🔥 0 siku mfululizo
📖 Sura ndefu — imegawanywa sehemu ndogo (60 Aya)
0/60
51:1
🔁 0/5
وَٱلذَّٰرِيَٰتِ ذَرۡوًا ١
Waz-zaariyaati zarwaa
Naapa kwa pepo zinazo tawanya,
🎤 Rekodi yako:
51:2
🔁 0/5
فَٱلۡحَٰمِلَٰتِ وِقۡرًا ٢
Falhaamilaati wiqraa
Na zinazo beba mizigo,
🎤 Rekodi yako:
51:3
🔁 0/5
فَٱلۡجَٰرِيَٰتِ يُسۡرًا ٣
Faljaariyaati yusraa
Na zinazo kwenda kwa wepesi.
🎤 Rekodi yako:
51:4
🔁 0/5
فَٱلۡمُقَسِّمَٰتِ أَمۡرًا ٤
Falmuqassimaati amraa
Na zinazo gawanya kwa amri,
🎤 Rekodi yako:
51:5
🔁 0/5
إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَصَادِقٌ ٥
Innamaa too`adoona la-saadiq
Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka ni kweli,
🎤 Rekodi yako:
51:6
🔁 0/5
وَإِنَّ ٱلدِّينَ لَوَٰقِعٌ ٦
Wa innad deena la waaqi
Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea.
🎤 Rekodi yako:
51:7
🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلۡحُبُكِ ٧
Wassamaaa`i zaatil hubuk
Naapa kwa mbingu zenye njia,
🎤 Rekodi yako:
51:8
🔁 0/5
إِنَّكُمۡ لَفِي قَوۡلٍ مُّخۡتَلِفٍ ٨
Innakum lafee qawlim mukhtalif
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
🎤 Rekodi yako:
51:9
🔁 0/5
يُؤۡفَكُ عَنۡهُ مَنۡ أُفِكَ ٩
Yu`faku `anhu man ufik
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
🎤 Rekodi yako:
51:10
🔁 0/5
قُتِلَ ٱلۡخَرَّٰصُونَ ١٠
Qutilal kharraasoon
Wazushi wameangamizwa.
🎤 Rekodi yako:
51:11
🔁 0/5
ٱلَّذِينَ هُمۡ فِي غَمۡرَةٍ سَاهُونَ ١١
Allazeena hum fee ghamratin saahoon
Ambao wameghafilika katika ujinga.
🎤 Rekodi yako:
51:12
🔁 0/5
يَسۡـَٔلُونَ أَيَّانَ يَوۡمُ ٱلدِّينِ ١٢
Yas`aloona ayyaana yawmud Deen
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?
🎤 Rekodi yako:
51:13
🔁 0/5
يَوۡمَ هُمۡ عَلَى ٱلنَّارِ يُفۡتَنُونَ ١٣
Yawma hum `alan naari yuftanoon
Hiyo ni siku watakayo adhibiwa Motoni.
🎤 Rekodi yako:
51:14
🔁 0/5
ذُوقُواْ فِتۡنَتَكُمۡ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تَسۡتَعۡجِلُونَ ١٤
Zooqoo fitnatakum haa zal lazee kuntum bihee tas ta`jiloon
Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
🎤 Rekodi yako:
51:15
🔁 0/5
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّٰتٍ وَعُيُونٍ ١٥
Innal muttaqeena fee jannaatinw wa `uyoon
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
🎤 Rekodi yako:
51:16
🔁 0/5
ءَاخِذِينَ مَآ ءَاتَىٰهُمۡ رَبُّهُمۡۚ إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَبۡلَ ذَٰلِكَ مُحۡسِنِينَ ١٦
Aakhizeena maaa aataahum Rabbuhum; innahum kaanoo qabla zaalika muhsineen
Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
🎤 Rekodi yako:
51:17
🔁 0/5
كَانُواْ قَلِيلًا مِّنَ ٱلَّيۡلِ مَا يَهۡجَعُونَ ١٧
kaanoo qaleelam minal laili maa yahja`oon
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
🎤 Rekodi yako:
51:18
🔁 0/5
وَبِٱلۡأَسۡحَارِ هُمۡ يَسۡتَغۡفِرُونَ ١٨
Wa bilashaari hum yastaghfiroon
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
🎤 Rekodi yako:
51:19
🔁 0/5
وَفِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقٌّ لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ ١٩
Wa feee amwaalihim haqqul lissaaa`ili walmahroom
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
🎤 Rekodi yako:
51:20
🔁 0/5
وَفِي ٱلۡأَرۡضِ ءَايَٰتٌ لِّلۡمُوقِنِينَ ٢٠
Wa fil ardi aayaatul lilmooqineen
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
🎤 Rekodi yako:
51:21
🔁 0/5
وَفِيٓ أَنفُسِكُمۡۚ أَفَلَا تُبۡصِرُونَ ٢١
Wa feee anfusikum; afalaa tubsiroon
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
🎤 Rekodi yako:
51:22
🔁 0/5
وَفِي ٱلسَّمَآءِ رِزۡقُكُمۡ وَمَا تُوعَدُونَ ٢٢
Wa fissamaaa`i rizqukum wa maa too`adoon
Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.
🎤 Rekodi yako:
51:23
🔁 0/5
فَوَرَبِّ ٱلسَّمَآءِ وَٱلۡأَرۡضِ إِنَّهُۥ لَحَقٌّ مِّثۡلَ مَآ أَنَّكُمۡ تَنطِقُونَ ٢٣
Fawa Rabbis samaaa`i wal ardi innahoo lahaqqum misla maa annakum tantiqoon
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo kweli kuwa nyinyi mnasema.
🎤 Rekodi yako:
51:24
🔁 0/5
هَلۡ أَتَىٰكَ حَدِيثُ ضَيۡفِ إِبۡرَٰهِيمَ ٱلۡمُكۡرَمِينَ ٢٤
Hal ataaka hadeesu daifi Ibraaheemal mukrameen
Je! Imekufikia hadithi ya wageni wa Ibrahim wanao hishimiwa?
🎤 Rekodi yako:
51:25
🔁 0/5
إِذۡ دَخَلُواْ عَلَيۡهِ فَقَالُواْ سَلَٰمًاۖ قَالَ سَلَٰمٌ قَوۡمٌ مُّنكَرُونَ ٢٥
Iz dakhaloo `alaihi faqaaloo salaaman qaala salaamun qawmum munkaroon
Walipo ingia kwake wakasema: Salama! Na yeye akasema: Salama! Nyinyi ni watu nisio kujueni.
🎤 Rekodi yako:
51:26
🔁 0/5
فَرَاغَ إِلَىٰٓ أَهۡلِهِۦ فَجَآءَ بِعِجۡلٍ سَمِينٍ ٢٦
Faraagha ilaaa ahlihee fajaaa`a bi`ijlin sameen
Akenda kwa ahali yake na akaja na ndama aliye nona.
🎤 Rekodi yako:
51:27
🔁 0/5
فَقَرَّبَهُۥٓ إِلَيۡهِمۡ قَالَ أَلَا تَأۡكُلُونَ ٢٧
Faqarrabahooo ilaihim qaala alaa taakuloon
Akawakaribisha, akasema: Mbona hamli?
🎤 Rekodi yako:
51:28
🔁 0/5
فَأَوۡجَسَ مِنۡهُمۡ خِيفَةًۖ قَالُواْ لَا تَخَفۡۖ وَبَشَّرُوهُ بِغُلَٰمٍ عَلِيمٍ ٢٨
Fa awjasa minhm khee fatan qaaloo laa takhaf wa bashsharoohu bighulaamin `aleem
Akahisi kuwaogopa katika nafsi yake. Wakasema: Usiwe na khofu, nao wakambashiria kupata kijana mwenye ilimu.
🎤 Rekodi yako:
51:29
🔁 0/5
فَأَقۡبَلَتِ ٱمۡرَأَتُهُۥ فِي صَرَّةٍ فَصَكَّتۡ وَجۡهَهَا وَقَالَتۡ عَجُوزٌ عَقِيمٌ ٢٩
Fa aqbalatim ra-atuhoo fee sarratin fasakkat wajhahaa wa qaalat `ajoozun `aqeem
Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni kikongwe na tasa!
🎤 Rekodi yako:
51:30
🔁 0/5
قَالُواْ كَذَٰلِكِ قَالَ رَبُّكِۖ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡحَكِيمُ ٱلۡعَلِيمُ ٣٠
Qaaloo kazaaliki qaala Rabbuki innahoo huwal hakeemul `aleem
Wakasema: Ndivyo vivyo hivyo alivyo sema Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mwenye kujua.
🎤 Rekodi yako:
51:31
🔁 0/5
۞ قَالَ فَمَا خَطۡبُكُمۡ أَيُّهَا ٱلۡمُرۡسَلُونَ ٣١
Qaala famaa khatbukum ayyuhal mursaloon
AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?
🎤 Rekodi yako:
51:32
🔁 0/5
قَالُوٓاْ إِنَّآ أُرۡسِلۡنَآ إِلَىٰ قَوۡمٍ مُّجۡرِمِينَ ٣٢
Qaalooo innaaa ursilnaaa ilaa qawmim mujrimeen
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
🎤 Rekodi yako:
51:33
🔁 0/5
لِنُرۡسِلَ عَلَيۡهِمۡ حِجَارَةً مِّن طِينٍ ٣٣
Linursila `alaihim hijaa ratam min teen
Tuwatupie mawe ya udongo,
🎤 Rekodi yako:
51:34
🔁 0/5
مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلۡمُسۡرِفِينَ ٣٤
Musawwamatan `inda rabbika lilmusrifeen
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
🎤 Rekodi yako:
51:35
🔁 0/5
فَأَخۡرَجۡنَا مَن كَانَ فِيهَا مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ٣٥
Fa akhrajnaa man kaana feehaa minal mu`mineen
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
🎤 Rekodi yako:
51:36
🔁 0/5
فَمَا وَجَدۡنَا فِيهَا غَيۡرَ بَيۡتٍ مِّنَ ٱلۡمُسۡلِمِينَ ٣٦
Famaa wajadnaa feehaa ghaira baitim minal muslimeen
Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
🎤 Rekodi yako:
51:37
🔁 0/5
وَتَرَكۡنَا فِيهَآ ءَايَةً لِّلَّذِينَ يَخَافُونَ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَلِيمَ ٣٧
Wa taraknaa feehaaa aayatal lillazeena yakhaafoonal `azaabal aleem
Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
🎤 Rekodi yako:
51:38
🔁 0/5
وَفِي مُوسَىٰٓ إِذۡ أَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ فِرۡعَوۡنَ بِسُلۡطَٰنٍ مُّبِينٍ ٣٨
Wa fee Moosaaa iz arsalnaahu ilaa Fir`wna bisultaa nim mubeen
Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.
🎤 Rekodi yako:
51:39
🔁 0/5
فَتَوَلَّىٰ بِرُكۡنِهِۦ وَقَالَ سَٰحِرٌ أَوۡ مَجۡنُونٌ ٣٩
Fatawalla biruknihee wa qaala saahirun aw majnoon
Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu!
🎤 Rekodi yako:
51:40
🔁 0/5
فَأَخَذۡنَٰهُ وَجُنُودَهُۥ فَنَبَذۡنَٰهُمۡ فِي ٱلۡيَمِّ وَهُوَ مُلِيمٌ ٤٠
Fa akhaznaahu wa junoo dahoo fanabaznaahum fil yammi wa huwa muleem
Basi tukamkamata yeye na majeshi yake na tukawatupa baharini, na yeye ndiye wa kulaumiwa.
🎤 Rekodi yako:
51:41
🔁 0/5
وَفِي عَادٍ إِذۡ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمُ ٱلرِّيحَ ٱلۡعَقِيمَ ٤١
Wa fee `Aadin iz arsalnaa `alaihimur reehal`aqeem
Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi.
🎤 Rekodi yako:
51:42
🔁 0/5
مَا تَذَرُ مِن شَيۡءٍ أَتَتۡ عَلَيۡهِ إِلَّا جَعَلَتۡهُ كَٱلرَّمِيمِ ٤٢
Maa tazaru min shai`in atat `alaihi illaa ja`alat hu karrameem
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
🎤 Rekodi yako:
51:43
🔁 0/5
وَفِي ثَمُودَ إِذۡ قِيلَ لَهُمۡ تَمَتَّعُواْ حَتَّىٰ حِينٍ ٤٣
Wa fee Samooda iz qeela lahum tamatta``oo hattaa heen
Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
🎤 Rekodi yako:
51:44
🔁 0/5
فَعَتَوۡاْ عَنۡ أَمۡرِ رَبِّهِمۡ فَأَخَذَتۡهُمُ ٱلصَّٰعِقَةُ وَهُمۡ يَنظُرُونَ ٤٤
Fa`ataw `an amri Rabbihim fa akhazal humus saa`iqatu wa hum yanzuroon
Wakaasi amri ya Mola wao Mlezi. Basi uliwanyakua moto wa radi nao wanaona.
🎤 Rekodi yako:
51:45
🔁 0/5
فَمَا ٱسۡتَطَٰعُواْ مِن قِيَامٍ وَمَا كَانُواْ مُنتَصِرِينَ ٤٥
Famas tataa`oo min qiyaaminw wa maa kaanoo muntasireen
Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
🎤 Rekodi yako:
51:46
🔁 0/5
وَقَوۡمَ نُوحٍ مِّن قَبۡلُۖ إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَوۡمًا فَٰسِقِينَ ٤٦
Wa qawma Noohim min qablu innahum kaano qawman faasiqeen
Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.
🎤 Rekodi yako:
51:47
🔁 0/5
وَٱلسَّمَآءَ بَنَيۡنَٰهَا بِأَيۡيْدٍ وَإِنَّا لَمُوسِعُونَ ٤٧
Wassamaaa`a banainaa haa bi aydinw wa innaa lamoosi`oon
Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua.
🎤 Rekodi yako:
51:48
🔁 0/5
وَٱلۡأَرۡضَ فَرَشۡنَٰهَا فَنِعۡمَ ٱلۡمَٰهِدُونَ ٤٨
Wal arda farashnaahaa fani`mal maahidoon
Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi!
🎤 Rekodi yako:
51:49
🔁 0/5
وَمِن كُلِّ شَيۡءٍ خَلَقۡنَا زَوۡجَيۡنِ لَعَلَّكُمۡ تَذَكَّرُونَ ٤٩
Wa min kulli shai`in khalaqnaa zawjaini la`allakum tazakkaroon
Na katika kila kitu tumeumba kwa jozi ili mzingatie.
🎤 Rekodi yako:
51:50
🔁 0/5
فَفِرُّوٓاْ إِلَى ٱللَّهِۖ إِنِّي لَكُم مِّنۡهُ نَذِيرٌ مُّبِينٌ ٥٠
Fafirrooo ilal laahi innee lakum minhu nazeerum mubeen
Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
🎤 Rekodi yako:
51:51
🔁 0/5
وَلَا تَجۡعَلُواْ مَعَ ٱللَّهِ إِلَٰهًا ءَاخَرَۖ إِنِّي لَكُم مِّنۡهُ نَذِيرٌ مُّبِينٌ ٥١
Wa laa taj`aloo ma`al laahi ilaahan aakhara innee lakum minhu nazeerum mubeen
Wala msifanye kuwa kuna mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
🎤 Rekodi yako:
51:52
🔁 0/5
كَذَٰلِكَ مَآ أَتَى ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا قَالُواْ سَاحِرٌ أَوۡ مَجۡنُونٌ ٥٢
Kazaalika maaa atal lazeena min qablihim mir Rasoolin illaa qaaloo saahirun aw majnoon
Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.
🎤 Rekodi yako:
51:53
🔁 0/5
أَتَوَاصَوۡاْ بِهِۦۚ بَلۡ هُمۡ قَوۡمٌ طَاغُونَ ٥٣
Atawaasaw bih; bal hum qawmun taaghoon
Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.
🎤 Rekodi yako:
51:54
🔁 0/5
فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡ فَمَآ أَنتَ بِمَلُومٍ ٥٤
Fatawalla `anhum famaaa anta bimaloom
Basi waachilie mbali, nawe hulaumiwi.
🎤 Rekodi yako:
51:55
🔁 0/5
وَذَكِّرۡ فَإِنَّ ٱلذِّكۡرَىٰ تَنفَعُ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ ٥٥
Wa zakkir fa innaz zikraa tanfa`ul mu`mineen
Na kumbusha, kwani ukumbusho huwafaa Waumini.
🎤 Rekodi yako:
51:56
🔁 0/5
وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِيَعۡبُدُونِ ٥٦
Wa maa khalaqtul jinna wal insa illaa liya`budoon
Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.
🎤 Rekodi yako:
51:57
🔁 0/5
مَآ أُرِيدُ مِنۡهُم مِّن رِّزۡقٍ وَمَآ أُرِيدُ أَن يُطۡعِمُونِ ٥٧
Maaa ureedu minhum mir rizqinw wa maaa ureedu anyyut`imoon
Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe.
🎤 Rekodi yako:
51:58
🔁 0/5
إِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلرَّزَّاقُ ذُو ٱلۡقُوَّةِ ٱلۡمَتِينُ ٥٨
Innal laaha Huwar Razzaaqu Zul Quwwatil Mateen
Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kuruzuku, Mwenye nguvu, Madhubuti.
🎤 Rekodi yako:
51:59
🔁 0/5
فَإِنَّ لِلَّذِينَ ظَلَمُواْ ذَنُوبًا مِّثۡلَ ذَنُوبِ أَصۡحَٰبِهِمۡ فَلَا يَسۡتَعۡجِلُونِ ٥٩
Fa inna lillazeena zalamoo zanoobam misla zanoobi ashaabihim falaa yasta`jiloon
Hakika walio dhulumu wana fungu lao la adhabu kama fungu la wenzao. Basi wasinihimize.
🎤 Rekodi yako:
51:60
🔁 0/5
فَوَيۡلٌ لِّلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن يَوۡمِهِمُ ٱلَّذِي يُوعَدُونَ ٦٠
Fawailul lillazeena kafaroo miny yawmihimul lazee yoo`adoon
Ole wao walio ikanusha siku yao waliyo ahidiwa.
🎤 Rekodi yako:
💡 Gusa neno lililofichwa ili lionekane kwa muda — maendeleo yako yanahifadhiwa kiotomatiki.
العربيةEnglishBahasa IndonesiaTürkçeРусскийفارسیFrançaisاردوবাংলাDeutschEspañol中文हिन्दीPortuguêsItalianoภาษาไทยPolskiNederlandsShqipKiswahiliO'zbekதமிழ்MelayuBosanskiSoomaaliAzərbaycanکوردی한국어日本語SvenskaDanskNorskپښتوമലയാളംසිංහලTamazightHausaአማርኛБългарскиТоҷикӣҚазақшаFilipinoسنڌيYorùbáFulfuldeТатарчаئۇيغۇرچەКыргызчаਪੰਜਾਬੀJawaతెలుగుမြန်မာગુજરાતીOromoमराठीTiếng ViệtMalagasyНохчийнWolofދިވެހިಕನ್ನಡУкраїнськаΕλληνικάქართულიខ្មែរدریQafar afMaranaoनेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema







