Surah Fussilat aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَنزِيلٌ مِّنَ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ﴾
[ فصلت: 2]
Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Surah Fussilat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[This is] a revelation from the Entirely Merciful, the Especially Merciful -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Kitabu hichi ni mteremsho wa namna ya peke yake, kutokana na Mneemeshaji wa neema kubwa na neema ndogo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma.
- Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
- Kwa hakika minong'ono hiyo inatokana na Shetani ili awahuzunishe walio amini, na wala haitawadhuru chochote
- Bali wameyakanusha wasio yaelewa ilimu yake kabla hayajawajia maelezo yake. Kadhaalika walio kabla yao walikanusha
- Na nyinyi mlikuwa mkitamani mauti kabla hamjakutana nayo. Basi sasa mmekwisha yaona na huku mnayatazama.
- Wakikukanusha basi wewe sema: Mola Mlezi wenu ni Mwenye rehema iliyo enea. Wala haizuiliki adhabu
- Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Naye hujaalia adhabu iwafike wasio
- Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
- Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
- Hayo ni kwa sababu Mwenyezi Mungu ameteremsha Kitabu kwa haki. Na wale walio khitilafiana katika
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب