Surah Takwir aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا هُوَ عَلَى الْغَيْبِ بِضَنِينٍ﴾
[ التكوير: 24]
Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Muhammad is not a withholder of [knowledge of] the unseen.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.
Na Muhammad si bakhili wa kufikisha wahyi na kuwafunza watu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo
- Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
- Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
- Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?
- Na kwa usiku unapo tanda!
- Hasha! Naapa kwa mwezi!
- Wala Yeye haogopi matokeo yake.
- Sema: Ikiwa nyumba ya Akhera iliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni yenu tu bila ya watu
- Akasema: Mwenyezi Mungu apishe mbali kumshika yeyote yule isipo kuwa tuliye mkuta naye kitu chetu.
- Watapata watakacho taka kwa Mola wao Mlezi. Hayo ndiyo malipo ya watendao mema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers