Surah Rum aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Rum aya 30 in arabic text(Rome - Byzantium).
  
   
ayat 30 from Surah Ar-Rum

﴿فَأَقِمْ وَجْهَكَ لِلدِّينِ حَنِيفًا ۚ فِطْرَتَ اللَّهِ الَّتِي فَطَرَ النَّاسَ عَلَيْهَا ۚ لَا تَبْدِيلَ لِخَلْقِ اللَّهِ ۚ ذَٰلِكَ الدِّينُ الْقَيِّمُ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لَا يَعْلَمُونَ
[ الروم: 30]

Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye Dini - ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia watu. Hapana mabadiliko katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu. Hiyo ndiyo Dini iliyo nyooka sawa. Lakini watu wengi hawajui.

Surah Ar-Rum in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So direct your face toward the religion, inclining to truth. [Adhere to] the fitrah of Allah upon which He has created [all] people. No change should there be in the creation of Allah. That is the correct religion, but most of the people do not know.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi uwelekeze uso wako sawa sawa kwenye Dini. Ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia watu, hapana mabadilko katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu. Hiyo ndio Dini ilionyoka sawa, lakini watu wengi hawajui.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 30 from Rum


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi kwa sababu ya kuvunja kwao ahadi zao, na kuzikataa kwao ishara za Mwenyezi Mungu,
  2. Au nani anaye uanzisha uumbaji, kisha akaurejesha? Na nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni na kwenye
  3. Akasema mwenye ilimu ya Kitabu: Mimi nitakuletea kabla ya kupepesa jicho lako. Basi alipo kiona
  4. Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.
  5. Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
  6. Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.
  7. Na pale tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakamsujudia isipo kuwa Iblisi. Akasema: Je! Nimsujudie uliye
  8. Basi ni nani aliye dhaalimu zaidi kuliko yule anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu na akazikanusha
  9. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye.
  10. Na aminini niliyo yateremsha ambayo yanasadikisha mliyo nayo, wala msiwe wa kwanza kuyakataa. Wala msiuze

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Rum with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Rum mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Rum Complete with high quality
Surah Rum Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Rum Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Rum Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Rum Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Rum Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Rum Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Rum Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Rum Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Rum Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Rum Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Rum Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Rum Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Rum Al Hosary
Al Hosary
Surah Rum Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Rum Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 15, 2024

Please remember us in your sincere prayers