Surah Al Alaq aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿اقْرَأْ بِاسْمِ رَبِّكَ الَّذِي خَلَقَ﴾
[ العلق: 1]
Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
Surah Al-Alaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Recite in the name of your Lord who created -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba!
Ewe Muhammad! Soma unayo funuliwa kwa kufunguliwa kwa Jina la Mola wako Mlezi ambaye ni Yeye tu peke yake ndiye Mwenye uweza wa kuumba.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kila chakula kilikuwa halali kwa Wana wa Israili isipo kuwa alicho jizuilia Israili mwenyewe kabla
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Sema: Siku ya Ushindi, wale walio kufuru imani yao haitawafaa kitu, wala wao hawatapewa muhula.
- Na walio amini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawatia miongoni mwa watu wema.
- (Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
- Basi waache mpaka wakutane na siku yao watakapo hilikishwa.
- Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
- Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
- Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
- Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Alaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Alaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Alaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers