5
جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ ٢٤
Jazaaa`am bimaa kaanoo ya`maloon
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
🎤 Rekodi yako:
56:25
🔁 0/5
لَا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوًا وَلَا تَأۡثِيمًا ٢٥
Laa yasma`oona feehaa laghwanw wa laa taaseemaa
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
🎤 Rekodi yako:
56:26
🔁 0/5
إِلَّا قِيلًا سَلَٰمًا سَلَٰمًا ٢٦
Illaa qeelan salaaman salaamaa
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
🎤 Rekodi yako:
56:27
🔁 0/5
وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡيَمِينِ ٢٧
Wa as haabul yameeni maaa as haabul Yameen
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
🎤 Rekodi yako:
56:28
🔁 0/5
فِي سِدۡرٍ مَّخۡضُودٍ ٢٨
Fee sidrim makhdood
Katika mikunazi isiyo na miba,
🎤 Rekodi yako:
56:29
🔁 0/5
وَطَلۡحٍ مَّنضُودٍ ٢٩
Wa talhim mandood
Na migomba iliyo pangiliwa,
🎤 Rekodi yako:
56:30
🔁 0/5
وَظِلٍّ مَّمۡدُودٍ ٣٠
Wa zillim mamdood
Na kivuli kilicho tanda,
🎤 Rekodi yako:
56:31
🔁 0/5
وَمَآءٍ مَّسۡكُوبٍ ٣١
Wa maaa`im maskoob
Na maji yanayo miminika,
🎤 Rekodi yako:
56:32
🔁 0/5
وَفَٰكِهَةٍ كَثِيرَةٍ ٣٢
Wa faakihatin kaseerah
Na matunda mengi,
🎤 Rekodi yako:
56:33
🔁 0/5
لَّا مَقۡطُوعَةٍ وَلَا مَمۡنُوعَةٍ ٣٣
Laa maqtoo`atinw wa laa mamnoo`ah
Hayatindikii wala hayakatazwi,
🎤 Rekodi yako:
56:34
🔁 0/5
وَفُرُشٍ مَّرۡفُوعَةٍ ٣٤
Wa furushim marfoo`ah
Na matandiko yaliyo nyanyuliwa.
🎤 Rekodi yako:
56:35
🔁 0/5
إِنَّآ أَنشَأۡنَٰهُنَّ إِنشَآءً ٣٥
Innaaa anshaanaahunna inshaaa`aa
Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
🎤 Rekodi yako:
56:36
🔁 0/5
فَجَعَلۡنَٰهُنَّ أَبۡكَارًا ٣٦
Faja`alnaahunna abkaaraa
Na tutawafanya vijana,
🎤 Rekodi yako:
56:37
🔁 0/5
عُرُبًا أَتۡرَابًا ٣٧
Uruban atraabaa
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
🎤 Rekodi yako:
56:38
🔁 0/5
لِّأَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ ٣٨
Li as haabil yameen
Kwa ajili ya watu wa kuliani.
🎤 Rekodi yako:
56:39
🔁 0/5
ثُلَّةٌ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ ٣٩
Sullatum minal awwa leen
Fungu kubwa katika wa mwanzo,
🎤 Rekodi yako:
56:40
🔁 0/5
وَثُلَّةٌ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ ٤٠
Wa sullatum minal aakhireen
Na fungu kubwa katika wa mwisho.
🎤 Rekodi yako:
56:41
🔁 0/5
وَأَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلشِّمَالِ ٤١
Wa as haabush shimaali maaa as haabush shimaal
Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?
🎤 Rekodi yako:
56:42
🔁 0/5
فِي سَمُومٍ وَحَمِيمٍ ٤٢
Fee samoominw wa hameem
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
🎤 Rekodi yako:
56:43
🔁 0/5
وَظِلٍّ مِّن يَحۡمُومٍ ٤٣
Wa zillim miny yahmoom
Na kivuli cha moshi mweusi,
🎤 Rekodi yako:
56:44
🔁 0/5
لَّا بَارِدٍ وَلَا كَرِيمٍ ٤٤
Laa baaridinw wa laa kareem
Si cha kuburudisha wala kustarehesha.
🎤 Rekodi yako:
56:45
🔁 0/5
إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَبۡلَ ذَٰلِكَ مُتۡرَفِينَ ٤٥
Innaahum kaanoo qabla zaalika mutrafeen
Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
🎤 Rekodi yako:
56:46
🔁 0/5
وَكَانُواْ يُصِرُّونَ عَلَى ٱلۡحِنثِ ٱلۡعَظِيمِ ٤٦
Wa kaanoo yusirroona `alal hinsil `azeem
Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
🎤 Rekodi yako:
56:47
🔁 0/5
وَكَانُواْ يَقُولُونَ أَئِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبۡعُوثُونَ ٤٧
Wa kaanoo yaqooloona a`izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa izaaman`ainnaa lamab`oosoon
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
🎤 Rekodi yako:
56:48
🔁 0/5
أَوَءَابَآؤُنَا ٱلۡأَوَّلُونَ ٤٨
Awa aabaaa`unal awwaloon
Au baba zetu wa zamani?
🎤 Rekodi yako:
56:49
🔁 0/5
قُلۡ إِنَّ ٱلۡأَوَّلِينَ وَٱلۡأٓخِرِينَ ٤٩
Qul innal awwaleena wal aakhireen
Sema: Hakika wa zamani na wa mwisho
🎤 Rekodi yako:
56:50
🔁 0/5
لَمَجۡمُوعُونَ إِلَىٰ مِيقَٰتِ يَوۡمٍ مَّعۡلُومٍ ٥٠
Lamajmoo`oona ilaa meeqaati yawmim ma`loon
Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
🎤 Rekodi yako:
56:51
🔁 0/5
ثُمَّ إِنَّكُمۡ أَيُّهَا ٱلضَّآلُّونَ ٱلۡمُكَذِّبُونَ ٥١
summa innakum ayyuhad daaalloonal mukazziboon
Kisha nyinyi, mlio potea, mnao kanusha,
🎤 Rekodi yako:
56:52
🔁 0/5
لَأٓكِلُونَ مِن شَجَرٍ مِّن زَقُّومٍ ٥٢
La aakiloona min shaja rim min zaqqoom
Kwa yakini mtakula mti wa Zaqqumu.
🎤 Rekodi yako:
56:53
🔁 0/5
فَمَالِـُٔونَ مِنۡهَا ٱلۡبُطُونَ ٥٣
Famaali`oona minhal butoon
Na kwa mti huo mtajaza matumbo.
🎤 Rekodi yako:
56:54
🔁 0/5
فَشَٰرِبُونَ عَلَيۡهِ مِنَ ٱلۡحَمِيمِ ٥٤
Fashaariboona `alaihi minal hameem
Na juu yake mtakunywa maji yanayo chemka.
🎤 Rekodi yako:
56:55
🔁 0/5
فَشَٰرِبُونَ شُرۡبَ ٱلۡهِيمِ ٥٥
Fashaariboona shurbal heem
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
🎤 Rekodi yako:
56:56
🔁 0/5
هَٰذَا نُزُلُهُمۡ يَوۡمَ ٱلدِّينِ ٥٦
Haazaa nuzuluhum yawmad deen
Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
🎤 Rekodi yako:
56:57
🔁 0/5
نَحۡنُ خَلَقۡنَٰكُمۡ فَلَوۡلَا تُصَدِّقُونَ ٥٧
Nahnu khalaqnaakum falaw laa tusaddiqoon
Sisi tumekuumbeni; basi hamsadiki?
🎤 Rekodi yako:
56:58
🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تُمۡنُونَ ٥٨
Afara`aytum maa tumnoon
Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
🎤 Rekodi yako:
56:59
🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ تَخۡلُقُونَهُۥٓ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡخَٰلِقُونَ ٥٩
A-antum takhluqoo nahooo am nahnul khaaliqoon
Je! Mnaiumba nyinyi, au ni Sisi ndio Waumbaji?
🎤 Rekodi yako:
56:60
🔁 0/5
نَحۡنُ قَدَّرۡنَا بَيۡنَكُمُ ٱلۡمَوۡتَ وَمَا نَحۡنُ بِمَسۡبُوقِينَ ٦٠
Nahnu qaddarnaa baina kumul mawta wa maa nahnu bimasbooqeen
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
🎤 Rekodi yako:
56:61
🔁 0/5
عَلَىٰٓ أَن نُّبَدِّلَ أَمۡثَٰلَكُمۡ وَنُنشِئَكُمۡ فِي مَا لَا تَعۡلَمُونَ ٦١
Alaaa an nubaddila amsaalakum wa nunshi`akum fee maa laa ta`lamoon
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
🎤 Rekodi yako:
56:62
🔁 0/5
وَلَقَدۡ عَلِمۡتُمُ ٱلنَّشۡأَةَ ٱلۡأُولَىٰ فَلَوۡلَا تَذَكَّرُونَ ٦٢
Wa laqad `alimtumun nash atal oolaa falaw laa tazakkaroon
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
🎤 Rekodi yako:
56:63
🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تَحۡرُثُونَ ٦٣
Afara`aytum maa tahrusoon
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
🎤 Rekodi yako:
56:64
🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ تَزۡرَعُونَهُۥٓ أَمۡ نَحۡنُ ٱلزَّٰرِعُونَ ٦٤
A-antum tazra`oonahooo am nahnuz zaari`ooon
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
🎤 Rekodi yako:
56:65
🔁 0/5
لَوۡ نَشَآءُ لَجَعَلۡنَٰهُ حُطَٰمًا فَظَلۡتُمۡ تَفَكَّهُونَ ٦٥
Law nashaaa`u laja`al naahu hutaaman fazaltum tafakkahoon
Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
🎤 Rekodi yako:
56:66
🔁 0/5
إِنَّا لَمُغۡرَمُونَ ٦٦
Innaa lamughramoon
Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
🎤 Rekodi yako:
56:67
🔁 0/5
بَلۡ نَحۡنُ مَحۡرُومُونَ ٦٧
Bal nahnu mahroomoon
Bali sisi tumenyimwa.
🎤 Rekodi yako:
56:68
🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُمُ ٱلۡمَآءَ ٱلَّذِي تَشۡرَبُونَ ٦٨
Afara`aytumul maaa`allazee tashraboon
Je! Mnayaona maji mnayo yanywa?
🎤 Rekodi yako:
56:69
🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ أَنزَلۡتُمُوهُ مِنَ ٱلۡمُزۡنِ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡمُنزِلُونَ ٦٩
A-antum anzaltumoohu minal muzni am nahnul munziloon
Je! Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?
🎤 Rekodi yako:
56:70
🔁 0/5
لَوۡ نَشَآءُ جَعَلۡنَٰهُ أُجَاجًا فَلَوۡلَا تَشۡكُرُونَ ٧٠
Law nashaaa`u ja`alnaahu ujaajan falaw laa tashkuroon
Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
🎤 Rekodi yako:
56:71
🔁 0/5
أَفَرَءَيۡتُمُ ٱلنَّارَ ٱلَّتِي تُورُونَ ٧١
Afara`aytumun naaral latee tooroon
Je! Mnauona moto mnao uwasha?
🎤 Rekodi yako:
56:72
🔁 0/5
ءَأَنتُمۡ أَنشَأۡتُمۡ شَجَرَتَهَآ أَمۡ نَحۡنُ ٱلۡمُنشِـُٔونَ ٧٢
A-antum anshaatum shajaratahaaa am nahnul munshi`oon
Ni nyinyi mlio uumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
🎤 Rekodi yako:
56:73
🔁 0/5
نَحۡنُ جَعَلۡنَٰهَا تَذۡكِرَةً وَمَتَٰعًا لِّلۡمُقۡوِينَ ٧٣
Nahnu ja`alnaahaa tazkira tanw wa mataa`al lilmuqween
Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
🎤 Rekodi yako:
56:74
🔁 0/5
فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ ٧٤
Fasabbih bismi Rabbikal `azeem
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkuu.
🎤 Rekodi yako:
56:75
🔁 0/5
۞ فَلَآ أُقۡسِمُ بِمَوَٰقِعِ ٱلنُّجُومِ ٧٥
Falaa uqsimu bimaawaa qi`innujoom
Basi naapa kwa maanguko ya nyota,
🎤 Rekodi yako:
56:76
🔁 0/5
وَإِنَّهُۥ لَقَسَمٌ لَّوۡ تَعۡلَمُونَ عَظِيمٌ ٧٦
Wa innahoo laqasamul lawta`lamoona`azeem
Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
🎤 Rekodi yako:
56:77
🔁 0/5
إِنَّهُۥ لَقُرۡءَانٌ كَرِيمٌ ٧٧
Innahoo la quraanun kareem
Hakika hii bila ya shaka ni Qur'ani Tukufu,
🎤 Rekodi yako:
56:78
🔁 0/5
فِي كِتَٰبٍ مَّكۡنُونٍ ٧٨
Fee kitaabim maknoon
Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
🎤 Rekodi yako:
56:79
🔁 0/5
لَّا يَمَسُّهُۥٓ إِلَّا ٱلۡمُطَهَّرُونَ ٧٩
Laa yamassuhooo illal mutahharoon
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
🎤 Rekodi yako:
56:80
🔁 0/5
تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ٨٠
Tanzeelum mir Rabbil`aalameen
Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
🎤 Rekodi yako:
56:81
🔁 0/5
أَفَبِهَٰذَا ٱلۡحَدِيثِ أَنتُم مُّدۡهِنُونَ ٨١
Afabihaazal hadeesi antum mudhinoon
Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
🎤 Rekodi yako:
56:82
🔁 0/5
وَتَجۡعَلُونَ رِزۡقَكُمۡ أَنَّكُمۡ تُكَذِّبُونَ ٨٢
Wa taj`aloona rizqakum annakum tukazziboon
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
🎤 Rekodi yako:
56:83
🔁 0/5
فَلَوۡلَآ إِذَا بَلَغَتِ ٱلۡحُلۡقُومَ ٨٣
Falaw laaa izaa balaghatil hulqoom
Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
🎤 Rekodi yako:
56:84
🔁 0/5
وَأَنتُمۡ حِينَئِذٍ تَنظُرُونَ ٨٤
Wa antum heena`izin tanzuroon
Na nyinyi wakati huo mnatazama!
🎤 Rekodi yako:
56:85
🔁 0/5
وَنَحۡنُ أَقۡرَبُ إِلَيۡهِ مِنكُمۡ وَلَٰكِن لَّا تُبۡصِرُونَ ٨٥
Wa nahnu aqrabu ilaihi minkum wa laakil laa tubsiroon
Na Sisi tuko karibu zaidi naye kuliko nyinyi.
🎤 Rekodi yako:
56:86
🔁 0/5
فَلَوۡلَآ إِن كُنتُمۡ غَيۡرَ مَدِينِينَ ٨٦
Falaw laaa in kuntum ghira madeeneen
Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu,
🎤 Rekodi yako:
56:87
🔁 0/5
تَرۡجِعُونَهَآ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ ٨٧
Tarji`oonahaaa in kuntum saadiqeen
Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
🎤 Rekodi yako:
56:88
🔁 0/5
فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ ٨٨
Fa ammaaa in kaana minal muqarrabeen
Basi akiwa miongoni mwa walio karibishwa,
🎤 Rekodi yako:
56:89
🔁 0/5
فَرَوۡحٌ وَرَيۡحَانٌ وَجَنَّتُ نَعِيمٍ ٨٩
Farawhunw wa raihaa nunw wa jannatu na`eem
Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
🎤 Rekodi yako:
56:90
🔁 0/5
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنۡ أَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ ٩٠
Wa ammaaa in kaana min as haabil yameen
Na akiwa katika watu wa upande wa kulia,
🎤 Rekodi yako:
56:91
🔁 0/5
فَسَلَٰمٌ لَّكَ مِنۡ أَصۡحَٰبِ ٱلۡيَمِينِ ٩١
Fasalaamul laka min as haabil yameen
Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
🎤 Rekodi yako:
56:92
🔁 0/5
وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُكَذِّبِينَ ٱلضَّآلِّينَ ٩٢
Wa ammaaa in kaana minal mukazzibeenad daaalleen
Na ama akiwa katika walio kadhibisha wapotovu,
🎤 Rekodi yako:
56:93
🔁 0/5
فَنُزُلٌ مِّنۡ حَمِيمٍ ٩٣
Fanuzulum min hameem
Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
🎤 Rekodi yako:
56:94
🔁 0/5
وَتَصۡلِيَةُ جَحِيمٍ ٩٤
Wa tasliyatu jaheem
Na kutiwa Motoni.
🎤 Rekodi yako:
56:95
🔁 0/5
إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ حَقُّ ٱلۡيَقِينِ ٩٥
Inna haaza lahuwa haqqul yaqeen
Hakika hii ndiyo haki yenye yakini.
🎤 Rekodi yako:
56:96
🔁 0/5
فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ ٩٦
Fasabbih bismi rabbikal `azeem
Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







