Surah Al-Fajr with Swahili

  1. Surah mp3
  2. More
  3. Swahili
The Holy Quran | Quran translation | Language Swahili | Surah Fajr | الفجر - Ayat Count 30 - The number of the surah in moshaf: 89 - The meaning of the surah in English: The Break of Day.

وَالْفَجْرِ(1)

 Naapa kwa alfajiri,

وَلَيَالٍ عَشْرٍ(2)

 Na kwa masiku kumi,

وَالشَّفْعِ وَالْوَتْرِ(3)

 Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,

وَاللَّيْلِ إِذَا يَسْرِ(4)

 Na kwa usiku unapo pita,

هَلْ فِي ذَٰلِكَ قَسَمٌ لِّذِي حِجْرٍ(5)

 Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?

أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ(6)

 Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?

إِرَمَ ذَاتِ الْعِمَادِ(7)

 Wa Iram, wenye majumba marefu?

الَّتِي لَمْ يُخْلَقْ مِثْلُهَا فِي الْبِلَادِ(8)

 Ambao haukuumbwa mfano wake katika nchi?

وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ(9)

 Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?

وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ(10)

 Na Firauni mwenye vigingi?

الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ(11)

 Ambao walifanya jeuri katika nchi?

فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ(12)

 Wakakithirisha humo ufisadi?

فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ(13)

 Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.

إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ(14)

 Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.

فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ(15)

 Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!

وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ(16)

 Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!

كَلَّا ۖ بَل لَّا تُكْرِمُونَ الْيَتِيمَ(17)

 Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,

وَلَا تَحَاضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ(18)

 Wala hamhimizani kulisha masikini;

وَتَأْكُلُونَ التُّرَاثَ أَكْلًا لَّمًّا(19)

 Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,

وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا(20)

 Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.

كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا(21)

 Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,

وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا(22)

 Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,

وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ(23)

 Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?

يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي(24)

 Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!

فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُ أَحَدٌ(25)

 Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.

وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُ أَحَدٌ(26)

 Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.

يَا أَيَّتُهَا النَّفْسُ الْمُطْمَئِنَّةُ(27)

 Ewe nafsi iliyo tua!

ارْجِعِي إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةً مَّرْضِيَّةً(28)

 Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.

فَادْخُلِي فِي عِبَادِي(29)

 Basi ingia miongoni mwa waja wangu,

وَادْخُلِي جَنَّتِي(30)

 Na ingia katika Pepo yangu.


More surahs in Swahili:


Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download surah Al-Fajr with the voice of the most famous Quran reciters :

surah Al-Fajr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Fajr Complete with high quality
surah Al-Fajr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
surah Al-Fajr Bandar Balila
Bandar Balila
surah Al-Fajr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
surah Al-Fajr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
surah Al-Fajr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
surah Al-Fajr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
surah Al-Fajr Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
surah Al-Fajr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
surah Al-Fajr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
surah Al-Fajr Fares Abbad
Fares Abbad
surah Al-Fajr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
surah Al-Fajr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
surah Al-Fajr Al Hosary
Al Hosary
surah Al-Fajr Al-afasi
Mishari Al-afasi
surah Al-Fajr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 6, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب