Surah Mumtahina aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mumtahina aya 13 in arabic text(The Examined One).
  
   

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَوَلَّوْا قَوْمًا غَضِبَ اللَّهُ عَلَيْهِمْ قَدْ يَئِسُوا مِنَ الْآخِرَةِ كَمَا يَئِسَ الْكُفَّارُ مِنْ أَصْحَابِ الْقُبُورِ﴾
[ الممتحنة: 13]

Enyi mlio amini! Msiwafanye rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia. Hao wamekwisha kata tamaa ya Akhera, kama makafiri walivyo wakatia tamaa watu wa makaburini.

Surah Al-Mumtahanah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O you who have believed, do not make allies of a people with whom Allah has become angry. They have despaired of [reward in] the Hereafter just as the disbelievers have despaired of [meeting] the inhabitants of the graves.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Enyi mlio amini! Msiwafanye rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia. Hao wamekwisha kata tamaa ya Akhera, kama makafiri walivyo wakatia tamaa watu wa makaburini.


Enyi mlio msadiki Mwenyezi Mungu na Mtume wake, msiwafanye kuwa rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewaghadhibikia. Hao wamekata tamaa na Akhera na yote yatakao kuwapo huko, ya kulipwa na kuhisabiwa, kama makafiri walivyo kata tamaa kufufuliwa waliomo makaburini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 13 from Mumtahina


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ni vya Mwenyezi Mungu vyote vilivyomo katika mbingu na vilivyomo katika ardhi. Yeye humsamehe
  2. Kwa hakika katika hadithi zao limo zingatio kwa wenye akili. Si maneno yaliyo zuliwa, bali
  3. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
  4. Kisha hautakuwa udhuru wao ila ni kusema: Wallahi! Mola wetu Mlezi! Hatukuwa washirikina.
  5. Na alikufikieni Musa na hoja zilizo waziwazi, kisha mkamchukua ndama (kumuabudu) baada yake, na mkawa
  6. Kwa nini usiwepo mji mmoja ukaamini na Imani yake ikawafaa - isipo kuwa kaumu Yunus?
  7. Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
  8. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu.
  9. Na kwa kuwa mlidhulumu, haitakufaeni kitu leo kwamba nyinyi mnashirikiana katika adhabu.
  10. Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mumtahina with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mumtahina mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mumtahina Complete with high quality
Surah Mumtahina Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mumtahina Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mumtahina Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mumtahina Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mumtahina Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mumtahina Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mumtahina Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mumtahina Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mumtahina Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mumtahina Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mumtahina Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mumtahina Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mumtahina Al Hosary
Al Hosary
Surah Mumtahina Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mumtahina Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 24, 2026

Please remember us in your sincere prayers