Surah Duha aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَلْآخِرَةُ خَيْرٌ لَّكَ مِنَ الْأُولَىٰ﴾
[ الضحى: 4]
Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
Surah Ad-Dhuha in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the Hereafter is better for you than the first [life].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
Na matokeo ya mambo yako, mwisho wake, yatakuwa bora kuliko mwanzo wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Mkiambiwa: Fanyeni nafasi katika mabaraza, basi fanyeni nafasi. Na Mwenyezi Mungu atakufanyieni
- Watasema: Ole wetu! Nani aliye tufufua kwenye malazi yetu? Haya ndiyo aliyo yaahidi Mwingi wa
- Na kwamba Yeye ndiye anaye leta kicheko na kilio.
- Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
- Na wanapo ambiwa: Msifanye uharibifu ulimwenguni. Husema: Bali sisi ni watengenezaji.
- Wakasema: Tunakubashiria kwa haki; basi usiwe miongoni mwa wanao kata tamaa.
- "Salama!" Hiyo ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mlezi Mwenye kurehemu.
- Aibu yenu nyinyi na hivyo mnavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu! Basi nyinyi hamtii akilini?
- Je! Hawakuiona ardhi, mimea mingapi tumeiotesha humo, ya kila namna nzuri?
- Na atawaingiza katika Pepo aliyo wajuulisha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Duha with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Duha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Duha Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers