Surah Ikhlas aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ﴾
[ الإخلاص: 1]
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Surah Al-Ikhlas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "He is Allah, [who is] One,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, -Tusifie Mola wako Mlezi.-: waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Mwenyezi Mungu anajua wanayo yadhamiria.
- Atazidishiwa adhabu Siku ya Kiyama, na atadumu humo kwa kufedheheka.
- Siku ambayo kila nafsi itakuta mema iliyo yafanya yamehudhurishwa, na pia ubaya ilio ufanya. Itapenda
- Watu wanakuuliza khabari ya Saa (ya Kiyama). Sema: Ujuzi wake uko kwa Mwenyezi Mungu. Na
- Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki, hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi Tukufu.
- Hakika wale wanao zikanusha Ishara zetu na wakazifanyia kiburi hawatafunguliwa milango ya mbingu, wala hawataingia
- Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha
- Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
- Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi, walio kufuru husema juu ya haki inapo wajia:
- Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata upotovu, na walio amini wamefuata Haki iliyo toka
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ikhlas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ikhlas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ikhlas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



