Surah Muminun aya 90 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بَلْ أَتَيْنَاهُم بِالْحَقِّ وَإِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ﴾
[ المؤمنون: 90]
Bali tumewaletea Haki, na kwa yakini hao ni waongo.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Rather, We have brought them the truth, and indeed they are liars.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Bali tumewaletea Haki, na kwa yakini hao ni waongo.
Hakika Sisi tumewabainishia Haki kwa ndimi za Mitume, na wao ni waongo katika kila jambo linalo khitalifu na Haki hii.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
- Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
- Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
- Hakika Sisi tumekutuma kwa Haki uwe mbashiri, na mwonyaji. Na wala hutaulizwa juu ya watu
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu anajua kila kitu wanacho kiomba badala yake Yeye. Na Yeye ndiye
- Aliye umba, na akaweka sawa,
- Watasema: Walikuwa watatu, wa nne wao ni mbwa wao. Na wanasema: Walikuwa watano, wa sita
- Enyi Watu wa Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati usio kuwa
- Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
- Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



