Surah Luqman aya 33 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Luqman aya 33 in arabic text(Luqman).
  
   
ayat 33 from Surah Luqman

﴿يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمْ وَاخْشَوْا يَوْمًا لَّا يَجْزِي وَالِدٌ عَن وَلَدِهِ وَلَا مَوْلُودٌ هُوَ جَازٍ عَن وَالِدِهِ شَيْئًا ۚ إِنَّ وَعْدَ اللَّهِ حَقٌّ ۖ فَلَا تَغُرَّنَّكُمُ الْحَيَاةُ الدُّنْيَا وَلَا يَغُرَّنَّكُم بِاللَّهِ الْغَرُورُ
[ لقمان: 33]

Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi, na iogopeni siku ambayo mzazi hatamfaa mwana, wala mwana hatamfaa mzazi kwa lolote. Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Basi yasikudanganyeni maisha ya dunia, wala asikudanganyeni na Mwenyezi Mungu mdanganyifu.

Surah Luqman in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O mankind, fear your Lord and fear a Day when no father will avail his son, nor will a son avail his father at all. Indeed, the promise of Allah is truth, so let not the worldly life delude you and be not deceived about Allah by the Deceiver.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi, na iogopeni siku ambayo mzazi hatamfaa mwana, wala mwana hatamfaa mzazi kwa lolote. Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Basi yasikudanganyeni maisha ya dunia, wala asikudanganyeni na Mwenyezi Mungu mdanganyifu.


Enyi watu! Fanyeni aliyo kuamrisheni Mola wenu Mlezi, na wacheni aliyo kukatazeni. Na tahadharini na adhabu yake ya Siku ya Kiyama, Siku ambayo kwamba mzazi hatamfaa mwanawe kwa lolote, wala mwana hatamfaa mzazi wake kwa lolote. Hakika Siku hii ndiyo aliyo iahidi Mwenyezi Mungu. Na ahadi yake ni ya kweli, hayendi kinyume. Basi yasikupumbazeni mapambo ya dunia na uzuri wake, mkaacha kujitayarisha kwa ajili ya Siku hiyo. Wala msikhadaike na uchochezi wa Shetani, ukakuachisheni kumuelekea Mwenyezi Mungu na kumtii.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 33 from Luqman


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ambao husema: Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tumeamini, basi tufutie madhambi yetu, na tuepushe na
  2. Na katika watu yupo yule ambaye maneno yake kwa maisha ya kidunia hukufurahisha; naye humshuhudisha
  3. Jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye
  4. Au nani anaye uanzisha uumbaji, kisha akaurejesha? Na nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni na kwenye
  5. Ama walio amini na wakatenda mema, Mola wao Mlezi atawatia katika rehema yake. Huko ndiko
  6. Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika
  7. Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi
  8. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na
  9. Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanao muomba Mola wao Mlezi asubuhi na jioni, hali
  10. Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Luqman with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Luqman mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Luqman Complete with high quality
Surah Luqman Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Luqman Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Luqman Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Luqman Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Luqman Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Luqman Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Luqman Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Luqman Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Luqman Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Luqman Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Luqman Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Luqman Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Luqman Al Hosary
Al Hosary
Surah Luqman Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Luqman Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, April 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers