Surah Yusuf aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ بَدَا لَهُم مِّن بَعْدِ مَا رَأَوُا الْآيَاتِ لَيَسْجُنُنَّهُ حَتَّىٰ حِينٍ﴾
[ يوسف: 35]
Basi ikawadhihirikia baada ya kuona Ishara kuwa wamfunge kwa muda.
Surah Yusuf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then it appeared to them after they had seen the signs that al-'Azeez should surely imprison him for a time.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi ikawadhihirikia baada ya kuona Ishara kuwa wamfunge kwa muda.
Kisha ikadhihiri rai ya Mheshimiwa na watu wake, baada ya kwisha ona dalili zilizo wazi kuwa Yusuf hana makosa. Wakakubaliana rai hii, na wakaapa kuitimiza. Nayo ni kumtia yeye gerezani kwa muda mfupi au mrefu, ili kumkinga mkewe na maneno mabaya, na kumuepusha na masengenyo ya watu!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
- Kisha hakika Mola wako Mlezi kwa walio tenda uovu kwa ujinga, kisha wakatubia baada ya
- Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
- Je! Nini wanangojea ila Saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui?
- Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
- Na usiku pia mtakase, na zinapo kuchwa nyota.
- Siku hiyo itakapo fika, hatosema hata mtu mmoja ila kwa idhini yake Mwenyezi Mungu. Kati
- Yenye moto wenye kuni nyingi,
- Iwe salama kwa Ibrahim!
- Na Thamud na kaumu Lut'i na watu wa Machakani. Hayo ndiyo makundi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers