Surah Al Imran aya 159 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Imran aya 159 in arabic text(The Family of Imraan).
  
   
ayat 159 from Surah Al Imran

﴿فَبِمَا رَحْمَةٍ مِّنَ اللَّهِ لِنتَ لَهُمْ ۖ وَلَوْ كُنتَ فَظًّا غَلِيظَ الْقَلْبِ لَانفَضُّوا مِنْ حَوْلِكَ ۖ فَاعْفُ عَنْهُمْ وَاسْتَغْفِرْ لَهُمْ وَشَاوِرْهُمْ فِي الْأَمْرِ ۖ فَإِذَا عَزَمْتَ فَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُتَوَكِّلِينَ
[ آل عمران: 159]

Basi ni kwa sababu ya rehema itokayo kwa Mwenyezi Mungu ndio umekuwa laini kwao. Na lau ungeli kuwa mkali, mwenye moyo mgumu, bila ya shaka wangeli kukimbia. Basi wasamehe, na waombee maghfira, na shauriana nao katika mambo. Na ukisha kata shauri basi mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wanao mtegemea.

Surah Al Imran in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So by mercy from Allah, [O Muhammad], you were lenient with them. And if you had been rude [in speech] and harsh in heart, they would have disbanded from about you. So pardon them and ask forgiveness for them and consult them in the matter. And when you have decided, then rely upon Allah. Indeed, Allah loves those who rely [upon Him].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi ni kwa sababu ya rehema itokayo kwa Mwenyezi Mungu ndio umekuwa laini kwao. Na lau ungeli kuwa mkali, mwenye moyo mgumu, bila ya shaka wangeli kukimbia. Basi wasamehe, na waombee maghfira, na shauriana nao katika mambo. Na ukisha kata shauri basi mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wanao mtegemea.


Ilikuwa ni rehema ya Mwenyezi Mungu kwako wewe (Muhammad) na kwao (Waumini) kwa kuwa wewe umekuwa laini kwao wala hukuwatolea neno la ukali kwa kukosea kwao. Na lau kuwa wewe ungeli kuwa unawachukulia kwa ukavu, na moyo mgumu wangeli kukimbia. Basi nawe yapuuze makosa yao, na waombee msamaha, na ushauriane nao katika mambo ili upate maoni yao katika mambo ambayo siyo ulio teremshiwa ufunuo, Wahyi. Ukisha funga azimio lako juu ya jambo baada ya kushauriana, basi endelea nalo na huku ukimtegemea Mwenyezi Mungu. Kwani Mwenyezi Mungu humpenda anaye mwakilisha mambo yake Yeye.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 159 from Al Imran


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
    Surah Al Imran Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Al Imran Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Al Imran Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Al Imran Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Al Imran Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Al Imran Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Al Imran Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Al Imran Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Al Imran Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Al Imran Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Al Imran Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Al Imran Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Al Imran Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Al Imran Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Al Imran Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Wednesday, June 25, 2025

    Please remember us in your sincere prayers