Surah Yunus aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yunus aya 11 in arabic text(Jonah).
  
   
ayat 11 from Surah Yunus

﴿۞ وَلَوْ يُعَجِّلُ اللَّهُ لِلنَّاسِ الشَّرَّ اسْتِعْجَالَهُم بِالْخَيْرِ لَقُضِيَ إِلَيْهِمْ أَجَلُهُمْ ۖ فَنَذَرُ الَّذِينَ لَا يَرْجُونَ لِقَاءَنَا فِي طُغْيَانِهِمْ يَعْمَهُونَ
[ يونس: 11]

Na lau kama Mwenyezi Mungu angeli wafanyia watu haraka kuwaletea shari kama wanavyo jihimizia kuletewa kheri, bila ya shaka wangelisha timiziwa ajali yao. Lakini tunawaacha wale wasio tumainia kukutana nasi wakihangaika katika upotovu wao.

Surah Yunus in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if Allah was to hasten for the people the evil [they invoke] as He hastens for them the good, their term would have been ended for them. But We leave the ones who do not expect the meeting with Us, in their transgression, wandering blindly


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na lau kama Mwenyezi Mungu angeli wafanyia watu haraka kuwaletea shari kama wanavyo jihimizia kuletewa kheri, bila ya shaka wangelisha timiziwa ajali yao. Lakini tunawaacha wale wasio tumainia kukutana nasi wakihangaika katika upotovu wao.


Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli waitikia watu wanapo jiapizia shari kama vile wanavyo jihimizia kuitaka kheri, angeli waangamiza akawateketeza wote. Lakini Yeye anawachukulia kwa upole basi anaakhirisha kuwateketeza, ili kungojea wadhihirishe walio nayo kwa mujibu wa anavyo wajuulia, upate kuonekana wazi uadilifu wake kwa atavyo walipa. Wanaachwa na ushahidi wa kutosha umesimama dhidi yao, nao makusudi wanakengeuka na kuelekea njia ya upotovu na udhalimu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 11 from Yunus


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwanaadamu ameumbwa na haraka. Nitakuonyesheni Ishara zangu. Basi msinihimize.
  2. Sema: Mwenyezi Mungu amesema kweli. Basi fuateni mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa
  3. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
  4. Enyi mlio amini! Msizifuate nyayo za Shet'ani. Na atakaye fuata nyayo za Shet'ani basi yeye
  5. Na ardhi njema, yenye udongo wa rutba, hutoa mimea yenye kukua vizuri yenye uhai, kwa
  6. Hichi kitabu chetu kinasema juu yenu kwa haki. Hakika Sisi tulikuwa tukiyaandika mliyo kuwa mkiyatenda.
  7. Na huwaje wakufanye wewe hakimu nao wanayo Taurati yenye hukumu za Mwenyezi Mungu? Kisha baada
  8. Wanatimiza ahadi, na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana,
  9. Na wamechukua badala yake miungu ambayo haiumbi chochote, bali hiyo inaumbwa, haijimilikii nafsi zao madhara
  10. Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani bila ya shaka Mwenyezi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Surah Yunus Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yunus Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yunus Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yunus Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yunus Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yunus Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yunus Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yunus Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yunus Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yunus Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yunus Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yunus Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yunus Al Hosary
Al Hosary
Surah Yunus Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yunus Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers