Surah Shuara aya 126 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ﴾
[ الشعراء: 126]
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So fear Allah and obey me.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nitiini.
Basi ifuateni amri ya Mwenyezi Mungu. Na ikhofuni adhabu yake. Na tiini ninayo kuamrisheni yanayo toka kwa Mwenyezi Mungu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Giza totoro litazifunika,
- Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao.
- Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
- Ili mtembee humo katika njia zilizo pana.
- Alif Lam Ra. (A. L. R). Hizi ni Aya za Kitabu na Qur'ani inayo bainisha.
- Na lau kuwa hatukukuweka imara ungeli karibia kuwaelekea kidogo.
- Naye ndiye anaye pokea toba kwa waja wake, na anasamehe makosa, na anayajua mnayo yatenda.
- Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
- Naye akawaapia: Kwa yakini mimi ni miongoni wa wanao kunasihini.
- Huku ni kujitoa Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwenye jukumu la maagano na mlio ahidiana
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers