Surah Yunus aya 92 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yunus aya 92 in arabic text(Jonah).
  
   
ayat 92 from Surah Yunus

﴿فَالْيَوْمَ نُنَجِّيكَ بِبَدَنِكَ لِتَكُونَ لِمَنْ خَلْفَكَ آيَةً ۚ وَإِنَّ كَثِيرًا مِّنَ النَّاسِ عَنْ آيَاتِنَا لَغَافِلُونَ
[ يونس: 92]

Leo, basi, tutakuokoa kwa mwili wako, ili uwe Ishara kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.

Surah Yunus in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So today We will save you in body that you may be to those who succeed you a sign. And indeed, many among the people, of Our signs, are heedless


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Leo, basi, tutakuokoa kwa mwili wako, ili uwe Ishara kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.


Na leo siku ulipo angamia tutautoa mwili wako baharini, na tutauweka uwe ni onyo na funzo kwa hao walio kuwa wakikuabudu, na hawakuwa wakikutarajia utapata mwisho huu wa hizaya wa machungu. Lakini watu wengi wanaghafilika na Ishara zilizo wazi na zilizo zagaa katika ulimwengu, na ambazo zinathibitisha uwezo wetu. Inaonyesha Aya hii tukufu kuwa mwili wa Firauni utabaki umehifadhiwa ili watu wauone, na wapime kwa macho yao hali ya ule mzoga wa yule aliye kuwa akijiona ni mungu, na akiwaambia watu wake wanao mnyenyekea: Hamna mungu ila mimi! Kadhaalika tujue kuwa kutoka Wana wa Israili katika nchi ya Misri kulikuwa mwishoni mwa karne ya kumi na tatu kabla ya kuzaliwa Nabii Isa a.s., katika enzi ya mmoja wa Mafirauni wa Ukoo wa kumi na tisa, naye ni Minfitah mwana wa Ramsis wa Pili, ambaye ndiye aliye wakandamiza Wana wa Israili akawalazimisha wamjengee Jiji la ufalme wake. Uvumbuzi wa machimbo ya vitu vya kale wa hivi karibuni umedhihirisha kuwa jina la mji huo ulio funikika chini ya ardhi, ni -Buramsis-. Kulikuwa kutoka kwa Wana wa Israili pamoja na Musa ni kwa ajili ya wito wa Tawhidi, Umoja wa Mwenyezi Mungu, na kuikata shemere ya Firauni iliyo wadhalilisha, na ikawakutisha adhabu ya mwisho. Na ilikuwa haijuulikani na Waarabu ambao hawajui kusoma na kuandika, wala kwa wengineo, kwamba mwili wa Firauni huyu ungalipo mpaka hii leo. Lakini Qurani imeyataja hayo, na ukweli wake umethibiti mwaka 1900 B.K., yaani karne kumi na tatu baada ya kuteremka Qurani. Je, hii si dalili ya kuwa imetoka kwa Mungu?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 92 from Yunus


Ayats from Quran in Swahili

  1. Naye atakuja ridhika!
  2. Hebu hukuona vipi Mwenyezi Mungu alivyo piga mfano wa neno zuri? Ni kama mti mzuri,
  3. Na siku atakapo waita na akasema: Wako wapi hao mlio kuwa mkidai kuwa ni washirika
  4. Na mwenye kuuelekeza uso wake kwa Mwenyezi Mungu, naye akawa anafanya wema, basi huyo hakika
  5. Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
  6. Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka
  7. Na mfano wa walio kufuru ni kama mfano wa anaye mpigia kelele asiye sikia ila
  8. Basi usimdhanie Mwenyezi Mungu kuwa ni mwenye kuwavunjia ahadi yake Mitume wake. Hakika Mwenyezi Mungu
  9. Mlivyo navyo vitakwisha na vilivyoko kwa Mwenyezi Mungu ndivyo vitakavyo bakia. Na kwa yakini Sisi
  10. Wanakuapieni Mwenyezi Mungu ili kukuridhisheni nyinyi, hali ya kuwa wanao stahiki zaidi kuridhishwa ni Mwenyezi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Surah Yunus Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yunus Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yunus Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yunus Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yunus Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yunus Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yunus Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Yunus Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yunus Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yunus Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yunus Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yunus Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yunus Al Hosary
Al Hosary
Surah Yunus Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yunus Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب