Surah Assaaffat aya 165 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّا لَنَحْنُ الصَّافُّونَ﴾
[ الصافات: 165]
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, we are those who line up [for prayer].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
Na sisi tumejipanga safu wenyewe katika misimamo ya kutumika daima.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
- Na wanapo panda katika marikebu, humwomba Mwenyezi Mungu kwa kumsafia ut'iifu. Lakini anapo wavua wakafika
- Siku mtakapo geuka kurudi nyuma. Hamtakuwa na wa kukulindeni kwa Mwenyezi Mungu. Na mwenye kuhukumiwa
- Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
- Atakaye nirithi mimi na awarithi ukoo wa Yaaqub. Ewe Mola wangu Mlezi! Na umjaalie awe
- Na wale walio kadhibisha Ishara zetu, tutawapururia pole pole kwa namna ambayo wenyewe hawaijui.
- Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
- Ili wabebe mizigo yao kwa ukamilifu Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale
- Na hakika wao kwetu sisi ni wateuliwa walio bora.
- Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma pepo zikayatimua mawingu, kisha akayatandaza mbinguni kama apendavyo. Na akayafanya
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers