Surah Yasin aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِن نَّشَأْ نُغْرِقْهُمْ فَلَا صَرِيخَ لَهُمْ وَلَا هُمْ يُنقَذُونَ﴾
[ يس: 43]
Na tukitaka tunawazamisha, wala hapana wa kuwasaidia, wala hawaokolewi,
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And if We should will, We could drown them; then no one responding to a cry would there be for them, nor would they be saved
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukitaka tunawazamisha, wala hapana wa kuwasaidia, wala hawaokolewi,
Na tukitaka kuwazamisha, tunawazamisha. Na wala hawapati wa kuwaopoa, wala hawapati wa kuwaokoa wasiangamie.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na
- Na kila nafsi italipwa kwa yale iliyo yafanya, na Yeye anayajua sana wanayo yatenda.
- Shetani amewatawala na akawasahaulisha kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Hao ndio kundi la Shetani. Kweli hakika kundi
- Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.
- Wakakiri dhambi zao. Basi kuangamia ni kwa watu wa Motoni!
- (Musa) akasema: Hasha! Hakika yu pamoja nami Mola wangu Mlezi. Yeye ataniongoa!
- Wakaingia gerezani pamoja naye vijana wawili. Mmoja wao akasema: Hakika mimi nimeota nakamua mvinyo. Na
- Na chochote mlicho pewa ni matumizi ya maisha ya dunia na pambo lake. Na yaliyoko
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers