Surah Ahzab aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahzab aya 49 in arabic text(Confederates - The Combined Forces).
  
   

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نَكَحْتُمُ الْمُؤْمِنَاتِ ثُمَّ طَلَّقْتُمُوهُنَّ مِن قَبْلِ أَن تَمَسُّوهُنَّ فَمَا لَكُمْ عَلَيْهِنَّ مِنْ عِدَّةٍ تَعْتَدُّونَهَا ۖ فَمَتِّعُوهُنَّ وَسَرِّحُوهُنَّ سَرَاحًا جَمِيلًا
[ الأحزاب: 49]

Enyi mlio amini! Mkiwaoa wanawake, Waumini, kisha mkawapa t'alaka kabla ya kuwagusa, basi hamna eda juu yao mtakayo ihisabu. Basi wapeni cha kuwaliwaza, na muwawache kwa kuwachana kwa wema.

Surah Al-Ahzab in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O You who have believed, when you marry believing women and then divorce them before you have touched them, then there is not for you any waiting period to count concerning them. So provide for them and give them a gracious release.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


nyi mlio amini! Mkiwaoa wanawake, Waumini, kisha mkawapa talaka kabla ya kuwagusa, basi hamna eda juu yao mtakayo ihisabu. Basi wapeni cha kuwaliwaza, na muwawache kwa kuwachana kwa wema.


Enyi mlio amini! Mkifunga ndoa na wanawake Waumini, kisha mkawataliki kabla ya hamjawaingilia, basi haiwalazimu eda wao mkawa mnaihisabu. Basi wapeni kitu katika mali kwa kuwapoza. Na mwatoe majumbani kwenu bila ya kuwaletea madhara yoyote.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 49 from Ahzab


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akamfundisha kubaini.
  2. Na watakao kuwa na uzani khafifu, basi hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao kwa
  3. Materemsho yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu.
  4. Na ama walio kufuru, wataambiwa: Kwani hamkuwa mkisomewa Aya zangu nanyi mkapanda kichwa, na mkawa
  5. Basi kwa ajili ya makosa yao waligharikishwa wakaingizwa Motoni, wala hawakuwapata wa kuwanusuru badala ya
  6. Na wale wanao jiepusha na ibada potovu, na wakarejea kwa Mwenyezi Mungu, watapata bishara njema.
  7. Na ati wanasema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu! Ametakasika na hayo. Bali vyote viliomo mbinguni
  8. Na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini
  9. Basi Saleh akwaacha na akasema: Enyi watu wangu! Nilikufikishieni Ujumbe wa Mola wangu Mlezi, na
  10. Basi nafsi yake ikampelekea kumuuwa nduguye, akamuuwa na akawa miongoni mwa wenye kukhasirika.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Surah Ahzab Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahzab Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahzab Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahzab Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahzab Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahzab Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahzab Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahzab Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahzab Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahzab Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahzab Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahzab Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahzab Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahzab Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahzab Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, June 3, 2025

Please remember us in your sincere prayers