Surah Falaq aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مِن شَرِّ مَا خَلَقَ﴾
[ الفلق: 2]
Na shari ya alivyo viumba,
Surah Al-Falaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
From the evil of that which He created
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na shari ya alivyo viumba,
Na shari ya kila chenye shari katika viumbe, ambavyo hapana wa kuzuia shari yao ila Mwenye kumiliki amri yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanawake waovu ni wa wanaume waovu, na wanaume waovu ni wa wanawake waovu. Na wanawake
- Na hakika walikanushwa Mitume wa kabla yako. Nao wakavumilia kule kukanushwa, na kuudhiwa, mpaka ilipo
- Na akawa anaunda jahazi, na kila wakipita wakuu wa kaumu yake wakimkejeli. Yeye akasema: Ikiwa
- Na kisha akajaalia uzao wake utokane na kizazi cha maji madhaifu.
- Na anaye tenda uovu au akajidhulumu nafsi yake, kisha akaomba maghfira kwa Mwenyezi Mungu, atamkuta
- Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake
- Wala hauwafikii ukumbusho mpya kutoka kwa Arrahman ila wao hujitenga nao.
- Ama mwenye kutubu na akaamini na akatenda mema, huyo atakuwa miongoni mwa wenye kufanikiwa.
- Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
- Na wapigie mfano wa watu wawili: mmoja wao tulimpa vitalu viwili vya mizabibu, na tukavizungushia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Falaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Falaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Falaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



