Surah Yusuf aya 74 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا فَمَا جَزَاؤُهُ إِن كُنتُمْ كَاذِبِينَ﴾
[ يوسف: 74]
Wakasema: Basi malipo yake yatakuwa nini ikiwa nyinyi ni waongo?
Surah Yusuf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The accusers said, "Then what would be its recompense if you should be liars?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Basi malipo yake yatakuwa nini ikiwa nyinyi ni waongo.
Na Yusuf alikwisha waamrisha wafwasi wake wawaache nduguze waamue nini malipo anayo stahiki kupata yule atakaye onekana nacho kile kikopo, ili apate kumchukua nduguye kwa hukumu yao wenyewe, na iwe hukumu yao ndiyo ya kukata shauri, isiwepo njia ya kumwombea. Basi watu wa Yusuf wakawaambia wale nduguze: Nini malipo ya wevi kwenu wanapo gundulikana ni katika nyinyi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wadumu humo. Na ni mzigo muovu kwao kuubeba Siku ya Kiyama!
- Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
- Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka.
- Na atakaye mjia naye ni Muumini aliye tenda mema, basi hao ndio wenye vyeo vya
- Basi mnakwenda wapi?
- Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika siri yoyote yenu.
- Hakika Sisi tutairithi ardhi na walio juu yake. Na kwetu watarejeshwa.
- Na nimefuata mila ya baba zangu, Ibrahim, na Is-haq, na Yaa'qub. Hatuna haki ya kumshirikisha
- Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo?
- Wala hatukuwaona wengi wao kuwa wanatimiza ahadi; bali kwa hakika tuliwakuta wengi wao ni wapotofu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers