Surah Qaf aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qaf aya 1 in arabic text(Qaf).
  
   
ayat 1 from Surah Qaf

﴿ق ۚ وَالْقُرْآنِ الْمَجِيدِ
[ ق: 1]

Qaaf. Naapa kwa Qur'ani tukufu!

Surah Qaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Qaf. By the honored Qur'an...


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Qaaf. Naapa kwa Qurani tukufu!


Qaaf. Hii ni harufi katika harufi za alifbete iliyo fungulia Sura hii kama ilivyo ada ya Qurani katika kufungulia Sura kadhaa wa kadhaa kwa harufi kama hii, ili kuwakabili makafiri kama wanaweza kuleta mfano wake, na pia kuwazindua watu wasikilize yanayo somwa. Ninaapa kwa Qurani yenye ubora, na utukufu, na hishima kwamba hakika Sisi tumekutuma wewe, ewe Muhammad, ili uwaonye watu kwa hii.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Qaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na mlipo muuwa mtu, kisha mkakhitalifiana kwayo, na Mwenyezi Mungu ni mwenye kuyatoa hayo mliyo
  2. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi
  3. Fuateni mliyo teremshiwa kutoka kwa Mola Mlezi wenu, wala msifuate rafiki au walinzi wengine badala
  4. Basi subiri, hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Na ama tukikuonyesha baadhi ya
  5. Tulimfunulia mama yake Musa kwa kumwambia: Mnyonyeshe. Na utakapo mkhofia basi mtie mtoni, na usikhofu
  6. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi
  7. Kwani wanangojea jengine isipo kuwa iwafikie Saa (ya Kiyama) kwa ghafla? Na hakika alama zake
  8. Na ni nani mwenye kudhulumu zaidi kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo, naye anaitwa
  9. Na hakika yule mwanamke alimtamani, na Yusuf angeli mtamani lau kuwa hakuona ishara ya Mola
  10. Na Mitume tulio kwisha kukuhadithia kabla yake, na Mitume wengine hatukukuhadithia. Na Mwenyezi Mungu alinena

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Surah Qaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Qaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, June 20, 2025

Please remember us in your sincere prayers