Surah Yasin aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنِّي آمَنتُ بِرَبِّكُمْ فَاسْمَعُونِ﴾
[ يس: 25]
Hakika mimi nimemuamini Mola wenu Mlezi, basi nisikilizeni!
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, I have believed in your Lord, so listen to me."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika mimi nimemuamini Mola wenu Mlezi, basi nisikilizeni!
Hakika mimi ninamsadiki Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni, na ndiye Mwenye kutawala mambo yenu. Basi nisikilezeni na mnitii.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mola wao Mlezi anawabashiria rehema zitokazo kwake, na radhi, na Bustani ambazo humo watapata neema
- Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
- Na anaye subiri, na akasamehe, hakika hayo ni katika mambo ya kuazimiwa.
- Sema: Ewe Mwenyezi Mungu uliye miliki ufalme wote! Wewe humpa ufalme umtakaye, na humwondolea ufalme
- Na mwenye kuhama katika Njia ya Mwenyezi Mungu atapata pengi duniani pa kukimbilia, na atapata
- Ee Ole wangu! Laiti nisingeli mfanya fulani kuwa rafiki!
- Na yametimia maneno ya Mola Mlezi wako kwa kweli na uadilifu. Hapana awezaye kuyabadilisha maneno
- Na Mwenyezi Mungu anaita kwendea Nyumba ya Amani, na anamwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka.
- Na pia ili Mwenyezi Mungu awasafishe walio amini na awafutilie mbali makafiri.
- Na wakikuona walio kufuru hawakufanyi wewe ila ni kitu cha maskhara tu, (wakisema): Je! Ndiye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers