🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (60 Aya)
📚 Sura Zote
30%
🎤 Gusa ikoni ya maikrofoni 🎙️ karibu na aya yoyote ili kujirekodi, kisha sikiliza na ulinganishe na qari.
0/60
51:1 🔁 0/5
وَٱلذَّٰرِيَٰتِ ذَرۡوًا  ۝١
Waz-zaariyaati zarwaa
Naapa kwa pepo zinazo tawanya,
🎤 Rekodi yako:
51:2 🔁 0/5
فَٱلۡحَٰمِلَٰتِ وِقۡرًا  ۝٢
Falhaamilaati wiqraa
Na zinazo beba mizigo,
🎤 Rekodi yako:
51:3 🔁 0/5
فَٱلۡجَٰرِيَٰتِ يُسۡرًا  ۝٣
Faljaariyaati yusraa
Na zinazo kwenda kwa wepesi.
🎤 Rekodi yako:
51:4 🔁 0/5
فَٱلۡمُقَسِّمَٰتِ أَمۡرًا  ۝٤
Falmuqassimaati amraa
Na zinazo gawanya kwa amri,
🎤 Rekodi yako:
51:5 🔁 0/5
إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَصَادِقٌ  ۝٥
Innamaa too`adoona la-saadiq
Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka ni kweli,
🎤 Rekodi yako:
51:6 🔁 0/5
وَإِنَّ ٱلدِّينَ لَوَٰقِعٌ  ۝٦
Wa innad deena la waaqi
Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea.
🎤 Rekodi yako:
51:7 🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلۡحُبُكِ  ۝٧
Wassamaaa`i zaatil hubuk
Naapa kwa mbingu zenye njia,
🎤 Rekodi yako:
51:8 🔁 0/5
إِنَّكُمۡ لَفِي قَوۡلٍ مُّخۡتَلِفٍ  ۝٨
Innakum lafee qawlim mukhtalif
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
🎤 Rekodi yako:
51:9 🔁 0/5
يُؤۡفَكُ عَنۡهُ مَنۡ أُفِكَ  ۝٩
Yu`faku `anhu man ufik
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
🎤 Rekodi yako:
51:10 🔁 0/5
قُتِلَ ٱلۡخَرَّٰصُونَ  ۝١٠
Qutilal kharraasoon
Wazushi wameangamizwa.
🎤 Rekodi yako:
51:11 🔁 0/5
ٱلَّذِينَ هُمۡ فِي غَمۡرَةٍ سَاهُونَ  ۝١١
Allazeena hum fee ghamratin saahoon
Ambao wameghafilika katika ujinga.
🎤 Rekodi yako:
51:12 🔁 0/5
يَسۡـَٔلُونَ أَيَّانَ يَوۡمُ ٱلدِّينِ  ۝١٢
Yas`aloona ayyaana yawmud Deen
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?
🎤 Rekodi yako:
51:13 🔁 0/5
يَوۡمَ هُمۡ عَلَى ٱلنَّارِ يُفۡتَنُونَ  ۝١٣
Yawma hum `alan naari yuftanoon
Hiyo ni siku watakayo adhibiwa Motoni.
🎤 Rekodi yako:
51:14 🔁 0/5
ذُوقُواْ فِتۡنَتَكُمۡ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تَسۡتَعۡجِلُونَ  ۝١٤
Zooqoo fitnatakum haa zal lazee kuntum bihee tas ta`jiloon
Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
🎤 Rekodi yako:
51:15 🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ  ۝١٥
Innal muttaqeena fee jannaatinw wa `uyoon
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
🎤 Rekodi yako:
51:16 🔁 0/5
ءَاخِذِينَ مَآ ءَاتَىٰهُمۡ رَبُّهُمۡۚ إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَبۡلَ ذَٰلِكَ مُحۡسِنِينَ  ۝١٦
Aakhizeena maaa aataahum Rabbuhum; innahum kaanoo qabla zaalika muhsineen
Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
🎤 Rekodi yako:
51:17 🔁 0/5
كَانُواْ قَلِيلًا مِّنَ ٱلَّيۡلِ مَا يَهۡجَعُونَ  ۝١٧
kaanoo qaleelam minal laili maa yahja`oon
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
🎤 Rekodi yako:
51:18 🔁 0/5
وَبِٱلۡأَسۡحَارِ هُمۡ يَسۡتَغۡفِرُونَ  ۝١٨
Wa bilashaari hum yastaghfiroon
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
🎤 Rekodi yako:
51:19 🔁 0/5
وَفِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقٌّ لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ  ۝١٩
Wa feee amwaalihim haqqul lissaaa`ili walmahroom
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
🎤 Rekodi yako:
51:20 🔁 0/5
وَفِي ٱلۡأَرۡضِ ءَايَٰتٌ لِّلۡمُوقِنِينَ  ۝٢٠
Wa fil ardi aayaatul lilmooqineen
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
🎤 Rekodi yako:
51:21 🔁 0/5
وَفِيٓ أَنفُسِكُمۡۚ أَفَلَا تُبۡصِرُونَ  ۝٢١
Wa feee anfusikum; afalaa tubsiroon
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
🎤 Rekodi yako:
51:22 🔁 0/5
وَفِي ٱلسَّمَآءِ رِزۡقُكُمۡ وَمَا تُوعَدُونَ  ۝٢٢
Wa fissamaaa`i rizqukum wa maa too`adoon
Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.
🎤 Rekodi yako:
51:23 🔁 0/5
فَوَرَبِّ ٱلسَّمَآءِ وَٱلۡأَرۡضِ إِنَّهُۥ لَحَقٌّ مِّثۡلَ مَآ أَنَّكُمۡ تَنطِقُونَ  ۝٢٣
Fawa Rabbis samaaa`i wal ardi innahoo lahaqqum misla maa annakum tantiqoon
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo kweli kuwa nyinyi mnasema.
🎤 Rekodi yako:
51:24 🔁 0/5
هَلۡ أَتَىٰكَ حَدِيثُ ضَيۡفِ إِبۡرَٰهِيمَ ٱلۡمُكۡرَمِينَ  ۝٢٤
Hal ataaka hadeesu daifi Ibraaheemal mukrameen
Je! Imekufikia hadithi ya wageni wa Ibrahim wanao hishimiwa?
🎤 Rekodi yako:
51:25 🔁 0/5
إِذۡ دَخَلُواْ عَلَيۡهِ فَقَالُواْ سَلَٰمًاۖ قَالَ سَلَٰمٌ قَوۡمٌ مُّنكَرُونَ  ۝٢٥
Iz dakhaloo `alaihi faqaaloo salaaman qaala salaamun qawmum munkaroon
Walipo ingia kwake wakasema: Salama! Na yeye akasema: Salama! Nyinyi ni watu nisio kujueni.
🎤 Rekodi yako:
51:26 🔁 0/5
فَرَاغَ إِلَىٰٓ أَهۡلِهِۦ فَجَآءَ بِعِجۡلٍ سَمِينٍ  ۝٢٦
Faraagha ilaaa ahlihee fajaaa`a bi`ijlin sameen
Akenda kwa ahali yake na akaja na ndama aliye nona.
🎤 Rekodi yako:
51:27 🔁 0/5
فَقَرَّبَهُۥٓ إِلَيۡهِمۡ قَالَ أَلَا تَأۡكُلُونَ  ۝٢٧
Faqarrabahooo ilaihim qaala alaa taakuloon
Akawakaribisha, akasema: Mbona hamli?
🎤 Rekodi yako:
51:28 🔁 0/5
فَأَوۡجَسَ مِنۡهُمۡ خِيفَةًۖ قَالُواْ لَا تَخَفۡۖ وَبَشَّرُوهُ بِغُلَٰمٍ عَلِيمٍ  ۝٢٨
Fa awjasa minhm khee fatan qaaloo laa takhaf wa bashsharoohu bighulaamin `aleem
Akahisi kuwaogopa katika nafsi yake. Wakasema: Usiwe na khofu, nao wakambashiria kupata kijana mwenye ilimu.
🎤 Rekodi yako:
51:29 🔁 0/5
فَأَقۡبَلَتِ ٱمۡرَأَتُهُۥ فِي صَرَّةٍ فَصَكَّتۡ وَجۡهَهَا وَقَالَتۡ عَجُوزٌ عَقِيمٌ  ۝٢٩
Fa aqbalatim ra-atuhoo fee sarratin fasakkat wajhahaa wa qaalat `ajoozun `aqeem
Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni kikongwe na tasa!
🎤 Rekodi yako:
51:30 🔁 0/5
قَالُواْ كَذَٰلِكِ قَالَ رَبُّكِۖ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡحَكِيمُ ٱلۡعَلِيمُ  ۝٣٠
Qaaloo kazaaliki qaala Rabbuki innahoo huwal hakeemul `aleem
Wakasema: Ndivyo vivyo hivyo alivyo sema Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mwenye kujua.
🎤 Rekodi yako:
51:31 🔁 0/5
۞ قَالَ فَمَا خَطۡبُكُمۡ أَيُّهَا ٱلۡمُرۡسَلُونَ  ۝٣١
Qaala famaa khatbukum ayyuhal mursaloon
AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?
🎤 Rekodi yako:
51:32 🔁 0/5
قَالُوٓاْ إِنَّآ أُرۡسِلۡنَآ إِلَىٰ قَوۡمٍ مُّجۡرِمِينَ  ۝٣٢
Qaalooo innaaa ursilnaaa ilaa qawmim mujrimeen
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
🎤 Rekodi yako:
51:33 🔁 0/5
لِنُرۡسِلَ عَلَيۡهِمۡ حِجَارَةً مِّن طِينٍ  ۝٣٣
Linursila `alaihim hijaa ratam min teen
Tuwatupie mawe ya udongo,
🎤 Rekodi yako:
51:34 🔁 0/5
مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلۡمُسۡرِفِينَ  ۝٣٤
Musawwamatan `inda rabbika lilmusrifeen
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
🎤 Rekodi yako:
51:35 🔁 0/5
فَأَخۡرَجۡنَا مَن كَانَ فِيهَا مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ  ۝٣٥
Fa akhrajnaa man kaana feehaa minal mu`mineen
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
🎤 Rekodi yako:
51:36 🔁 0/5
فَمَا وَجَدۡنَا فِيهَا غَيۡرَ بَيۡتٍ مِّنَ ٱلۡمُسۡلِمِينَ  ۝٣٦
Famaa wajadnaa feehaa ghaira baitim minal muslimeen
Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
🎤 Rekodi yako:
51:37 🔁 0/5
وَتَرَكۡنَا فِيهَآ ءَايَةً لِّلَّذِينَ يَخَافُونَ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَلِيمَ  ۝٣٧
Wa taraknaa feehaaa aayatal lillazeena yakhaafoonal `azaabal aleem
Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
🎤 Rekodi yako:
51:38 🔁 0/5
وَفِي مُوسَىٰٓ إِذۡ أَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ فِرۡعَوۡنَ بِسُلۡطَٰنٍ مُّبِينٍ  ۝٣٨
Wa fee Moosaaa iz arsalnaahu ilaa Fir`wna bisultaa nim mubeen
Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.
🎤 Rekodi yako:
51:39 🔁 0/5
فَتَوَلَّىٰ بِرُكۡنِهِۦ وَقَالَ سَٰحِرٌ أَوۡ مَجۡنُونٌ  ۝٣٩
Fatawalla biruknihee wa qaala saahirun aw majnoon
Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu!
🎤 Rekodi yako:
51:40 🔁 0/5
فَأَخَذۡنَٰهُ وَجُنُودَهُۥ فَنَبَذۡنَٰهُمۡ فِي ٱلۡيَمِّ وَهُوَ مُلِيمٌ  ۝٤٠
Fa akhaznaahu wa junoo dahoo fanabaznaahum fil yammi wa huwa muleem
Basi tukamkamata yeye na majeshi yake na tukawatupa baharini, na yeye ndiye wa kulaumiwa.
🎤 Rekodi yako:
51:41 🔁 0/5
وَفِي عَادٍ إِذۡ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمُ ٱلرِّيحَ ٱلۡعَقِيمَ  ۝٤١
Wa fee `Aadin iz arsalnaa `alaihimur reehal`aqeem
Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi.
🎤 Rekodi yako:
51:42 🔁 0/5
مَا تَذَرُ مِن شَيۡءٍ أَتَتۡ عَلَيۡهِ إِلَّا جَعَلَتۡهُ كَٱلرَّمِيمِ  ۝٤٢
Maa tazaru min shai`in atat `alaihi illaa ja`alat hu karrameem
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
🎤 Rekodi yako:
51:43 🔁 0/5
وَفِي ثَمُودَ إِذۡ قِيلَ لَهُمۡ تَمَتَّعُواْ حَتَّىٰ حِينٍ  ۝٤٣
Wa fee Samooda iz qeela lahum tamatta``oo hattaa heen
Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
🎤 Rekodi yako:
51:44 🔁 0/5
فَعَتَوۡاْ عَنۡ أَمۡرِ رَبِّهِمۡ فَأَخَذَتۡهُمُ ٱلصَّٰعِقَةُ وَهُمۡ يَنظُرُونَ  ۝٤٤
Fa`ataw `an amri Rabbihim fa akhazal humus saa`iqatu wa hum yanzuroon
Wakaasi amri ya Mola wao Mlezi. Basi uliwanyakua moto wa radi nao wanaona.
🎤 Rekodi yako:
51:45 🔁 0/5
فَمَا ٱسۡتَطَٰعُواْ مِن قِيَامٍ وَمَا كَانُواْ مُنتَصِرِينَ  ۝٤٥
Famas tataa`oo min qiyaaminw wa maa kaanoo muntasireen
Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
🎤 Rekodi yako:
51:46 🔁 0/5
وَقَوۡمَ نُوحٍ مِّن قَبۡلُۖ إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَوۡمًا فَٰسِقِينَ  ۝٤٦
Wa qawma Noohim min qablu innahum kaano qawman faasiqeen
Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.
🎤 Rekodi yako:
51:47 🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءَ بَنَيۡنَٰهَا بِأَيۡيْدٍ وَإِنَّا لَمُوسِعُونَ  ۝٤٧
Wassamaaa`a banainaa haa bi aydinw wa innaa lamoosi`oon
Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua.
🎤 Rekodi yako:
51:48 🔁 0/5
وَٱلۡأَرۡضَ فَرَشۡنَٰهَا فَنِعۡمَ ٱلۡمَٰهِدُونَ  ۝٤٨
Wal arda farashnaahaa fani`mal maahidoon
Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi!
🎤 Rekodi yako:
51:49 🔁 0/5
وَمِن كُلِّ شَيۡءٍ خَلَقۡنَا زَوۡجَيۡنِ لَعَلَّكُمۡ تَذَكَّرُونَ  ۝٤٩
Wa min kulli shai`in khalaqnaa zawjaini la`allakum tazakkaroon
Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie.
🎤 Rekodi yako:
51:50 🔁 0/5
فَفِرُّوٓاْ إِلَى ٱللَّهِۖ إِنِّي لَكُم مِّنۡهُ نَذِيرٌ مُّبِينٌ  ۝٥٠
Fafirrooo ilal laahi innee lakum minhu nazeerum mubeen
Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
🎤 Rekodi yako:
51:51 🔁 0/5
وَلَا تَجۡعَلُواْ مَعَ ٱللَّهِ إِلَٰهًا ءَاخَرَۖ إِنِّي لَكُم مِّنۡهُ نَذِيرٌ مُّبِينٌ  ۝٥١
Wa laa taj`aloo ma`al laahi ilaahan aakhara innee lakum minhu nazeerum mubeen
Wala msifanye kuwa kuna mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
🎤 Rekodi yako:
51:52 🔁 0/5
كَذَٰلِكَ مَآ أَتَى ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا قَالُواْ سَاحِرٌ أَوۡ مَجۡنُونٌ  ۝٥٢
Kazaalika maaa atal lazeena min qablihim mir Rasoolin illaa qaaloo saahirun aw majnoon
Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
51:53 🔁 0/5
أَتَوَاصَوۡاْ بِهِۦۚ بَلۡ هُمۡ قَوۡمٌ طَاغُونَ  ۝٥٣
Atawaasaw bih; bal hum qawmun taaghoon
Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.
🎤 Rekodi yako:
51:54 🔁 0/5
فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡ فَمَآ أَنتَ بِمَلُومٍ  ۝٥٤
Fatawalla `anhum famaaa anta bimaloom
Basi waachilie mbali, nawe hulaumiwi.
🎤 Rekodi yako:
51:55 🔁 0/5
وَذَكِّرۡ فَإِنَّ ٱلذِّكۡرَىٰ تَنفَعُ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ  ۝٥٥
Wa zakkir fa innaz zikraa tanfa`ul mu`mineen
Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini.
🎤 Rekodi yako:
51:56 🔁 0/5
وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِيَعۡبُدُونِ  ۝٥٦
Wa maa khalaqtul jinna wal insa illaa liya`budoon
Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.
🎤 Rekodi yako:
51:57 🔁 0/5
مَآ أُرِيدُ مِنۡهُم مِّن رِّزۡقٍ وَمَآ أُرِيدُ أَن يُطۡعِمُونِ  ۝٥٧
Maaa ureedu minhum mir rizqinw wa maaa ureedu anyyut`imoon
Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe.
🎤 Rekodi yako:
51:58 🔁 0/5
إِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلرَّزَّاقُ ذُو ٱلۡقُوَّةِ ٱلۡمَتِينُ  ۝٥٨
Innal laaha Huwar Razzaaqu Zul Quwwatil Mateen
Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti.
🎤 Rekodi yako:
51:59 🔁 0/5
فَإِنَّ لِلَّذِينَ ظَلَمُواْ ذَنُوبًا مِّثۡلَ ذَنُوبِ أَصۡحَٰبِهِمۡ فَلَا يَسۡتَعۡجِلُونِ  ۝٥٩
Fa inna lillazeena zalamoo zanoobam misla zanoobi ashaabihim falaa yasta`jiloon
Hakika walio dhulumu wana fungu lao la adhabu kama fungu la wenzao. Basi wasinihimize.
🎤 Rekodi yako:
51:60 🔁 0/5
فَوَيۡلٌ لِّلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن يَوۡمِهِمُ ٱلَّذِي يُوعَدُونَ  ۝٦٠
Fawailul lillazeena kafaroo miny yawmihimul lazee yoo`adoon
Ole wao walio ikanusha siku yao waliyo ahidiwa.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.

🎉
🎊 Hongera! Umemaliza Kuhifadhi
Mishary Rashid Alafasy
Mahmoud Khalil Al-Husary
Abdurrahman As-Sudais
Mohamed Siddiq Al-Minshawi
Abdul Basit Abdul Samad
Ali Al-Hudhaify
Ahmed ibn Ali al-Ajamy
Abu Bakr Ash-Shaatree
Muhammad Ayyoub
Abdullah Basfar
Abdullah Al-Juhani
Maher Al Muaiqly
0:00
0:00
-

Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema