Surah Mumtahina aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mumtahina aya 13 in arabic text(The Examined One).
  
   

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَوَلَّوْا قَوْمًا غَضِبَ اللَّهُ عَلَيْهِمْ قَدْ يَئِسُوا مِنَ الْآخِرَةِ كَمَا يَئِسَ الْكُفَّارُ مِنْ أَصْحَابِ الْقُبُورِ﴾
[ الممتحنة: 13]

Enyi mlio amini! Msiwafanye rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia. Hao wamekwisha kata tamaa ya Akhera, kama makafiri walivyo wakatia tamaa watu wa makaburini.

Surah Al-Mumtahanah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O you who have believed, do not make allies of a people with whom Allah has become angry. They have despaired of [reward in] the Hereafter just as the disbelievers have despaired of [meeting] the inhabitants of the graves.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Enyi mlio amini! Msiwafanye rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia. Hao wamekwisha kata tamaa ya Akhera, kama makafiri walivyo wakatia tamaa watu wa makaburini.


Enyi mlio msadiki Mwenyezi Mungu na Mtume wake, msiwafanye kuwa rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewaghadhibikia. Hao wamekata tamaa na Akhera na yote yatakao kuwapo huko, ya kulipwa na kuhisabiwa, kama makafiri walivyo kata tamaa kufufuliwa waliomo makaburini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 13 from Mumtahina


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na miji mingapi niliipa muda na hali ilikuwa imedhulumu, na kisha nikaitia mkononi? Na kwangu
  2. Na mwanaadamu husema: Hivyo, nitakapo kufa, ni kweli nitafufuliwa niwe hai tena?
  3. Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
  4. Na aliye tubu na akafanya mema, basi hakika huyo ametubu kweli kweli kwa Mwenyezi Mungu.
  5. Na kila mmoja anao upande anao elekea. Basi shindanieni mema. Popote mlipo Mwenyezi Mungu atakuleteni
  6. Na siku atapo waita na akasema: Mliwajibu nini Mitume?
  7. Hakika mimi nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu. Hapana kiumbe yeyote
  8. Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,
  9. Na miongoni mwao wapo wanao iamini, na miongoni mwao wapo wasio iamini. Na Mola wako
  10. Wamesema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu, Aliye takasika! Yeye ni Mkwasi, Mwenye Kujitosheleza. Vyote viliomo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mumtahina with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mumtahina mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mumtahina Complete with high quality
Surah Mumtahina Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mumtahina Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mumtahina Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mumtahina Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mumtahina Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mumtahina Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mumtahina Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mumtahina Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mumtahina Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mumtahina Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mumtahina Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mumtahina Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mumtahina Al Hosary
Al Hosary
Surah Mumtahina Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mumtahina Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, March 31, 2025

Please remember us in your sincere prayers