Surah Ikhlas aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿اللَّهُ الصَّمَدُ﴾
[ الإخلاص: 2]
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
Surah Al-Ikhlas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Allah, the Eternal Refuge.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
Mwenyezi Mungu Mwenye kukusudiwa peke yake katika haja zote, na yote yanayo takikana.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi waache wapige porojo wakicheza mpaka wakutwe na hiyo siku yao waliyo ahidiwa.
- (Mwenyezi Mungu) akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe ni maluuni!
- Na Zakaria na Yahya na Isa na Ilyas. Wote walikuwa miongoni mwa watu wema.
- Kwa kutakabari kwao katika nchi, na kufanya vitimbi vya uovu. Na vitimbi viovu havimsibu ila
- Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
- Na Firauni mwenye vigingi?
- Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
- Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana usiku na mchana, na marikebu ambazo
- Basi wakarudi na neema na fadhila za Mwenyezi Mungu. Hapana baya lilio wagusa, na wakafuata
- Mwenyezi Mungu huwatia imara wenye kuamini kwa kauli ya imara katika maisha ya dunia na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ikhlas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ikhlas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ikhlas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



