Surah Zalzalah aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا﴾
[ الزلزلة: 5]
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Because your Lord has commanded it.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
Kwani Mlezi wake na Muumba wake atakuwa kaifunulia, kaipa Wahyi, na kaiamuru itetemeke na ijisuke suke, ndio ikafanya upesi kutekeleza amri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Haiwi kauli ya Waumini wanapo itwa kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina
- Na kivuli kilicho tanda,
- Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
- Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.
- Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
- Wapate kuyakanya tuliyo wapa, na wajistareheshe. Lakini watakuja jua!
- Na ni katika rehema zake amekufanyieni usiku na mchana mpate kupumzika humo na mtafute fadhila
- Na ukisoma Qur'ani mwombe Mwenyezi Mungu akulinde na Shetani maluuni.
- Kila wakitaka kutoka humo kwa sababu ya uchungu watarudishwa humo humo, na wataambiwa: Onjeni adhabu
- H'a Mim
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers