Surah Ikhlas aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ﴾
[ الإخلاص: 1]
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Surah Al-Ikhlas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "He is Allah, [who is] One,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Ewe Muhammad! Hao wanao sema kwa kejeli, -Tusifie Mola wako Mlezi.-: waambie: Yeye ni Mwenyezi Mungu wa pekee hapana mwenginewe, wala hana mshirika.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika mimi nimemuamini Mola wenu Mlezi, basi nisikilizeni!
- Hasha! Usimt'ii! Nawe sujudu na ujongee!
- Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa
- Kila mtu analo kundi la malaika mbele yake na nyuma yake linamlinda kwa amri ya
- Ametakasika Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, Mola Mlezi wa A'rshi, na hayo wanayo msifia.
- Na hakika Mitume walio kabla yako walifanyiwa kejeli, lakini walio wafanyia kejeli wakaja kuzungukwa na
- Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.
- Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Hao ndio watakao karibishwa
- Je! Hawawaoni ndege walivyo wat'iifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ikhlas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ikhlas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ikhlas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



