🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (56 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/56
74:1 🔁 0/5
يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡمُدَّثِّرُ  ۝١
Yaaa ayyuhal muddassir
Ewe uliye jigubika!
🎤 Rekodi yako:
74:2 🔁 0/5
قُمۡ فَأَنذِرۡ  ۝٢
Qum fa anzir
Simama uonye!
🎤 Rekodi yako:
74:3 🔁 0/5
وَرَبَّكَ فَكَبِّرۡ  ۝٣
Wa rabbaka fakabbir
Na Mola wako Mlezi mtukuze!
🎤 Rekodi yako:
74:4 🔁 0/5
وَثِيَابَكَ فَطَهِّرۡ  ۝٤
Wa siyaabaka fatahhir
Na nguo zako, zisafishe.
🎤 Rekodi yako:
74:5 🔁 0/5
وَٱلرُّجۡزَ فَٱهۡجُرۡ  ۝٥
Warrujza fahjur
Na yaliyo machafu yahame!
🎤 Rekodi yako:
74:6 🔁 0/5
وَلَا تَمۡنُن تَسۡتَكۡثِرُ  ۝٦
Wa laa tamnun tastaksir
Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.
🎤 Rekodi yako:
74:7 🔁 0/5
وَلِرَبِّكَ فَٱصۡبِرۡ  ۝٧
Wa li Rabbika fasbir
Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
🎤 Rekodi yako:
74:8 🔁 0/5
فَإِذَا نُقِرَ فِي ٱلنَّاقُورِ  ۝٨
Fa izaa nuqira fin naaqoor
Basi litapo pulizwa barugumu,
🎤 Rekodi yako:
74:9 🔁 0/5
فَذَٰلِكَ يَوۡمَئِذٍ يَوۡمٌ عَسِيرٌ  ۝٩
Fazaalika yawma `iziny yawmun `aseer
Siku hiyo, basi, itakuwa siku ngumu.
🎤 Rekodi yako:
74:10 🔁 0/5
عَلَى ٱلۡكَٰفِرِينَ غَيۡرُ يَسِيرٍ  ۝١٠
Alal kaafireena ghayru yaseer
Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.
🎤 Rekodi yako:
74:11 🔁 0/5
ذَرۡنِي وَمَنۡ خَلَقۡتُ وَحِيدًا  ۝١١
Zamee wa man khalaqtu waheedaa
Niache peke yangu na niliye muumba;
🎤 Rekodi yako:
74:12 🔁 0/5
وَجَعَلۡتُ لَهُۥ مَالًا مَّمۡدُودًا  ۝١٢
Wa ja`altu lahoo maalam mamdoodaa
Na nikamjaalia awe na mali mengi,
🎤 Rekodi yako:
74:13 🔁 0/5
وَبَنِينَ شُهُودًا  ۝١٣
Wa baneena shuhoodaa
Na wana wanao onekana,
🎤 Rekodi yako:
74:14 🔁 0/5
وَمَهَّدتُّ لَهُۥ تَمۡهِيدًا  ۝١٤
Wa mahhattu lahoo tamheeda
Na nikamtgenezea mambo vizuri kabisa.
🎤 Rekodi yako:
74:15 🔁 0/5
ثُمَّ يَطۡمَعُ أَنۡ أَزِيدَ  ۝١٥
Summa yat ma`u an azeed
Kisha anatumai nimzidishie!
🎤 Rekodi yako:
74:16 🔁 0/5
كـَلَّآۖ إِنَّهُۥ كَانَ لِأٓيَٰتِنَا عَنِيدًا  ۝١٦
Kallaaa innahoo kaana li Aayaatinaa `aneedaa
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
🎤 Rekodi yako:
74:17 🔁 0/5
سَأُرۡهِقُهُۥ صَعُودًا  ۝١٧
Sa urhiquhoo sa`oodaa
Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
🎤 Rekodi yako:
74:18 🔁 0/5
إِنَّهُۥ فَكَّرَ وَقَدَّرَ  ۝١٨
Innahoo fakkara wa qaddar
Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
🎤 Rekodi yako:
74:19 🔁 0/5
فَقُتِلَ كَيۡفَ قَدَّرَ  ۝١٩
Faqutila kayfa qaddar
Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!
🎤 Rekodi yako:
74:20 🔁 0/5
ثُمَّ قُتِلَ كَيۡفَ قَدَّرَ  ۝٢٠
Summa qutila kaifa qaddar
Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!
🎤 Rekodi yako:
74:21 🔁 0/5
ثُمَّ نَظَرَ  ۝٢١
Summa nazar
Kisha akatazama,
🎤 Rekodi yako:
74:22 🔁 0/5
ثُمَّ عَبَسَ وَبَسَرَ  ۝٢٢
Summa `abasa wa basar
Kisha akakunja kipaji, na akanuna.
🎤 Rekodi yako:
74:23 🔁 0/5
ثُمَّ أَدۡبَرَ وَٱسۡتَكۡبَرَ  ۝٢٣
Summaa adbara wastakbar
Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
🎤 Rekodi yako:
74:24 🔁 0/5
فَقَالَ إِنۡ هَٰذَآ إِلَّا سِحۡرٌ يُؤۡثَرُ  ۝٢٤
Faqaala in haazaaa illaa sihruny yu`sar
Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
🎤 Rekodi yako:
74:25 🔁 0/5
إِنۡ هَٰذَآ إِلَّا قَوۡلُ ٱلۡبَشَرِ  ۝٢٥
In haazaaa illaa qawlul bashar
Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
🎤 Rekodi yako:
74:26 🔁 0/5
سَأُصۡلِيهِ سَقَرَ  ۝٢٦
Sa usleehi saqar
Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
🎤 Rekodi yako:
74:27 🔁 0/5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا سَقَرُ  ۝٢٧
Wa maaa adraaka maa saqar
Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
🎤 Rekodi yako:
74:28 🔁 0/5
لَا تُبۡقِي وَلَا تَذَرُ  ۝٢٨
Laa tubqee wa laa tazar
Haubakishi wala hausazi.
🎤 Rekodi yako:
74:29 🔁 0/5
لَوَّاحَةٌ لِّلۡبَشَرِ  ۝٢٩
Lawwaahatul lilbashar
Unababua ngozi iwe nyeusi.
🎤 Rekodi yako:
74:30 🔁 0/5
عَلَيۡهَا تِسۡعَةَ عَشَرَ  ۝٣٠
Alaihaa tis`ata `ashar
Juu yake wapo kumi na tisa.
🎤 Rekodi yako:
74:31 🔁 0/5
وَمَا جَعَلۡنَآ أَصۡحَٰبَ ٱلنَّارِ إِلَّا مَلَٰٓئِكَةًۖ وَمَا جَعَلۡنَا عِدَّتَهُمۡ إِلَّا فِتۡنَةً لِّلَّذِينَ كَفَرُواْ لِيَسۡتَيۡقِنَ ٱلَّذِينَ أُوتُواْ ٱلۡكِتَٰبَ وَيَزۡدَادَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓاْ إِيمَٰنًا وَلَا يَرۡتَابَ ٱلَّذِينَ أُوتُواْ ٱلۡكِتَٰبَ وَٱلۡمُؤۡمِنُونَ وَلِيَقُولَ ٱلَّذِينَ فِي قُلُوبِهِم مَّرَضٌ وَٱلۡكَٰفِرُونَ مَاذَآ أَرَادَ ٱللَّهُ بِهَٰذَا مَثَلًاۚ كَذَٰلِكَ يُضِلُّ ٱللَّهُ مَن يَشَآءُ وَيَهۡدِي مَن يَشَآءُۚ وَمَا يَعۡلَمُ جُنُودَ رَبِّكَ إِلَّا هُوَۚ وَمَا هِيَ إِلَّا ذِكۡرَىٰ لِلۡبَشَرِ  ۝٣١
Wa maaja``alnaaa As haaban naari illaa malaaa `ikatanw wa maa ja`alnaa `iddatahum illaa fitnatal lillazeena kafaroo liyastayqinal lazeena ootul kitaaba wa yazdaadal lazeena aamanooo eemaananw wa laa yartaabal lazeena ootul kitaaba walmu`minoona wa liyaqoolal lazeena fee quloo bihim maradunw walkaafiroona maazaaa araadal laahu bihaazaa masalaa; kazaalika yudillul laahu many yashaaa`u wa yahdee many yashaaa`; wa maa ya`lamu junooda rabbika illaa hoo; wa maa hiya illaa zikraa lil bashar
Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.
🎤 Rekodi yako:
74:32 🔁 0/5
كـَلَّا وَٱلۡقَمَرِ  ۝٣٢
Kallaa walqamar
Hasha! Naapa kwa mwezi!
🎤 Rekodi yako:
74:33 🔁 0/5
وَٱلَّيۡلِ إِذۡ أَدۡبَرَ  ۝٣٣
Wallaili adbar
Na kwa usiku unapo kucha!
🎤 Rekodi yako:
74:34 🔁 0/5
وَٱلصُّبۡحِ إِذَآ أَسۡفَرَ  ۝٣٤
Wassub hi izaaa asfar
Na kwa asubuhi inapo pambazuka!
🎤 Rekodi yako:
74:35 🔁 0/5
إِنَّهَا لَإِحۡدَى ٱلۡكُبَرِ  ۝٣٥
Innahaa la ihdal kubar
Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
🎤 Rekodi yako:
74:36 🔁 0/5
نَذِيرًا لِّلۡبَشَرِ  ۝٣٦
Nazeeral lilbashar
Ni onyo kwa binaadamu,
🎤 Rekodi yako:
74:37 🔁 0/5
لِمَن شَآءَ مِنكُمۡ أَن يَتَقَدَّمَ أَوۡ يَتَأَخَّرَ  ۝٣٧
Liman shaaa`a minkum any yataqaddama aw yata akhkhar
Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.
