Surah Hujurat aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hujurat aya 7 in arabic text(The Private Apartments).
  
   

﴿وَاعْلَمُوا أَنَّ فِيكُمْ رَسُولَ اللَّهِ ۚ لَوْ يُطِيعُكُمْ فِي كَثِيرٍ مِّنَ الْأَمْرِ لَعَنِتُّمْ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ حَبَّبَ إِلَيْكُمُ الْإِيمَانَ وَزَيَّنَهُ فِي قُلُوبِكُمْ وَكَرَّهَ إِلَيْكُمُ الْكُفْرَ وَالْفُسُوقَ وَالْعِصْيَانَ ۚ أُولَٰئِكَ هُمُ الرَّاشِدُونَ
[ الحجرات: 7]

Na jueni kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu yuko nanyi. Lau angeli kut'iini katika mambo mengi, bila ya shaka mngeli taabika. Lakini Mwenyezi Mungu amekupendezeeni Imani, na akaipamba katika nyoyo zenu, na amekufanyeni muuchukie ukafiri, na upotovu, na uasi. Hao ndio walio ongoka,

Surah Al-Hujuraat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And know that among you is the Messenger of Allah. If he were to obey you in much of the matter, you would be in difficulty, but Allah has endeared to you the faith and has made it pleasing in your hearts and has made hateful to you disbelief, defiance and disobedience. Those are the [rightly] guided.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na jueni kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu yuko nanyi. Lau angeli kutiini katika mambo mengi, bila ya shaka mngeli taabika. Lakini Mwenyezi Mungu amekupendezeeni Imani, na akaipamba katika nyoyo zenu, na amekufanyeni muuchukie ukafiri, na upotovu, na uasi. Hao ndio walio ongoka!


Na jueni, enyi Waumini, kwamba Mtume yuko nanyi. Basi mkadirieni kama anavyo stahiki kadiri yake, na msadikini. Lau yeye angeli wafuata walio wachache wa Imani kati yenu katika mambo mengi, basi hapana shaka mngeli ingia katika mashaka na hilaki. Lakini Mwenyezi Mungu amewapendezesha Imani wale walio kamilika katika nyinyi, na akaipamba katika nyoyo zenu. Basi jilindeni na kujipamba na yasiyo takikana. Na amekufanyeni mchukie kukufuru neema za Mwenyezi Mungu, na kutokana na sharia zake, na kwenda kinyume na amri zake. Hao tu, peke yao, ndio wanao ijua njia ya uwongofu na wameishikilia.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from Hujurat


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Hujurat with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Hujurat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hujurat Complete with high quality
    Surah Hujurat Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Hujurat Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Hujurat Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Hujurat Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Hujurat Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Hujurat Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Hujurat Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Hujurat Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Hujurat Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Hujurat Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Hujurat Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Hujurat Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Hujurat Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Hujurat Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Hujurat Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers