Surah Muddathir aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَلَّا ۖ إِنَّهُ كَانَ لِآيَاتِنَا عَنِيدًا﴾
[ المدثر: 16]
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
Surah Al-Muddaththir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No! Indeed, he has been toward Our verses obstinate.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi tetemeko la ardhi likawanyakua, na kulipo kucha wakawa majumbani mwao kifudifudi wamekwisha kufa.
- Ukikupata wema unawachukiza, na ukikusibu msiba, wao husema: Sisi tuliangalia mambo yetu vizuri tangu kwanza.
- Na hakika malipo ya Akhera ni bora zaidi, kwa walio amini na wakawa wachamngu.
- Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu!
- Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
- Haya tunayo kusomea ni katika Aya na Ukumbusho wenye hikima.
- Sema (Ewe Mtume): Sikuombeni ujira juu ya haya, wala mimi si katika wadanganyifu.
- Vikaifunika vilivyo funika.
- Msitoe udhuru; mmekwisha kufuru baada ya kuamini kwenu! Tukilisamehe kundi moja kati yenu, tutaliadhibu kundi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muddathir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muddathir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muddathir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