🎤 Rekodi yako:
74:38 🔁 0/5
كُلُّ نَفۡسِۭ بِمَا كَسَبَتۡ رَهِينَةٌ  ۝٣٨
Kullu nafsim bim kasabat raheenah
Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.
🎤 Rekodi yako:
74:39 🔁 0/5
إِلَّآ أَصۡحَٰبَ ٱلۡيَمِينِ  ۝٣٩
Illaaa as haabal yameen
Isipo kuwa watu wa kuliani.
🎤 Rekodi yako:
74:40 🔁 0/5
فِي جَنَّٰتٍ يَتَسَآءَلُونَ  ۝٤٠
Fee jannaatiny yata saaa`aloon
Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
🎤 Rekodi yako:
74:41 🔁 0/5
عَنِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ  ۝٤١
Anil mujrimeen
Khabari za wakosefu:
🎤 Rekodi yako:
74:42 🔁 0/5
مَا سَلَكَكُمۡ فِي سَقَرَ  ۝٤٢
Maa salakakum fee saqar
Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?
🎤 Rekodi yako:
74:43 🔁 0/5
قَالُواْ لَمۡ نَكُ مِنَ ٱلۡمُصَلِّينَ  ۝٤٣
Qaaloo lam naku minal musalleen
Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.
🎤 Rekodi yako:
74:44 🔁 0/5
وَلَمۡ نَكُ نُطۡعِمُ ٱلۡمِسۡكِينَ  ۝٤٤
Wa lam naku nut`imul miskeen
Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
🎤 Rekodi yako:
74:45 🔁 0/5
وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ ٱلۡخَآئِضِينَ  ۝٤٥
Wa kunnaa nakhoodu ma`al khaaa`ideen
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
🎤 Rekodi yako:
74:46 🔁 0/5
وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ  ۝٤٦
Wa kunnaa nukazzibu bi yawmid Deen
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
🎤 Rekodi yako:
74:47 🔁 0/5
حَتَّىٰٓ أَتَىٰنَا ٱلۡيَقِينُ  ۝٤٧
Hattaaa ataanal yaqeen
Mpaka yakini ilipo tufikia.
🎤 Rekodi yako:
74:48 🔁 0/5
فَمَا تَنفَعُهُمۡ شَفَٰعَةُ ٱلشَّٰفِعِينَ  ۝٤٨
Famaa tanfa`uhum shafaa`atush shaafi`een
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
🎤 Rekodi yako:
74:49 🔁 0/5
فَمَا لَهُمۡ عَنِ ٱلتَّذۡكِرَةِ مُعۡرِضِينَ  ۝٤٩
Famaa lahum `anittazkirati mu`rideen
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
🎤 Rekodi yako:
74:50 🔁 0/5
كَأَنَّهُمۡ حُمُرٌ مُّسۡتَنفِرَةٌ  ۝٥٠
Ka annahum humurum mustanfirah
Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
🎤 Rekodi yako:
74:51 🔁 0/5
فَرَّتۡ مِن قَسۡوَرَةِۭ  ۝٥١
Farrat min qaswarah
Wanao mkimbia simba!
🎤 Rekodi yako:
74:52 🔁 0/5
بَلۡ يُرِيدُ كُلُّ ٱمۡرِيٍٕ مِّنۡهُمۡ أَن يُؤۡتَىٰ صُحُفًا مُّنَشَّرَةً  ۝٥٢
Bal yureedu kullum ri`im minhum any yu`taa suhufam munashsharah
Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
🎤 Rekodi yako:
74:53 🔁 0/5
كـَلَّاۖ بَل لَّا يَخَافُونَ ٱلۡأٓخِرَةَ  ۝٥٣
Kallaa bal laa yakhaafoonal aakhirah
Hasha! Kwani wao hawaiogopi Akhera?
🎤 Rekodi yako:
74:54 🔁 0/5
كـَلَّآ إِنَّهُۥ تَذۡكِرَةٌ  ۝٥٤
Kallaaa innahoo tazkirah
Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!
🎤 Rekodi yako:
74:55 🔁 0/5
فَمَن شَآءَ ذَكَرَهُۥ  ۝٥٥
Fa man shaaa`a zakarah
Basi anaye taka atakumbuka.
🎤 Rekodi yako:
74:56 🔁 0/5
وَمَا يَذۡكُرُونَ إِلَّآ أَن يَشَآءَ ٱللَّهُۚ هُوَ أَهۡلُ ٱلتَّقۡوَىٰ وَأَهۡلُ ٱلۡمَغۡفِرَةِ  ۝٥٦
Wa maa yazkuroona illaaa any yashaaa`al laah; Huwa ahlut taqwaa wa ahlul maghfirah
Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake Yeye.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema