Surah Ahzab aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahzab aya 15 in arabic text(Confederates - The Combined Forces).
  
   

﴿وَلَقَدْ كَانُوا عَاهَدُوا اللَّهَ مِن قَبْلُ لَا يُوَلُّونَ الْأَدْبَارَ ۚ وَكَانَ عَهْدُ اللَّهِ مَسْئُولًا
[ الأحزاب: 15]

Na hakika walikwisha muahidi Mwenyezi Mungu kabla yake kwamba hawatageuza migongo yao. Na ahadi ya Mwenyezi Mungu ni yenye kuulizwa.

Surah Al-Ahzab in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they had already promised Allah before not to turn their backs and flee. And ever is the promise to Allah [that about which one will be] questioned.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hakika walikwisha muahidi Mwenyezi Mungu kabla yake kwamba hawatageuza migongo yao. Na ahadi ya Mwenyezi Mungu ni yenye kuulizwa.


Na hakika hawa wenye kukimbia kutoka midani ya vita walikwisha muahidi Mwenyezi Mungu kabla yake kuwa watasimama imara katika vita pamoja na Mtume, na wala hawatakimbia. Na ahadi ya Mwenyezi Mungu ni yenye kuulizwa kwa yule mwenye kuitoa, na yampasa aitimize.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 15 from Ahzab


Ayats from Quran in Swahili

  1. Siku atakayo wafufua Mwenyezi Mungu wote, wamuwapie kama wanavyo kuwapieni nyinyi. Na watadhani kuwa wamepata
  2. Hakika Mwenyezi Mungu amemtimizia Mtume wake ndoto ya haki. Bila ya shaka nyinyi mtauingia Msikiti
  3. Basi walipo kuja wachawi wakamwambia Firauni: Je! Tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?
  4. Na wasomee khabari za Ibrahim.
  5. Wasio amini huihimiza hiyo Saa ifike upesi; lakini wanao amini wanaiogopa, na wanajua kwamba hakika
  6. Hakika Sisi tulimtuma Nuh'u kwa watu wake: Uwaonye kaumu yako kabla ya kuwafikia adhabu chungu.
  7. Enyi mlio amini! Msiingie nyumba zisio nyumba zenu mpaka mwombe ruhusa, na mwatolee salamu wenyewe.
  8. Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni, na kwayo tumeyatoa matunda yenye rangi
  9. Yeye ndiye aliye kuumbeni. Miongoni mwenu yupo aliye kafiri, na yupo aliye Muumini. Na Mwenyezi
  10. Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Surah Ahzab Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahzab Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahzab Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahzab Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahzab Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahzab Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahzab Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahzab Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahzab Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahzab Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahzab Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahzab Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahzab Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahzab Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahzab Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers