Surah Fatir aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatir aya 44 in arabic text(The Originator).
  
   
ayat 44 from Surah Fatir

﴿أَوَلَمْ يَسِيرُوا فِي الْأَرْضِ فَيَنظُرُوا كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ وَكَانُوا أَشَدَّ مِنْهُمْ قُوَّةً ۚ وَمَا كَانَ اللَّهُ لِيُعْجِزَهُ مِن شَيْءٍ فِي السَّمَاوَاتِ وَلَا فِي الْأَرْضِ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَلِيمًا قَدِيرًا
[ فاطر: 44]

Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Na hao walikuwa wana nguvu zaidi kuliko wao. Na hapana kitu kinacho weza kumshinda Mwenyezi Mungu mbinguni wala katika ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kujua, Mwenye uweza.

Surah Fatir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have they not traveled through the land and observed how was the end of those before them? And they were greater than them in power. But Allah is not to be caused failure by anything in the heavens or on the earth. Indeed, He is ever Knowing and Competent.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Na hao walikuwa wana nguvu zaidi kuliko wao. Na hapana kitu kinacho weza kumshinda Mwenyezi Mungu mbinguni wala katika ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kujua, Mwenye uweza.


Je! hao hukaa na wakakanya tu ahadi ya Mwenyezi Mungu kwa washirikina, bila ya wao kusafiri katika ulimwengu wakaangalia kwa macho yao athari za maangamizo yaliyo wateremkia walio kuwa kabla yao kwa sababu ya kuwakadhibisha kwao Mitume? Na kabla ya wao yalikuwako mataifa yaliyo kuwa na nguvu kushinda wao. Nguvu zao hazikuweza kuzuia adhabu ya Mwenyezi Mungu. Kwani Yeye hashindwi na chochote kilioko mbinguni wala katika ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye ilimu kubwa kabisa, Mwenye uweza mkubwa kabisa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 44 from Fatir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tunakunywesheni maji matamu?
  2. Huu ni uumbaji wa Mwenyezi Mungu. Basi nionyesheni wameumba nini hao wasio kuwa Yeye! Lakini
  3. Hao watapata Bustani za milele, zinazo pita mito kati yake. Humo watapambwa kwa mavazi ya
  4. Naye akajitenga nao, na akasema: Ah! Masikini Yusuf! Na macho yake yakawa meupe kwa huzuni
  5. Haya haya tuliahidiwa sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni hadithi za uwongo
  6. Wakasema: Bila shaka umekwisha jua hatuna haki juu ya binti zako, na unayajua tunayo yataka.
  7. Kisha tukakurudishieni nguvu zenu dhidi yao, na tukakusaidieni kwa mali na wana, na tukakujaalieni mkawa
  8. Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
  9. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa
  10. Na Nuhu alipo ita zamani, nasi tukamuitikia, na tukamwokoa yeye na watu wake kutokana na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatir Complete with high quality
Surah Fatir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatir Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Fatir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatir Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, May 14, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب