Surah Araf aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿المص﴾
[ الأعراف: 1]
ALIF LAM MYM 'SAAD
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Alif, Lam, Meem, Sad.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
ALIF LAM MYMSAAD .
Alif Lam MymSaad. (A.L.M.S.) Hizi ni harufi za kutamkwa ambazo zinaanzia baadhi ya Sura za Makka, kwa ajili ya kuwazindua Washirikina kuwa hakika hii Qurani Tukufu imeundwa kwa harufi zile zile wanazo zitamka wao. Na juu ya hivyo wao wanaemewa hawawezi kuleta mfano wake. Kadhaalika harufi hizi zinapo somwa huwazindua wao wasikilize, kwa kuwa walikuwa wananasihiwa na wakubwa zao kuwa wasiisikilize Qurani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hii ni ada ya Mwenyezi Mungu iliyo kuwa kwa wale walio pita zamani. Wala hutapata
- Basi tukamshika yeye na majeshi yake, na tukawatupa baharini. Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa
- Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
- Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
- Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
- Na Mwenyezi Mungu ndiye mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Humsamehe amtakaye, na humuadhibu amtakaye.
- Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
- Na wakitengana Mwenyezi Mungu atamtosheleza kila mmoja katika wao kwa ukunjufu wake. Na Mwenyezi Mungu
- Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
- Na ambaye amekadiria na akaongoa,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



