Surah Muminun aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أُولَٰئِكَ هُمُ الْوَارِثُونَ﴾
[ المؤمنون: 10]
Hao ndio warithi,
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those are the inheritors
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao ndio warithi,
Hawa wenye kusifiwa hivi ndio watakao rithi kheri yote na wataipata Siku ya Kiyama. Hawa ndio Mwenyezi Mungu atawafadhili kwa kuwapa Firdausi, ndio pahala pa juu kabisa huko Peponi, wastarehe humo peke yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- T'AHA!
- Sema: Mnawaona hawa miungu wenu wa kishirikina mnao waomba badala ya Mwenyezi Mungu! Nionyesheni wameumba
- Hao ndio wanao sema: Msitoe mali kwa ajili ya walioko kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu,
- Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na hakika Lut'i bila ya shaka ni miongoni mwa Mitume.
- Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
- Akitaka, huutuliza upepo navyo hivyo vyombo husimama tutwe juu ya bahari. Hakika katika hayo zipo
- Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
- Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



